Ligi Kuu ya Tanzania Bara: Mbao FC yaitandika Simba SC kwa goli 1-0

Ligi Kuu ya Tanzania Bara: Mbao FC yaitandika Simba SC kwa goli 1-0

alishawahi kuwa refalii wa masumbwi
 

Attachments

  • IMG-20180920-WA0009.jpg
    IMG-20180920-WA0009.jpg
    28.9 KB · Views: 29
Lazima waende FIFA. Haiwezekani watumie 1.3 billion wafungwe na timu iliyotumia chini ya130M. Hii dharau kubwa.
Yaani mnaongea kama hamna meno kinywani. Mbona Man City ametoka sare 1-1 na Wolves EPL? Unajua thamani ya Man City na hiyo timu ambayo imepanda daraja tena baada ya kushuka?

Man City 1-2 Lyon Uefa... Ndo tatizo la kujua mpira kwenye magazetini na Insta..pole sana mkuu.
 
Yaani mnaongea kama hamna meno kinywani. Mbona Man City ametoka sare 1-1 na Wolves EPL? Unajua thamani ya Man City na hiyo timu ambayo imepanda daraja tena baada ya kushuka?

Man City 1-2 Lyon Uefa... Ndo tatizo la kujua mpira kwenye magazetini na Insta..pole sana mkuu.
Nimependa ID ya aliyekupa like
 
Back
Top Bottom