Hahahaaaaaa. Lol.Aisee amepigwa. Lol leo kwangu kuna sherehe. Inabidi nichinje kuku usiku huu. Huu
Inaruhusiwa?
Hahahaaaa. Leeeeoo. ππππππMtani niache kwanza naangalia mustakabali wa timu yangu [emoji23] [emoji23]
Moderator toa hapa hii kitu, hili ni jukwaa la siasa, sio la sports.Baada ya jana rangi ya jezi (nyeupe + nyekundu) kuiponza Coastal Union mbele ya mabingwa wa kuhistoria wa ligi kuu Tanzania Bara klabu ya Yanga Afrika kwa kufungwa moja bila leo ndugu zao klabu ya soka ya Simba imefungwa goli moja kwa bila katika uwanja wa CCM kirumba huko jiji la mawe mengi Mwanza baada ya kungukiwa na Mbao mbichi.
Mpaka mwisho wa mchezo Mbao FC 1-0 Simba SC View attachment 872514
Mapato yatakusanywa na point 3 kama kawaida.SIMBA NGUVU MOJA... Ligi bado mbichi sana, kupoteza ni sehemu ya mchezo.. Tujipange kwa game ijayo.
Hongera MBAO kwa kuwin point zote 3.. Tunatambua ubora wenu mkiwa Kirumba Mwanza.
SIMBA tunacheza popote sio wale wanaokusanya mapato ya nyumbani ili walipe madeni+mishahara.
#SIMBASC
Cjui tatizo ni Mr kidevu,Masoud ,wachezaji au viongozi ,maana km mifweza ninayo [emoji23] [emoji23]Hahahaaaa. Leeeeoo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona mapema sana sa?
Hahaaaa. Kwa hili kaa tu chini Mtani utathmini kwa kweli maana hata mie sijajua shida iko wapi.Cjui tatizo ni Mr kidevu,Masoud ,wachezaji au viongozi ,maana km mifweza ninayo [emoji23] [emoji23]
Asante mkuu ndio mpiraPoleni Wana Simba, Poleni Uongozi wa Klabu,Pole Manara huo ndiyo mpira dakika 90. Sasa tuwasubiri watani wa jadi. Usajii mlifanya wa nguvu lakini mpira ndo ulivyo.
Kwa Bahati mbaya mie zamani nilikuwa mwenzako ila sasa nashabikia African sportsHahahaaa. Unadhani na mie nilikusahau eeee.
Nimekufanyia kusudi ila ujumbe huo muufanyie kazi. πππ
Kutiana simanzi huku ujueHahaaaa. Kwa hili kaa tu chini Mtani utathmini kwa kweli maana hata mie sijajua shida iko wapi.
Hhhhhh hongera zako,kumbe hata mim umenishinda.Hahahaaa. Ndio aiseeee.
Yanga lia lia [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaaa. Basi mfikishie manara hiko inistagiramu. ππππKwa Bahati mbaya mie zamani nilikuwa mwenzako ila sasa nashabikia African sports
Hahahaaa. Pole sanaKutiana simanzi huku ujue
Hajar unashabikia timu gani?Hahahahaaa. Ndio muamini sasa kuwa kuwa na ma asilimia sijui mangapi ni sawa na bure. Hahahaaaaa.
Ila mtani September 30,hutokiHahahaaa. Pole sana
Simba kafungwa[emoji23] [emoji23]Mpira wa kibongo ni ovyo sana timu inayotangulia kupata goli mara nyingi ndio hushinda hasa hizi timu ndogo na ladha ya mpira hua inaharibika maana hapo sio mpira tena ni kupoteza muda zitimie dakika tisini.
Mie niko Yanga aiseeeHajar unashabikia timu gani?