Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Dola 650,000 times rate ya siku husikaSijakiona bado ndio sh ngapi za Tanzania?
Ila si za Mo au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dola 650,000 times rate ya siku husikaSijakiona bado ndio sh ngapi za Tanzania?
Ila si za Mo au?
Na mie ndio nikionacho Mkuu sababu kama hii issue ya Zahera juzi wameifanya kuwa kuuubwa utadhani ni jambo la ajabu.
"Fursa lazima itumike ipasavyo"Achana na mahaba yako ya kipuuzi.Kila jambo Magufuli anahusikaje?Hivi MO alitekwa eeh na wachawi?
Ila hizo zote si ni mali ya Mo?Dola 650,000 times rate ya siku husika
Namshukuru Mwenyez Mungu Mambo Sa Iv FrshNimekuja Mtani! Vp ile presha uliyokuwa nayo ishashuka?
Mna roho ngumu kinomaYeyote mtakayopangwa nayo. [emoji41][emoji41][emoji41]
Hapana zinaenda kwa wachezaji piaIla hizo zote si ni mali ya Mo?
Au kwa lugha nyingine 8 bora afrika.mkuu mbona unaturudisha nyuma tulipotoka ndio makundi iliku timu 16 sasa hivi tumeingia robo timu nane..kulikua na makundi manne ya timu nne nne.. Kila kundi limetoa timu mbili,,..kundi D la simba,,..wamepita ahly ya misri na simba
"Urais ni taasisi"Hajui mpira huyo. Akiongea atasema mlifungwa tano kisha tano tena, nyie mnafunga kamoja. Hamjalipa bado mnadaiwa goli nane. Na atamalizia kwa kusema na NA HUU NDIO UKWELI NA MSEMA UKWELI NI MPENZI WA MUNGU.
Atuachie Simba yetu, aje tukishamaliza kazi kwa sasa akae kimya tu.
Narudia, Magufuli atuachie Simba yetu. Kwanza ana mambo mengi ya ujenzi wa taifa."Urais ni taasisi"
Kama nakuona vile ambavyo ulikuwa unatetemeka.
Kama za Paka. 😎😎
Hivyo mashabiki hampati? 😎😎😎Hapana zinaenda kwa wachezaji pia
Mashabiki hatuna shida, hivi bado mnatembeza bakuli tuwaombee hapo hata milion 100Hivyo mashabiki hampati? [emoji41][emoji41][emoji41]
Ila ulijua kuogopa Mtani umekuwa kama Sanchez magoli jana ananiambia nimeliacha jukwaa kwa muda mpaka mpira wa saa moja uishe.
Hali ilikuwa mbaya maan mda wote nakukumbuka ww ulivyokuwa n roho mbaya ya manenoKama nakuona vile ambavyo ulikuwa unatetemeka.
Ila mmestahili Mtani. Hongereni.