Ligi ya Morrison na Simba kwenye suala 'Release letter' imefikia patamu

Ligi ya Morrison na Simba kwenye suala 'Release letter' imefikia patamu

Umeonae? Halafu eti wanajiita klabu inayoendeshwa kisasa wakati inaendekeza mambo ya hovyo Kama haya, uswahili mwingi. Hakika bado tuna safari ndefu Sana.
Hamna mnalolijua..wazee wa CAS wapo na mission ya kulipa kisas, SIMBA watoe release letter kibao kije kigeuzwe wamevunja mkataba, ifunguliwe kesi klabu iingie hasara
 
Back
Top Bottom