mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Timu inaenda kuwa kikundi cha vichaa. Manara+Morisoni + akili za mashaki wake = vichaa fc . Hatari Sana hii !!! Kuna siku timu itaingia uwanjani wakiwa wamevaa chupi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo hiyo sheria Morison ndo aliwapiga nayo yanga , Simba hawajakosea mkataba uheshimiwe,nakumbuka wakati Yanga wanachukua wachezaji wa kigeni mwaka jana kuna ambao hawakucheza mechi na River United kwasababu release letters zilichelewa kutolewa na As Vita waliheshimu mkataba.Kumbe kusimamia sheria sikuhizi ni uswahili? Basi uswahili hautakaa uishe duniani hapa.
Hakuna upumbavu kufanya mambo kwa hisia wakati mwanzoni yalifanyika kisheria, kibyovyote vile Simba Sc ni lazima wahakikishe hakuna mlango wa kuja kusurubiwa na BM3 kama jinsi ambayo aliwafanya Yanga Sc.
Ili uone uzito wa hili swala, basi unapozungumzia hii issue, usisahau uhusiano mbovu uliopo kati ya Simba sc na yanga , lakini pia zingatia tabia husika ya mlengwa.
wapi kwenye ile barua simba imesema wamemwacha? Soka ni biashara ,mkataba wa mchezaji haujaisha halafu anatakaje release letter ? Simba wameona kwa mda uliobaki kama kuna timu inamtaka kabla ya mda wake kuisha basi ivunje mkataba na walete offer ,mbona simple tu!Kwahiyo kaishaitwa kusaini mkataba mpya baada ya awali unaoishia? Mchezaji hajaachwa inakuaje unamtakia heri ktika safari yake mpya ya soka?
Njaa mbaya sana ulichokiandika hakifanani na Akili uliyonayo.Viposho vya Barbara vimechetua Akili yako.Mtake msitake Morrison atachezea Yanga na atawafunga goli zuri na litawakera sana mpaka mkome kudadadeki zenu.Mwisho wa kutuma Majina CAF ni tarehe 14 August 2022 na Yeye Mkataba wake na Simba SC unaisha tarehe 16 August 2022 hivyo asiwe na Wasiwasi huko Yanga SC anakotaka kwenda ataenda Kuchezea ile ya Vijana ambayo inaweza baadae ikashiriki Ndondo Cup au ataenda Kukaa mpaka Dirisha Dogo la January 2023 ndipo aende huko Yanga SC.
Na Mwambieni Tanzania nzima hakuna Timu inayojua Kumroga Mchezaji na Kumfunika kabisa asifanikiwe Kokote aendako kama akiondoka vibaya kama Simba SC na Simba SC huwa haiishii hapo tu bali ukifanya nayo Masihara unaweza hata hii dunia ukaiaga kama walivyoiaga Wanafiki akina Ngumi Jiwe barabarani.
Na Simba SC haina tu 'Mafia' na Watoto wa Mjini ( wa Kihuni ) bali pia ina Watu Wasomi na Walewa wa Masuala mno.
Yanga msimu huu klabu bingwa anaenda hadi fainali 2022/2023Mkuu, sisi Yanga mule Cafcl tunaanzia hatua gani eti. Sisi mabingwa wa kihistoria na pointi zetu 0.5
Kama ameomba kwa maandishi sidhani kama kuna shida yoyote. Hapo kuna kaukanjibay.Ndio shida ya kukurupuka km huku ,Simba sio mafala kukomalia Sheria ifuatwe hawataki Kona Kona ili baadae yaje yawapate km watani zao.
Jamaa mwenyew mhuni mhuni haeleweki kwa usalma zaidi ni heri kanuni izingatiwe waachane kikanuni km walivyokutana kikanuni .
Muda mwingine huruma huponza ,baadae yakigeuka wote tutaanza kuwalaumu viongozi.
Ogopa Sana kitu kinachoitwa mkataba
Hajanyimwa haki ya kusajiliwa na timu nyingine. Kinachotakiwa ni ile timu nyingine kuleta ofa yake kwa simba maana mkataba wa BM bado haujaisha. Hiyo timu inayomtaka inashindwa nini kuwasilisha maombi kwenye klabu ya simba na kuwasilisha ofa yake?Kujua kuwa mchezaji umetangaza kuwa mmemsimamisha mpaka mwisho wa msimu na kutakia heri katika maisha yake mapya ya soka halafu unamnyima haki ya kusajiliwa na timu zingine kisa tu muda bado wa mkataba ni uswahili zaidi. Dirisha la CAF linafunguliwa tarehe 30 kwahiyo mpaka hapo Simba wanamkomoa Morrison asisajiliwe abakie hana timu
Uzuri wachezaji wote wanayajua matatizo ya Bernard Morrison.Kama ameomba kwa maandishi sidhani kama kuna shida yoyote. Hapo kuna kaukanjibay.
Anyway, ni vizuri kuwatreat wachezaji tusiowahitaji vizuri sababu hata wachezaji wengine watajisikia wapo salama hata pale watakapoamua kutokuendelea na sisi.
Imagine wewe ni mchezaji mpya halafu unakutana na mwenzako aliyekuwa kama wewe anaomba release letter akacheze ila ananyimwa wakati hatumiki tena.
