Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
#VPLLeo
Kikosi cha Timu ya Wananchi kitakachoumana dhidi ya polisi tanzania.
Dakika ya 6: Ngasa anipatia Yanga bao la kwanza kufuatia krosi safi kulia mwa uwanja iliyopigwa na Juma Abdul
6' | Yanga SC 1-0 Polisi Tanzania
**
Dakika ya 34: Pigwa pale, goooli, Polisi wanasawazisha kupitia Ditram Nchimbi kwa shuti kali
34’ | Yanga SC 1-1 Polisi Tanzania
**
Dakika ya 57: Nchimbiiii, anafunga bao la pili kiulaiini baada ya kupokea pasi nzuuri kati mwa uwanja
57’| Yanga SC 1-2 Polisi Tanzania
**
Dakika ya 58: Nchimbi tena anafunga bao la tatu kwa njia ya kichwa
58’| Yanga 1-3 Polisi Tanzania
**
Dakika ya 66: Goooli, Yanga wanapata bao la pili, Molinga anaingia kambani
66’| Yanga 2-3 Polisi Tanzania
**
Dakika ya 68: Gooooli, Falcao anaifungia Yanga bao la tatu kwa njia ya faulo
68’| Yanga SC 3-3 Polisi Tanzania
Kikosi cha Timu ya Wananchi kitakachoumana dhidi ya polisi tanzania.
Dakika ya 6: Ngasa anipatia Yanga bao la kwanza kufuatia krosi safi kulia mwa uwanja iliyopigwa na Juma Abdul
6' | Yanga SC 1-0 Polisi Tanzania
**
Dakika ya 34: Pigwa pale, goooli, Polisi wanasawazisha kupitia Ditram Nchimbi kwa shuti kali
34’ | Yanga SC 1-1 Polisi Tanzania
**
Dakika ya 57: Nchimbiiii, anafunga bao la pili kiulaiini baada ya kupokea pasi nzuuri kati mwa uwanja
57’| Yanga SC 1-2 Polisi Tanzania
**
Dakika ya 58: Nchimbi tena anafunga bao la tatu kwa njia ya kichwa
58’| Yanga 1-3 Polisi Tanzania
**
Dakika ya 66: Goooli, Yanga wanapata bao la pili, Molinga anaingia kambani
66’| Yanga 2-3 Polisi Tanzania
**
Dakika ya 68: Gooooli, Falcao anaifungia Yanga bao la tatu kwa njia ya faulo
68’| Yanga SC 3-3 Polisi Tanzania