mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tembeeni vifua mberee! Mko vizuli! Mko kataika laiti tlak! Nimefulai sana!Yanga tuko imara
Hata Ali Nacha alijenga hekalu kwenye ndoto.Soka soka soka soka Ila ubingwa wetu
SawaHata Ali Nacha alijenga hekalu kwenye ndoto.
Yanga ni chapati ya maji.
Hahahaaa. Bora umesema aiseee.Kikosi kipana huko porini wakija mjini hamna upana wowote wanakuwa waoga tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtani Upo![emoji16] [emoji16] [emoji16]
Ndioo. 😂😂😂😂Nyuma mwiko ehh
Mambo Mabaya Mtoto. 😔😔😔
Kweli nimeamini mwanaume mashine.... Yani bao moja haujaridhika[emoji12][emoji39] AigoooiMtani Upo?
Nauliza tu zile Tano mlizosema mtazihamishia kwetu ziko wapi?
Hahahaaa. Nyie Khamsa Khamsa tu hazikuwagusa mkaona ni kawaida ije kuwa ako kamoja.Kweli nimeamini mwanaume mashine.... Yani bao moja haujaridhika[emoji12][emoji39] Aigoooi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi zile tulibakwa ndio maana zinatuumiza Sana. Nyie eti mnadai kabisa Yani.Hahahaaa. Nyie Khamsa Khamsa tu hazikuwagusa mkaona ni kawaida ije kuwa ako kamoja.
Hahahaaa. PoleniSisi zile tulibakwa ndio maana zinatuumiza Sana. Nyie eti mnadai kabisa Yani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila umechezea kimoja cha nguruwe watoto 12, bao moja point 3.[emoji23][emoji23][emoji23]