Simba hatumuitaji tena, Mor anaweza kuomba kuvunja mkataba awe mchezaji huru na tukampa taratibu ila hatutaki kwa sababu tunajua anaenda kuwachezea kandambili. Tùnamkomoa tu na kuna kaukanjibay, Kama ushafanya kazi na wahindi utaelewa.HAKUNA mwenye Shida na Hilo Hata leo Simba wametoa taarifa Kwamba Morrison Ni mchezaji halali wa Simba na analipwa mshahara km kawaida.
Kama unamtaka kwa Sasa angali ktk mkataba Halali lazima uje MEZANI Biashara ifanyikie. Kinyume na hapo usubiri mkataba wake uishe umchukue akiwa huru. Kitu rahisi tu, HAKUNA njia ya mkato. Morrison na Yanga wanajua hilo. Wanataka tu kutingisha kiberiti. Ni ushamba Yanga na Morrison wanafanya.
Morison ana shida mingi sana ya kimaadili, no wonder sauzi hawamtaki kabisa.Simba wako sahihi kukausha hadi mkataba wa Morson utapoisha.
Kikanuni, Mchezaji anaetaka kuondoka hana haki ya kuomba Release Letter.
Club mpya inayomtaka mchezaji ndio inayotakiwa kutoa taarifa ya nia ya kumuhitaji mchezaji, kisha iombe release letter. (Yanga haina mahusiano mema na Simba ndio maana inapata ugumu)
Uto wakituletea maombi tutawapiga na kitu kizito hilo lipo wazi. Njia rahisi ni kwa mchezaji kuomba avunje mkataba kisheria.Hajanyimwa haki ya kusajiliwa na timu nyingine. Kinachotakiwa ni ile timu nyingine kuleta ofa yake kwa simba maana mkataba wa BM bado haujaisha. Hiyo timu inayomtaka inashindwa nini kuwasilisha maombi kwenye klabu ya simba na kuwasilisha ofa yake?
Haya sasa. Hana hata haja ya kuomba tena kuvunja mkataba. Tunalipa mshahara wa bure.CAF YATUMA BARUA YANGA SC 🔖
Kocha msaidizi wa Yanga SC Cedric Kaze 🇧🇮 akiongea na wanahabari leo amethibitisha kuwa klabu ya Yanga SC 🇹🇿 imepokea barua kutoka (CAF) ikiwataarifu kuwa wamesogeza mbele michuano ya (CAF) na dirisha la usajili Kuelekea msimu ujao (2022/23)
Amesema (CAF) wamesogeza mbele kwa mwezi mmoja michuano ya klabu bingwa Africa na kombe la Shirikisho.
Michuano hiyo itaanza September 9 hadi 11/2022 badala ya August 12/2022 kama ilivyokuwa imetangazwa awali.
Mabadiliko hayo yamepelekea kusogezwa mbele pia kwa DIRISHA LA USAJILI ambalo sasa litafunguliwa August 1/2022 hadi August 15/2022 kwa timu kusajili pasipo kupigwa faini yoyote na (CAF)
Ni ruksa sasa kuanza kusajili Wachezaji kuanzia July 1 hadi August 15/2022.
Baada ya August (15/2022) klabu zitalazimika kulipa faini ya USD $ 5,000 kwa kila mchezaji ili kuingiza majina kwenye mfumo wa CAF ndani ya siku (10)
Cedric Kaze amesema (CAF) wameisaidia Yanga SC kujiandaa vizuri kwa kuhakikisha wanasajili Wachezaji bila shinikizo kuelekea michuano ya klabu bingwa Africa.
Sababu ya kumtaka kwa haraka si ndo hiyo imesogezwa mbele? Watamsubiri tu huku sisi tunampa mshahara.Yanga kama wanamtaka kwa haraka wampe pesa BM ili anunue sehemu ya mkataba uliobaki pale Simba! Sasa wanabaki wanapiga makelele tu na kulalamika bila kuchukua hatua. Katika ulimwengu wa soka pesa ndiyo huzungumza! hata kama mchezaji ana mkataba wa miaka mitano bado pesa inaweza kumng'oa!! Ila kuhama bila pesa hilo jambo halipo kwenye ulimwengu wa soka. Inabidi asubiri mkataba ubaki na siku sifuri ili aondoke kwa bei ya sifuri, kinyume cha hapo ni kupoteza muda tu!
Sasa kama ni hivyo mapovu yote humu ya nini?Sababu ya kumtaka kwa haraka si ndo hiyo imesogezwa mbele? Watamsubiri tu huku sisi tunampa mshahara.
Mapovu yalikuwa kabla we utopolo wa njanoSasa kama ni hivyo mapovu yote humu ya nini?
Kwa ulichoandika hapa hujioni Kama wewe ndio mjinga na akili fupi? Unawatazama wenzako namna hiyo wakati unadhihirisha ujinga wako kwenye maandishi yako.nyie Makolo wapumbavu sana tena wapuuzi wa mwisho, hata hamjui sheria za CAF zinasemaje, kwa taarifa yenu YANGA na Morrison wanawacheka tu. Kasomeni sheria za CAF wajinga nyie, "ukimsajiri mchezaj ambaye mkataba wake umebaki mwezi mmoja kuisha na mchezaj hatak tena kuendelea na hiyo club, Team inayotaka kumsajiri itatozwa Faini ya Million 11 na CAF na mchezaj huyo atakubaliwa usajiri wake mpya." Na makolo mlivyo wapumbavu zaid mkatoa hadi Public Notice 😂 kuwa mmemalizana na Morrison na mnamtakia maisha mema... Sasa kwa akili zenu fupi mnadhan Yanga itashindwa kulipa faini ya million 11..?😅😂 Mnajua GSM, Eng Hersi, Suma..?