Ligi ya Mabingwa Afrika | Uwanja wa Taifa, Dar: Simba SC 1-1 UD Songo. Simba yatolewa kwa faida ya goli la ugenini iliyopata UD Songo

Nimepiga like kinyonge sana
 
Hamna kitu, kikosi cha sasa ni bora zaidi! Tuache maneno mingi ...
sijasema kwamba ni kibaya, tatizo ni chemistry kati ya wachezaji wageni na hawa waliopo ndio tatizo

Na itachukua mda kidogo timu kukaa sawa.
 
Kwa backline ile ya simba wakifuzu sjui

Simba akifuzu ntakata gogo hapa Jf kuanzia jukwaa la MMU mpaka jukwaa la siasa huku Kiduku Lilo akifanya kazi ya kuzoa
Aisee, we jamaa! Daaah
 
Utani pembeni, Simba inawamiss sana Okwi na Kotei.
Msudan ni kawaida sana. Mo Hussein ni bora kuliko Gardiel.
Mkude alishazoea kucheza na holding midfielder mwenzake. Ku adjust awe peke yake itachukua muda.
 
Kutolewa ndyo sio jambo la kawaida ila je unatolewa hatua gani hyo ndo inakuwa issue. Kwa simba iliyofika robo fainal msimu uliopita kuondoka atua ya awali kabisa ni upuuzi wa kiwango cha lami.
 
halafu simba itabid isajili tena sioni mk14 mkude na shiboub kama watakua na uwezo tena msimu ujao.umri utakua kikwazo kwao plus kukosa exposure ya game za kmataifa.
 
Faida za mtu kufia kwao.
1.Anapunguza gharama za kusafirisha msiba
2.Anapunguza maswali ya chanzo cha kifo chake
3.Anazikwa na watu wengi wa kwao.[emoji419][emoji419]

Poleni sana wanasimba pole Tanzania
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…