Ligi Kuu Tanzania Bara, Februari 16, 2019: Kariakoo Derby, Yanga SC 0 - 1 Simba SC

Ligi Kuu Tanzania Bara, Februari 16, 2019: Kariakoo Derby, Yanga SC 0 - 1 Simba SC

Jamaa aliyebeti mke.Imebidi alie tu.Jamani muhurumieni. Kichapo achapwe na mke mmchukulie?
Fanya huruma Justin Kessy.Sidhani atarudia ujinga huo tena.
Hahanaaa[emoji16][emoji16][emoji16]yule kaka ni jinga sana atiii!!!!Mimi kama mke naenda tu kwa jastini Anile na sirudi tena kwakee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wameanza mchezo wa leo kwa kiwewe na kupania sana kwa kuelewa simba hawaiwezi maana ni klabu kubwa na yenye wachezaji bora.
Picha linaanza nahodha wa Yanga Ibrahim Ajibu anasahau anapaswa kuwatambulisha wachezaji kwa wageni au anatambulishwa yeye.
Kufikia kwa beki wao Kelvin Yondani anakataa kumpa mkono Ajibu sijui bifu la kuvuliwa kitamba cha unahodha au aliona dogo badala ya kutambulisha yeye ndio anatupa mkono wakati tulikuwa wote leo....wat fck ths
First half time ya kwanza dhamira yao kubwa ni kudroo mechi yao leo kwa kubana mashambulizi ya simba na kuzuia kabisa wasifunge maana wao hayo ni matokeo bora sana kwao leo hii.
Second half time kocha anaondoa nguvu kazi yake na watu muhimu kama Ajibu na Tambwe ambao wangemsaidia sana japo Tambwe alitaka kufunga kwa mkono...haahaaah...
Mwishoe mnyama anafanya yake baada ya Yanga kufunguka na kushambulia Meggie Kagere anaweka kiniani goal la ushindi.
Kituko sana Kocha kwenye mahojiano na waandishi wa habari analia eeeh ndio analia kwani ndo kaanza kufungwa leo au yule mganga amekula pesa bure....ahahhahahaha
Ndio utani wa jadi

Ila Yanga uvumilivu mlionao na timu yenu mngehamishia kwenye ndoa zenu talaka zingepungua Tanzania.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jirani yangu anashangaa tumewafunga goli kimoko. Nikamjibu ukiwa unakwenda kuwinda swala huwezi kutumia risasi ya tembo.
Ukiwa unaoga mtoni akatua mbu kwenye pumbu huwezi kumuua kwa kumpiga kwa nguvu bali utamtafutia njia mbadala ya kumwondoa.
Goli la Kagere ndio njia mbadala ya kuondoa adha ya kupaki basi.
Kimoko chali.
 
Mimi huwa napenda wanavyolalama inaongeza utamu. Sijui kilio cha mahaba au povu la uchungu?
Kimoko.
 
Hii team wanajiita team ya wananchi wakati katika wananchi 10 wanane wanashabikia mnyama
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Leo ndio leo, Watani wa jadi wanakutana katika mechi ya ligi kuu mzunguko wa pili, Yanga akiwa mwenyeji wa mchezo huu.

Yanga rekodi inambeba na wachambuzi wengi wanampa uwezekano mkubwa wa kushinda katika mchezo wa leo huku ikizingatiwa tangu kocha Mwinyi Zahera aje Yanga haijawahi kupoteza mchezo wowote kwa idadi kubwa ya magoli.

Kocha Patricks Aussem amekuwa na wakati mgumu na timu ya Simba baada ya kupata vipigo kadhaa mfululizo huku akipigwa goli 10 katika mechi 2 klabu bingwa.

UPDATE
MIDA YA SAA 4 ASUBUHI JESHI LA POLISI NA VYOMBO VYA USALAMA wanawakatalia wazee watatu wa Simba kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo vya wachezaji hasa baada ya kushindwa kutoa maelezo wanaenda kufanya nini vyumbani humo.

UPDATES: VIKOSI RASMI.

SIMBA: Aishi Manula, Zana Coulibaly, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, Juuko Murshid, Serge Wawa, James Kotei, Clatous Chama, Jonas Mkude, John Bocco, Meddie Kagere na Emmanuel Okwi.

Benchi: Deo Munishi ‘Dida’, Nicholas Gyan, Yussuf Mlipili, Muzamil Yassin, Haruna Niyonzima, Hassan Dilunga na Rashid Juma.

Bechi la Ufundi; Kocha Mkuu, Patrick Aussems; Msaidizi Dennis Kitambi; Kocha wa mazoezi ya viungo, Mtunisia Adel Zrane; Kocha wa Makipa, Muharami Mohammed; Meneja Patrick Rweyemamu; Mtunza Vifaa, Hamisi Mtambo na Daktari Yassin Gembe.


YOUNG AFRICANS: Ramadhani Kabwili, Paulo Godfrey ‘Boxer’, Gardiel Michael, Andrew Vincent ‘Dante’, Kelvin Yondan, Abdallah Shaibu ‘Ninja’, Feisal Salum ‘Fei Toto’, Papy Kabamba Tshishimbi, Heritier Makambo, Amissi Tambwe na Ibrahim Ajibu.

Benchi: Klaus Kindoki, Juma Abdul, Said Juma ‘Makapu’, Haruna Moshi ‘Boban’, Mohammed Issa ‘Banka’, Mrisho Ngassa na Matheo Anthony.

Benchi la Ufundi: Kocha Mkuu, Mwinyi Zahera; Msaidizi Noel Mwandila; Kocha wa Makipa Juma Pondamali; Meneja Nadir Haroub ‘Cannavaro’; Mratibu Hafidh Saleh; Daktari Edward Bavu na Mtunza Vifaa, Mohammed Omar ‘Mpogolo’.


MAPUMZIKO
Takwimu za kipindi cha kwanza zinaonesha hakuna shuti lolote lililolenga lango kwa timu zote mbili.


Dakika ya 71: Gooooooallllllllll ni Meddie Kagere
Yuleyule aliyeimaliza Al Ahly Meddie Kagere ameitanguliza Simba kwa bao la kuongoza alilofunga kwa kichwa akimaliza kazi nzuri ya John Bocco.

MPIRA UMEISHA
Oyeeeeeeeeeeeeee
 
Kumbe jamaa ana mke mzuri hivi
Image_4123.jpeg
Image_419.jpeg
Image_4054.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anunue na nini?Heri achangie omba omba wenzake. Marashi chupa 15 ni maji marefu kwa huyo mropokaji aliyetoa hiyo ahadi.
Yupo level moja na aliyebet mke.Anabisha anunue.
 
Back
Top Bottom