Ligi Kuu ya Vodacom (VPL): Yanga SC 3-3 Polisi Tanzania

Hazard CFC

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2015
Posts
16,627
Reaction score
38,689
#VPLLeo
Kikosi cha Timu ya Wananchi kitakachoumana dhidi ya polisi tanzania.


Dakika ya 6: Ngasa anipatia Yanga bao la kwanza kufuatia krosi safi kulia mwa uwanja iliyopigwa na Juma Abdul

6' | Yanga SC 1-0 Polisi Tanzania
**

Dakika ya 34: Pigwa pale, goooli, Polisi wanasawazisha kupitia Ditram Nchimbi kwa shuti kali

34’ | Yanga SC 1-1 Polisi Tanzania
**

Dakika ya 57: Nchimbiiii, anafunga bao la pili kiulaiini baada ya kupokea pasi nzuuri kati mwa uwanja

57’| Yanga SC 1-2 Polisi Tanzania
**

Dakika ya 58: Nchimbi tena anafunga bao la tatu kwa njia ya kichwa

58’| Yanga 1-3 Polisi Tanzania
**

Dakika ya 66: Goooli, Yanga wanapata bao la pili, Molinga anaingia kambani

66’| Yanga 2-3 Polisi Tanzania
**

Dakika ya 68: Gooooli, Falcao anaifungia Yanga bao la tatu kwa njia ya faulo

68’| Yanga SC 3-3 Polisi Tanzania
 
Nimepita taifa muda huu pale njia panda kuna mshabiki wa Yanga tayari ameshavunja nazi! Jamani!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…