zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
mkuu uko mwaka ganiYanga mmechangia point 2 tu mkakimbia ulitaka iweje... Subiri Simba afuzu nusu fainali itarudi
hadi leo unawaza yanga ana point 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu uko mwaka ganiYanga mmechangia point 2 tu mkakimbia ulitaka iweje... Subiri Simba afuzu nusu fainali itarudi
Angalia kwenye hiyo chart Yanga 20/25 imechangia point 2, Point za Simba zipo 2 pia lakini huwenda zikaongezeka ikifika nusu fainalimkuu uko mwaka gani
hadi leo unawaza yanga ana point 2
Hawa wa humu ndio hao hao wa mtaaniNilidhan mashabiki wa Simba na Yanga wa hapa jamii forums ni tofauti na wale ninaokutana mtaani kumbe ni jamii moja.
Maresha ni nini ndugu mchambuzi usiyejua kuchambua?Hii michezo ya makolo kuhonga maresha yasababisha
Yanga bnLIGI KUU YA TANZANIA YAPOROMOKA VIWANGO AFRIKA
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Limetoa Orodha viwango vya Ligi katika Nchi zote Barani Afrika
Hii ni Baadhi tu ya Orodha ikionyesha Zile Ligi kuu Bora zaidi zilizopo katika Nafasi za Juu huku ligi ya Tanzania #NBCPremierLeague ikiporomoka ikiondoka katika 5 bora ikitoka katika nafasi ya 5 hadi nafasi ya 6 mwaka huu.
Hii michezo ya makolo kuhonga maresha yasababisha
Unahisi Sababu zipi zimepelekea ligi ya Tanzania Kushuka ??View attachment 3245226
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kwamba Yanga wapo CAFCL?Points za Yanga ni kubwa ....since Yanga walikuwa CAF champions league
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mashindano ya kimataifa hayachangia ligi kupandaYanga mmechangia point 2 tu mkakimbia ulitaka iweje... Subiri Simba afuzu nusu fainali itarudi
Wewe utakuwa kubwa jinga, caf watakuwa wameujua mchezo wa utopolo kudhamini timu pinzani labda, saidi kamwaga upupu pumbaf nyie yangaLIGI KUU YA TANZANIA YAPOROMOKA VIWANGO AFRIKA
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Limetoa Orodha viwango vya Ligi katika Nchi zote Barani Afrika
Hii ni Baadhi tu ya Orodha ikionyesha Zile Ligi kuu Bora zaidi zilizopo katika Nafasi za Juu huku ligi ya Tanzania #NBCPremierLeague ikiporomoka ikiondoka katika 5 bora ikitoka katika nafasi ya 5 hadi nafasi ya 6 mwaka huu.
Hii michezo ya makolo kuhonga maresha yasababisha
Unahisi Sababu zipi zimepelekea ligi ya Tanzania Kushuka ??View attachment 3245226
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ficha ujinga wakoMashindano ya kimataifa hayachangia ligi kupanda
GSM kudhamini timu 8; ndicho chanzo. Na Singida kuingiza kikosi dhaifu Dhidi ya YangaLIGI KUU YA TANZANIA YAPOROMOKA VIWANGO AFRIKA
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Limetoa Orodha viwango vya Ligi katika Nchi zote Barani Afrika
Hii ni Baadhi tu ya Orodha ikionyesha Zile Ligi kuu Bora zaidi zilizopo katika Nafasi za Juu huku ligi ya Tanzania #NBCPremierLeague ikiporomoka ikiondoka katika 5 bora ikitoka katika nafasi ya 5 hadi nafasi ya 6 mwaka huu.
Hii michezo ya makolo kuhonga maresha yasababisha
Unahisi Sababu zipi zimepelekea ligi ya Tanzania Kushuka ??View attachment 3245226
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
MaybeFicha ujinga wakoView attachment 3245695
Wewe unadhani hizo point za kupanda na kushuka wanazipataje?Maybe
Ona bwege hii..LIGI KUU YA TANZANIA YAPOROMOKA VIWANGO AFRIKA
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Limetoa Orodha viwango vya Ligi katika Nchi zote Barani Afrika
Hii ni Baadhi tu ya Orodha ikionyesha Zile Ligi kuu Bora zaidi zilizopo katika Nafasi za Juu huku ligi ya Tanzania #NBCPremierLeague ikiporomoka ikiondoka katika 5 bora ikitoka katika nafasi ya 5 hadi nafasi ya 6 mwaka huu.
Hii michezo ya makolo kuhonga maresha yasababisha
Unahisi Sababu zipi zimepelekea ligi ya Tanzania Kushuka ??View attachment 3245226
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ubora wa ligiWewe unadhani hizo point za kupanda na kushuka wanazipataje?
Yanga Hajawahi kuwa na ushindi wa makando makandoKama imesababisha mi nafikiri ni vyema CAF wakaichunguza, ikiwemo baadhi ya matukio yake!
Hasa kweny suala la uongezwaji wa dakika!
Na suala la marefa kuwapa upendeleo, hii inadidimiza harakati za timu pinzani zinapokutana.
Kiuhalisia umezungumza kitu Cha kweli kabisa.
Lakin sijajua kwa upande wa Yanga, ila Simba imekuwa tuu machi
Yanga Hajawahi kuwa na ushindi wa makando makandoKama imesababisha mi nafikiri ni vyema CAF wakaichunguza, ikiwemo baadhi ya matukio yake!
Hasa kweny suala la uongezwaji wa dakika!
Na suala la marefa kuwapa upendeleo, hii inadidimiza harakati za timu pinzani zinapokutana.
Kiuhalisia umezungumza kitu Cha kweli kabisa.
Lakin sijajua kwa upande wa Yanga, ila Simba imekuwa tuu machi