Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
LIGI KUU YA TANZANIA YAPOROMOKA VIWANGO AFRIKA
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Limetoa Orodha viwango vya Ligi katika Nchi zote Barani Afrika
Hii ni Baadhi tu ya Orodha ikionyesha Zile Ligi kuu Bora zaidi zilizopo katika Nafasi za Juu huku ligi ya Tanzania #NBCPremierLeague ikiporomoka ikiondoka katika 5 bora ikitoka katika nafasi ya 5 hadi nafasi ya 6 mwaka huu.
Hii michezo ya makolo kuhonga marefa yasababisha
Unahisi Sababu zipi zimepelekea ligi ya Tanzania Kushuka ??
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Limetoa Orodha viwango vya Ligi katika Nchi zote Barani Afrika
Hii ni Baadhi tu ya Orodha ikionyesha Zile Ligi kuu Bora zaidi zilizopo katika Nafasi za Juu huku ligi ya Tanzania #NBCPremierLeague ikiporomoka ikiondoka katika 5 bora ikitoka katika nafasi ya 5 hadi nafasi ya 6 mwaka huu.
Hii michezo ya makolo kuhonga marefa yasababisha
Unahisi Sababu zipi zimepelekea ligi ya Tanzania Kushuka ??
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app