Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Ni bora kulia ukiwa juu ya mercedenz Benz kuliko kulia ukiwa juu ya baiskeli[emoji23][emoji23][emoji23] hamna mkuu,pole sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni bora kulia ukiwa juu ya mercedenz Benz kuliko kulia ukiwa juu ya baiskeli[emoji23][emoji23][emoji23] hamna mkuu,pole sana
Hahaaaa. Hatari sana Mkuu.Hahahhaha, wameliwa bila chumvi
After Alliance watakwa na Biashara united pale uwanja wa Karume Musoma.Tehtehtehteh,,,na bado..Jumatatu na Alliance halafu sijui na nani tena baada ya siku mbili...
Zilipendwa kufungwa????Hii ya juu zilipendwa Swahiba.
Kulia n kulia tu mkuu,haijalishi imekukutia wap tatzo iwe kwenye bajaji au fonekisi.Ni bora kulia ukiwa juu ya mercedenz Benz kuliko kulia ukiwa juu ya baiskeli
Hivi yule kocha kumbe ni wakagera!!! Mimi nilijua zuhura maana kwa kulalamika yule ni hatariMijamaa inabebwa kinoma dakika 5 zimeongenzwa refa kafika mpaka 97 hadi kocha wa kagera alianza kulalamika
Simba timu ya ovyo tu...timu nyingine zingekua zinakataa rushwa kama kagera basi simba angekua na point 35 tu
Mtani utateseka sana leo. 😀😀Zilipendwa kufungwa????
Kwaiyo siku uliyofungwa ulipenda??
Hapana mkuu msiba wa tajiri tunasema marehemu ametutoka au ametangulia ila msiba wa maskini tunasema kaaga dunia au kadanjaKulia n kulia tu mkuu,haijalishi imekukutia wap tatzo iwe kwenye bajaji au fonekisi.
Hujakosea mkuu relax kabisa"Hakuna refa hata moja mkuu aliechaguliwa na CAF" from home Tz for Afcon.Uko sahihi kabisa...marefa wengi wanaibeba Simba kutokana na rushwa...Ndiyo maana hakuna refa (kama sijakosea) kutoka Tanzania ambaye ameteuliwa kuchezesha huko kwenye michuano ya AFCON kule Misri...Wewe fikiria yule kibendera wa mechi ya Yanga na Mtibwa pale Morogoro alivyolikataa 'bao' 'halali' la Yanga kwa kisingizio eti ni offside...hovyo kabisa......
Msiba wa tajiri huambatana na vicheko vya furaha, ila kwenye msiba wa maskini ukicheka tu watasema wewe ndiye uliyemuua marehemuMtani utateseka sana leo. [emoji3][emoji3]
Lakini wote pumzi imekata.Hapana mkuu msiba wa tajiri tunasema marehemu ametutoka au ametangulia ila msiba wa maskini tunasema kaaga dunia au kadanja
Kuna utofauti mkubwa sana hapo
Dada angu nitarudi nipo sehemu mbaya mzima lakini kuna nini kwaniWatani zangu Van pebles ,100 Likes , Mtoto halali na hela, King Ngwaba, Sanchez magoli, Dada wa mie Shunie nawasalimia jamaani kwa jina la KAGERA Teh teh.
Hahaaaa. Dada nimecheeeeka. LolDada angu nitarudi nipo sehemu mbaya mzima lakini kuna nini kwani
Hahaaaa. Dada nasikia mumelambishwa sukari eti. 😀Dada angu nitarudi nipo sehemu mbaya mzima lakini kuna nini kwani
Msiba wa tajiri huambatana na vicheko vya furaha, ila kwenye msiba wa maskini ukicheka tu watasema wewe ndiye uliyemuua marehemuMtani utateseka sana leo. [emoji3][emoji3]
Mpaka saa hii upo jf ebu tutoke tukapikeHahaaaa. Dada nimecheeeeka. Lol