Kiukweli, simba wanawapa radha ya mpira washabiki wao, hata kama wangepoteza hii mechiNguvu ya refa tumeionaaa.
Kiukweli, simba wanawapa radha ya mpira washabiki wao, hata kama wangepoteza hii mechi
Wana
1. Jiamini
2. Hawana hofu
3. Wana miliki mchezo
4. Kisaikolojia wako vizuri
5. Wanajua majukumu na uchu wa mashabiki wao
Mwisho: mgogoro ulioko kwenye timu uishe, mashabiki wanahitaji mpira biriani na ushindi
Marefa wa bongo hata wawekwe wengi kuliko wachezaji bado ni hakunaKama yule refa wa juzi mlivyocheza na kagera alivyofunika tuta la dilunga,hlf ushasahau last season match ya kwanza mlipewa tuta km lile nje ya 18 kagera akajifanya kaangushwa na yondani
Kahata siyo box to box midfielder ni central attacking midfielder nafasi anayocheza Chama na Ajib.Kifupi mzamiru ndio tatizo game ya leo, huenda ndio akawa mchezaji aliepoteza mipira mingi zaidi, ukiwemo ule wa goli tulilofungwa.. Unapocheza 4-2-1-3, katika wale viungo wa chini inabidi upate box to box midfielder, sasa shughuli hiyo muzamiru haiwezi, kama angeingia kahata labda angeenda kufanya kazi hiyo na sio kumtupa winga kule ambako wanammaliza kiwango chake tu.
Kabisa..Kahata siyo box to box midfielder ni central attacking midfielder nafasi anayocheza Chama na Ajib.
Ni heri wangemtoa Mzamiru na kuingia Ndemla au Miraj Adam then Bwalya arudi kwenye nafasi ya Mzamiru.
But all in all hakumtoa Mzamiru kwa sababu anakaba kuliko Mkude, Ndemla na hao wengine.
Pamoja na kwamba alikuwa anapoteza mipira mingi lakini alikuwa anavuruga mashambulizi mengi ya Yanga.Kabisa..
Mzamiru ni kiungo punda
Onyango hakuwa mlinzi wa mwisho wawa ndio alikuwa mlinzi wa mwishoIle sio penalt ni nje ya kumi na nane kabisa.
Ilitakiwa iwe free kick na Red card kwa Onyango alikuwa mlinzi wa mwisho.
Kwa aina ya mpira wa kahata anaweza kucheza CM, ambae jukumu lake pekee lingekuwa kuchukua mpira pale, kusogea nao mita 30,25 ya wapinzani, sababu walikbali kupaki basi, kuwa na mtu anaekaba sana kuliko kushambulia wakati wapinzani wameamua kukaa chini ni uamuzi mbovu, ndio maana nikasema kahata anafaa kwa jukumu hilo.Kahata siyo box to box midfielder ni central attacking midfielder nafasi anayocheza Chama na Ajib.
Ni heri wangemtoa Mzamiru na kuingia Ndemla au Miraj Adam then Bwalya arudi kwenye nafasi ya Mzamiru.
But all in all hakumtoa Mzamiru kwa sababu anakaba kuliko Mkude, Ndemla na hao wengine.
Kapata sababu.Inasemekana CHAMA kagoma kusaini mkataba mpya na anataka kuondoka; Pengine ni sababu ya jazba za Hans Pope baada ya mechi ya jana!
Kahata pia ni mzuri kukaba sema huyu kocha kaja kuua viwango vya wachezaji Simba Rashid Juma alimuweka benchi muda mrefu mpaka akaomba aondokeKwa aina ya mpira wa kahata anaweza kucheza CM, ambae jukumu lake pekee lingekuwa kuchukua mpira pale, kusogea nao mita 30,25 ya wapinzani, sababu walikbali kupaki basi, kuwa na mtu anaekaba sana kuliko kushambulia wakati wapinzani wameamua kukaa chini ni uamuzi mbovu, ndio maana nikasema kahata anafaa kwa jukumu hilo.
Sub ilikuwa ni huyu huyu mzamiru, aingize winga moja kisha bwalya akacheze pale na mkude.
Mkuu Kocha huwa haui Viwango vya wachezaji, ni juhudi za player husika.Kahata pia ni mzuri kukaba sema huyu kocha kaja kuua viwango vya wachezaji Simba Rashid Juma alimuweka benchi muda mrefu mpaka akaomba aondoke
Mkuu Kocha huwa haui Viwango vya wachezaji, ni juhudi za player husika.
Ndemla kasota sana Leo anacheza.
Mzamiru vile vile kuna mda alipotea ila now karudi
Bwalya walimpeleka mbele plan ilikuwa mbovu sana alitakiwa akae kati apunguze wachezajiMkude mbovu mkiwa mnashambuliwa mnooo, kwa leo njia nzuri ya kuwazuia yanga ilikuwa ni kumiliki sana mpira, kupata midfielder wa kuwavuruga vuruga viungo wa yanga.. Midfielder ambae anabeba mpira, anafukia mashimo, anakokota hatua kadhaa kwenda mbele, anamrahisishia kazi chama.
Haka kakocha kamekuja kuongeza cv Simba si ajabu kina Hans pope watakuwa wanampangia nani acheze na nani asicheze Simba inahitaji kocha mzoefu siyo huyu anayeogopa kufanya sub hata kama mchezaji anaborongaMkuu Kocha huwa haui Viwango vya wachezaji, ni juhudi za player husika.
Ndemla kasota sana Leo anacheza.
Mzamiru vile vile kuna mda alipotea ila now karudi.
Mkuu Mimi na muono wa tofauti juu ya huyu kocha.Haka kakocha kamekuja kuongeza cv Simba si ajabu kina Hans pope watakuwa wanampangia nani acheze na nani asicheze Simba inahitaji kocha mzoefu siyo huyu anayeogopa kufanya sub hata kama mchezaji anaboronga
Simba falsafa yao ni kucheza mpira wa burudani lakini nachomlaumu kocha ni namna anavyopanga timuMkuu Mimi na muono wa tofauti juu ya huyu kocha.
Naona Simba inacheza soka la burudani sana.
Kiufupi sina tatizo naye.
Ulitaka timu ipangwaje mkuu?Simba falsafa yao ni kucheza mpira wa burudani lakini nachomlaumu kocha ni namna anavyopanga timu
Mkuu, sijaharibu, ni ukweli. Ndio mana hata leo Hans ameitaka klabu ya simba kufanya uchunguzi kwa wachezaji waliocheza chini ya kiwango!Mgogoro gani tena.hapo ndo umeharibu
Kuja kocha mpya katika timu huwa anakuja na mambo mapya wengine, wanafifia, wengine wanainuka.Kahata pia ni mzuri kukaba sema huyu kocha kaja kuua viwango vya wachezaji Simba Rashid Juma alimuweka benchi muda mrefu mpaka akaomba aondoke