Until_The_End
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 1,456
- 2,202
Huo ubora lazima Upimwe. Na kipimo ni Ushiriki wa timu za ligi husika kwenye mashindano ya CAFUbora wa ligi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ubora lazima Upimwe. Na kipimo ni Ushiriki wa timu za ligi husika kwenye mashindano ya CAFUbora wa ligi
Yanga Hajawahi kuwa na ushindi wa makando makandoKama imesababisha mi nafikiri ni vyema CAF wakaichunguza, ikiwemo baadhi ya matukio yake!
Hasa kweny suala la uongezwaji wa dakika!
Na suala la marefa kuwapa upendeleo, hii inadidimiza harakati za timu pinzani zinapokutana.
Kiuhalisia umezungumza kitu Cha kweli kabisa.
Lakin sijajua kwa upande wa Yanga, ila Simba imekuwa tuu machi
Tulia upopolewe maana sio kwa huo ujinga wako uliouandika hapa
Yanga Hajawahi kuwa na ushindi wa makando makandoKama imesababisha mi nafikiri ni vyema CAF wakaichunguza, ikiwemo baadhi ya matukio yake!
Hasa kweny suala la uongezwaji wa dakika!
Na suala la marefa kuwapa upendeleo, hii inadidimiza harakati za timu pinzani zinapokutana.
Kiuhalisia umezungumza kitu Cha kweli kabisa.
Lakin sijajua kwa upande wa Yanga, ila Simba imekuwa tuu machi
Kabisa mkuu...wanatuharibia ligiWale waamuzi njaa na wa mchongo, watakuwa wana mchango wao mkubwa tu kwenye hili.
Wrong accusationBaada ya singida na yanga kupanga matokeo sisi wadau wa michezo tuliandika barua kuitaarifu caf jinsi yanga inavyopanga matokeo na kujidunga sindano hivyo wameifanyia kazi barua yetu!
Hapa mkuu...mim ni mchambuzi....sina any interest with YangaWatu sampuli yako ndiyo wanafanya Yanga inaonekana ni klabu ya vilaza, wakati mwingine jaribu kuficha upumbavu wako kwa maslahi mapana ya Yanga.
Hapa mkuu...mim ni mchambuzi....sina any interest with YangaWatu sampuli yako ndiyo wanafanya Yanga inaonekana ni klabu ya vilaza, wakati mwingine jaribu kuficha upumbavu wako kwa maslahi mapana ya Yanga.
Kivp mkuuMkuu chomoa ukimbie mbio zote..
Sio akili yako hii
Zamwamwa ni mtu genius sana ...in Nyakyusa tongue....cjajua huko kwenu??Ndugu yangu Labani og leo ndo umedhihirisha kuwa wewe ni zamwamwa
Hapana mkuu...umekosea kusomaMaresha ni nini ndugu mchambuzi usiyejua kuchambua?
Kwann tuwe wajinga Mkuutuacheni kuwa wajinga kupita maelezo
Hasara Kwa ligiUbaya ubwela ze bad is back[emoji16]