Punyeto hio baba la baba
Na hiyo ndio maana halisi ya Utani wa jadi Mtani. Yaani huwezi furahi kama Mtani wako Habari hajaipata. π πHahaha, yaani humu kila mmoja alikuwa anakuulizia, bila kukuona ushindi wetu ulikuwa haujakamilika.
Hahahaaa. Si unajua tena huwa nawapandisha presha. ππ
Nililala baada ya nyie kukomboa tu nkajua WACONGO hatuna chetu tena pale.Asante mnooo ila jana nilimiss uwepo wako sana
Nimependa hapo ulipo tia signature MPIRA SI UADUI, well said, hii inaonyesha una ukomavu katika nyanja za soka, keep it up lady, wana simba tunakupenda sana tunatamani uhamie upande huu maana huku ndiko kwenye furaha na mikakati, una kila sababu za kuwa shabiki namba 1 simba scHONGERENI WATANI ZANGU KWA KUIWEKA HISTORIA NA KUFIKA QUARTER FINAL AMBAPO MNA ZAIDI YA MIAKA 15 HAMJAFIKA HUKO. JAPO NILIKUWA MKONGO JANA ILA KUWAPONGEZA MUHIMU JAMANI. [emoji85]
CC. Watani zangu kina Ghazwat,Mtoto halali na hela , Sesten Zakazaka 100 Likes, Van pebles, OKW BOBAN SUNZU , King Ngwaba , Krizy Beat , BAK , Shunie , toxic9 , Arushaone , Sanchez magoli, Sapta Sapta , oscarsolomon ,Proved na wengine wengi.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] MPIRA SI UADUI.
Na hiyo ndio maana halisi ya Utani wa jadi Mtani. Yaani huwezi furahi kama Mtani wako Habari hajaipata. π π
Ngapi huko?karibuni kwa Live updates... Wengine pia mnaweza kuongezea
Kila la heri As vita Club
Sent using Jamii Forums mobile app from my iPhone 5s
Mungu ibariki AS Vita, Amen [emoji1488]
Sent from my iPhone using JamiiForums
@Shadeeya ana vigezo vingi sana kuwa upande huu semaaaaa ndiyo hivyo tenaHahaha, yaani humu kila mmoja alikuwa anakuulizia, bila kukuona ushindi wetu ulikuwa haujakamilika.
Acha tu niliumia nikijua furaha tutaipata kwa Mkapa mwishowe ikawa kinyume.Utani muhimu sana, ila jana mpaka nimewaonea huruma, bora hata mngedroo na Lipuli, maana mmeumia mara mbili.
Ngoja tuanze kula viporo Mtani, na kama unavyojua, viporo vya tajiri havichachi, freezer ni za kumwaga.
Yanga Mkae mtulie dawa isambae kwenye damu vizuriMungu ibariki AS Vita, Amen [emoji1488]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahahah usiniambie haujala chakula cha usikuNililala baada ya nyie kukomboa tu nkajua WACONGO hatuna chetu tena pale.
Nakazia hapo kwenye kuhamiaNimependa hapo ulipo tia signature MPIRA SI UADUI, well said, hii inaonyesha una ukomavu katika nyanja za soka, keep it up lady, wana simba tunakupenda sana tunatamani uhamie upande huu maana huku ndiko kwenye furaha na mikakati, una kila sababu za kuwa shabiki namba 1 simba sc
Happiness is a lifestyle
Asalam Alaykum
Hiyo ndio AS Yanga Vita bwana.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ahsante Mtani. Kuhama timu sisi kina YANGA lialia ni ngumu mno Mtani kama Ngamia kupita kwenye tundu la Sindano. Hivyo nakomaa na Yanga yangu tu mpaka mwisho.Nimependa hapo ulipo tia signature MPIRA SI UADUI, well said, hii inaonyesha una ukomavu katika nyanja za soka, keep it up lady, wana simba tunakupenda sana tunatamani uhamie upande huu maana huku ndiko kwenye furaha na mikakati, una kila sababu za kuwa shabiki namba 1 simba sc
Happiness is a lifestyle
Najua leo simu zenu wote Mtandao ungekuwa chini. π π πHahaha nawaza tungetolewa tungekoma na maneno yenu