Ligi Kuu Soka Tanzania Bara: Mbao FC 2 vs Simba SC 3 CCM Kirumba

Ligi Kuu Soka Tanzania Bara: Mbao FC 2 vs Simba SC 3 CCM Kirumba

Simba maskini hahahahah
Malema2.png
 
Teh naona leo,watu wanakula mbaooo za kutosha huko.na badoo juzi tu mmepewa miwaaa..
 
Jamani watu wa vikatuni eeehhh tunahitaji katuni nzuri ya Mbwa Koko anayejiita "Lion" anavyokimbizwa na mbao jamani wamezoe ushindi wa msimu halafu kelele nyiiiiiingi na leo mtamtambua MBAO nyambaf kabisa
 
Back
Top Bottom