Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wewe jamaa ndiye unayesababisha Manara atuite sisi Mashabiki wa Yanga hamnazo.Ndiyo Umeandika vinyorongoroto gani hivi sasa!!!LIGI KUU YA TANZANIA YAPOROMOKA VIWANGO AFRIKA
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Limetoa Orodha viwango vya Ligi katika Nchi zote Barani Afrika
Hii ni Baadhi tu ya Orodha ikionyesha Zile Ligi kuu Bora zaidi zilizopo katika Nafasi za Juu huku ligi ya Tanzania #NBCPremierLeague ikiporomoka ikiondoka katika 5 bora ikitoka katika nafasi ya 5 hadi nafasi ya 6 mwaka huu.
Hii michezo ya makolo kuhonga maresha yasababisha
Unahisi Sababu zipi zimepelekea ligi ya Tanzania Kushuka ??View attachment 3245226
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
ImpossibleChart inaonesha kila timu ina point 2. Huwenda za Simba zikaongezeka
Maybe...japo wengine sisi ni wachambuziNilidhan mashabiki wa Simba na Yanga wa hapa jamii forums ni tofauti na wale ninaokutana mtaani kumbe ni jamii moja.
Timu Gani mkuuMtoa mada nadhani ujakaa ukatafuta sababu za kueleweka Kuna timu inapewa point hilo halijifichi. Acha kua shabiki maandazi.
Nani mkuu [emoji32][emoji26]Huyu ni mmoja wa zuzu...aliejisemea mzee Kagoma
Ilikuwa ya TanoUnachosema na rekodi uliyotuma ni vitu tofauti,,,NBC premier league imebaki kwenye nafasi ya 6. haijapanda wala kuporomoka.
Kwnn mkuuSisi Yanga ndo maana tunaonekana hatuna akili.
Vijana wako huruma kifikra .....and they are geniusVijana wa Taifa hili wanatakiwa kukombolewa.
Wale njaa inawasumbuaAzam itabidi wabadili tangazo Lao, Kuna kocha wa Afrika Kusini, ubelgiji na mwingine kaenda Algeria ni mashahidi wa hizi fixed match hili ligi litabaki kubebwa na pointi za Caf
Wale waamuzi njaa na wa mchongo, watakuwa wana mchango wao mkubwa tu kwenye hili.LIGI KUU YA TANZANIA YAPOROMOKA VIWANGO AFRIKA
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Limetoa Orodha viwango vya Ligi katika Nchi zote Barani Afrika
Hii ni Baadhi tu ya Orodha ikionyesha Zile Ligi kuu Bora zaidi zilizopo katika Nafasi za Juu huku ligi ya Tanzania #NBCPremierLeague ikiporomoka ikiondoka katika 5 bora ikitoka katika nafasi ya 5 hadi nafasi ya 6 mwaka huu.
Hii michezo ya makolo kuhonga maresha yasababisha
Unahisi Sababu zipi zimepelekea ligi ya Tanzania Kushuka ??View attachment 3245226
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Baada ya singida na yanga kupanga matokeo sisi wadau wa michezo tuliandika barua kuitaarifu caf jinsi yanga inavyopanga matokeo na kujidunga sindano hivyo wameifanyia kazi barua yetu!LIGI KUU YA TANZANIA YAPOROMOKA VIWANGO AFRIKA
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Limetoa Orodha viwango vya Ligi katika Nchi zote Barani Afrika
Hii ni Baadhi tu ya Orodha ikionyesha Zile Ligi kuu Bora zaidi zilizopo katika Nafasi za Juu huku ligi ya Tanzania #NBCPremierLeague ikiporomoka ikiondoka katika 5 bora ikitoka katika nafasi ya 5 hadi nafasi ya 6 mwaka huu.
Hii michezo ya makolo kuhonga maresha yasababisha
Unahisi Sababu zipi zimepelekea ligi ya Tanzania Kushuka ??View attachment 3245226
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Wote machupichupi tu,Halafu mkuu watu waliopo huku ndio walewale waliopo mitaani.Japo WENGI wa huku ni matajiritajiri.Cc:Nyani ngabu.Nilidhan mashabiki wa Simba na Yanga wa hapa jamii forums ni tofauti na wale ninaokutana mtaani kumbe ni jamii moja.
Watu sampuli yako ndiyo wanafanya Yanga inaonekana ni klabu ya vilaza, wakati mwingine jaribu kuficha upumbavu wako kwa maslahi mapana ya Yanga.LIGI KUU YA TANZANIA YAPOROMOKA VIWANGO AFRIKA
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Limetoa Orodha viwango vya Ligi katika Nchi zote Barani Afrika
Hii ni Baadhi tu ya Orodha ikionyesha Zile Ligi kuu Bora zaidi zilizopo katika Nafasi za Juu huku ligi ya Tanzania #NBCPremierLeague ikiporomoka ikiondoka katika 5 bora ikitoka katika nafasi ya 5 hadi nafasi ya 6 mwaka huu.
Hii michezo ya makolo kuhonga maresha yasababisha
Unahisi Sababu zipi zimepelekea ligi ya Tanzania Kushuka ??View attachment 3245226
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mkuu chomoa ukimbie mbio zote..LIGI KUU YA TANZANIA YAPOROMOKA VIWANGO AFRIKA
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Limetoa Orodha viwango vya Ligi katika Nchi zote Barani Afrika
Hii ni Baadhi tu ya Orodha ikionyesha Zile Ligi kuu Bora zaidi zilizopo katika Nafasi za Juu huku ligi ya Tanzania #NBCPremierLeague ikiporomoka ikiondoka katika 5 bora ikitoka katika nafasi ya 5 hadi nafasi ya 6 mwaka huu.
Hii michezo ya makolo kuhonga maresha yasababisha
Unahisi Sababu zipi zimepelekea ligi ya Tanzania Kushuka ??View attachment 3245226
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mwaka gani?Kivipi mkuu...hujui kuwa tulikuwa na ligi Bomba sana
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Unakuta mtu unamuheshimu tu vizuri ukienda nyuzi za sport ukasoma humo, unamwona mbugila tu.Haya mambo ya usimba na uyanga yanawafanya wakati mwingine muwe kama nati zimelegea vile. 🤣 🤣