OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
FT Yanga 0- Simba 1Ona aibu kidogo kuhusu Mwarabu. Kwake kawafirimba goli tano.
Pili, unajua Yanga name Simba zimekutana nara ngapi TPL. Leo ilikuwa ya 102. Nani kafirimbwa sana?
Sasa Simba mnazimiaje mapema hivi lakini?
Na mie niko hapa View attachment 1024192
Sent using Jamii Forums mobile app
Zahera mwenyewe anakubali,anasema anajua angefungwa tu Simba inacheza mpira mkubwa. Wewe unakomaa tuYa mwanzo nayo alichukua Yanga. Ni timu moja tu iliwahi kukimbia half time.
Mkuu, yanga leo kafungwa hizi stori zingine ni historia. Au unataka tukumbushane vichapo vizito kama kile cha tano bila?Ya mwanzo nayo alichukua Yanga. Ni timu moja tu iliwahi kukimbia half time.
Leo kasahau kiswahili kabisa.Zahera mwenyewe anakubali,anasema anajua angefungwa tu Simba inacheza mpira mkubwa. Wewe unakomaa tu
Hahaaah tulia wewe...habari za waarabu zimetoka wapi tena...nyie ndo waarab???..mshafirimbwa kimoja tulieni bado mbichi hiyo hata bado haijaoshwaOna aibu kidogo kuhusu Mwarabu. Kwake kawafirimba goli tano.
Pili, unajua Yanga name Simba zimekutana nara ngapi TPL. Leo ilikuwa ya 102. Nani kafirimbwa sana?
Hiyo ilianzia Shinyanga walipopigwa,wakaenda Zanzibar na Singida kifaransa kimekuwa kingiLeo kasahau kiswahili kabisa.
Hiyo ni hypothetical bosi.
Ule ubichi ubichi wa bao moja bado unateleza teleza kwa yanga mida hii.Hahaaah tulia wewe...habari za waarabu zimetoka wapi tena...nyie ndo waarab???..mshafirimbwa kimoja tulieni bado mbichi hiyo hata bado haijaoshwa
Tupia clip mkuuWakuu kuna jambo limenipa huzuni.Kuna shabiki wa Yanga aliweka rehani mke akiamini Yanga atashinda. Ameomba msamaha kwa wanasimba wote na kukiri kwamba Simba sio level yao.
Kama kuna mtu anamfahamu Justin Kessy mshabiki wa Simba aliyeshinda hiyo bet amsamehe huyo shabiki wa Yanga.
Ipo clip kwa kweli inatia huruma jamaa analia kama mtoto.
Medi kagereee...Medi kagereee!!Medi kagereee!mwenzio niliblock mtu siku Simba ilivyofungwa tanooo!!!maana najua nisingelalaa!!wala kula kwa raha!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wewe sawa tu
Na status zako siangalii leoooooo
Sent from my iPhone using JamiiForums
Let me tell u something bro ongezeni dua tuendelee kuwa na ukame wa pesa but trust me kwa kocha huyu ndo tuzishike pesa mkononi fc vita na wale warabu ambao kwa mechi mbili wamewapika viganja viwili kwetu watakuwa wanakula dozen.Pesa bosi...
enzi wachezaji wanavaa chupi uwanjani...!!Aliniuliza mtoto wa darasa la awali
"HIVI SIMBA WALIWAHI KUIKIMBIA YANGA UWANJANI NA HAWAKURUDI KIPINDI CHA PILI?"
NILIMJIBU; NDIYO NA HISTORIA HIYO HAWATAIVUNJA.