View attachment 1189667
Kikosi cha Mnyama
Haya wanaJF ziimebaki dakika chache kuelekea mpambano mkali kati ya Simba Sc na UD Songo.
Mtangazaji wako mwandamizi kwa kushirikiana na wadau wote muhimu tunakueletea moja kwa moja kambumbu kutoka uwanja wa Taifa.
Hamasa ya mashabiki ni kubwa sana. Uwanja wa Taifa unaendelea kujaa.
Naomba matokeo Mtani. Umeme umekatika hapa. ππNiko taifa tayari wazee πͺ
Sasa imefika ya 23Mmesikia??? Dakika ya 21'
Wanadai Taifa ni kaburini eti.Tatizo la simba ni kujiamini kupitiliza na pia ile hulka yao ya kutowaheshimu wapinzani hasa wanapocheza uwanja wa Taifa. Ngoja tuwape tu muda maana mpira ni dk 90! Hii UD Songo siyo timu ya mchezo mchezo. Ina vijana wengi ambao damu zao zinachemka kweli kweli! Wangekua na utulivu, wangekua mbele kwa goli mbili sasa.