harder king
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 3,970
- 6,907
Mkuu bado ndoto zako hazijafika mwisho tu,zinduka kushakucha!Ila mkuu ngoja tu nikupongeze. Wewe ni shabiki wa ukweli wa Simba na unajielewa sana.
Tumekuwa pamoja ktk mechi zote sijawahi kukuona ukipanick wala kutoa matusi.
Hongera
BTW ubingwa ni wetu Yanga,hilo halina ubishi [emoji4]
Sasa subiri hiyo kesho tutawaonesha Yanga mambo yetu.Ahsante Nifah..tupo pamoja..ubingwa mwaka huu sisi kama simba tumewagomeaaaa iwe isiwe, kumbuka una mbao lazima uchezee na kesho una-draw na Mbeya City..kazi ipo hapo
Tukutane kesho mkuu,leo nimepumzika kukusanya nguvu za kesho.Mkuu bado ndoto zako hazijafika mwisho tu,zinduka kushakucha!
Yangu mie macho na masikio hah hahSasa subiri hiyo kesho tutawaonesha Yanga mambo yetu.
Mbeya City tunamchapa bila huruma,Mbao ndio tuna hasira nao balaaaaaa.
Mechi ya kesho itawafunga midomo,tukutane hapahapa [emoji39]
Mnafiki hajifichi swahiba [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Daaaaaah [emoji17] [emoji17] [emoji17]Dakika 80 2-1
Unaijua timuvinaitwa mbao!!!Kuna timu nyingine sio za kushabikia kabisaaa mnafungwa ndan ya sekunde hiyo timu au ushuzi...
Asante mkuu Idawa kwa update mubashara kabisaMpira umekwiiiisha. SIMBA 2- 1 STEND
Ushindi mdogo! marginal winMpira ni Dakika Dakika ya 17, Simba 0-1 Stend United.
Dak ya 24 Simba 1-1 Stend United
Simba 2-1 Stend United Juma Luizio tena .
********************
Mpira Mapumziko
******************
Kipindi cha pili kimeanza dak 47 Bado simba yupo mbele kwa 2-1.
MPIRA UMEKWISHA
********************
Simba 2-1 Stend United
************************
Naona wenye timu mmekata tamaa, msijali tutawawakilisha.
msimamo wa ligi sasa ukoje?Asante mkuu Idawa kwa update mubashara kabisa