Ligi ya Mabingwa Afrika | Uwanja wa Taifa, Dar: Simba SC 1-1 UD Songo. Simba yatolewa kwa faida ya goli la ugenini iliyopata UD Songo

Ligi ya Mabingwa Afrika | Uwanja wa Taifa, Dar: Simba SC 1-1 UD Songo. Simba yatolewa kwa faida ya goli la ugenini iliyopata UD Songo

Tuwekee na kikosi cha UD Songo...Acha ubaguzi na Ushabiki hapa[emoji848][emoji848][emoji848]
View attachment 1189667
Kikosi cha Mnyama

Haya wanaJF ziimebaki dakika chache kuelekea mpambano mkali kati ya Simba Sc na UD Songo.

Mtangazaji wako mwandamizi kwa kushirikiana na wadau wote muhimu tunakueletea moja kwa moja kambumbu kutoka uwanja wa Taifa.

Hamasa ya mashabiki ni kubwa sana. Uwanja wa Taifa unaendelea kujaa.
 
walisema watamfunga je hawakujua kwamba UD Songo kajipanga? Piere liquid FC acheni mikwara chezeni mpira
 
Tatizo la simba ni kujiamini kupitiliza na pia ile hulka yao ya kutowaheshimu wapinzani hasa wanapocheza uwanja wa Taifa. Ngoja tuwape tu muda maana mpira ni dk 90! Hii UD Songo siyo timu ya mchezo mchezo. Ina vijana wengi ambao damu zao zinachemka kweli kweli! Wangekua na utulivu, wangekua mbele kwa goli mbili sasa.
 
Tatizo la simba ni kujiamini kupitiliza na pia ile hulka yao ya kutowaheshimu wapinzani hasa wanapocheza uwanja wa Taifa. Ngoja tuwape tu muda maana mpira ni dk 90! Hii UD Songo siyo timu ya mchezo mchezo. Ina vijana wengi ambao damu zao zinachemka kweli kweli! Wangekua na utulivu, wangekua mbele kwa goli mbili sasa.
Wanadai Taifa ni kaburini eti.

Haya wamzike Du Songo leo tuone. Hahahaahahaaaaa.

NB: Watani zangu Povu baada ya dkk 90 nitafulia nguo 💃💃💃
 
Back
Top Bottom