Hakika ujinga wa uzeeni lazima utakufa nao tu.LIGI KUU YA TANZANIA YAPOROMOKA VIWANGO AFRIKA
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Limetoa Orodha viwango vya Ligi katika Nchi zote Barani Afrika
Hii ni Baadhi tu ya Orodha ikionyesha Zile Ligi kuu Bora zaidi zilizopo katika Nafasi za Juu huku ligi ya Tanzania #NBCPremierLeague ikiporomoka ikiondoka katika 5 bora ikitoka katika nafasi ya 5 hadi nafasi ya 6 mwaka huu.
Hii michezo ya makolo kuhonga maresha yasababisha
Unahisi Sababu zipi zimepelekea ligi ya Tanzania Kushuka ??View attachment 3245226
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kwann mkuu..m .unahisi nn kimesababishaHeri kunyamaza kimya kama unajijua ni mjinga kuliko kuanika upumbavu wako hivi
Kivipi mkuu...hujui kuwa tulikuwa na ligi Bomba sanaHaya mambo ya usimba na uyanga yanawafanya wakati mwingine muwe kama nati zimelegea vile. [emoji1787] [emoji1787]
Hufuatilii soka mkuuUsimba na Uyanga unawavua watu heshima kabisa, mtu unamheshimu ila ikifikia SIMBA na YANGA anaamua kua mpumbavu kwa kulazimisha.
Sawa mkuu....japo hili tulifanyie kaziMtoa mada apuuzwe, hakuna anachojua
Points za Yanga ni kubwa ....since Yanga walikuwa CAF champions leagueYanga mmechangia point 2 tu mkakimbia ulitaka iweje... Subiri Simba afuzu nusu fainali itarudi
Chart inaonesha kila timu ina point 2. Huwenda za Simba zikaongezekaPoints za Yanga ni kubwa ....since Yanga walikuwa CAF champions league
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mtoa mada nadhani ujakaa ukatafuta sababu za kueleweka Kuna timu inapewa point hilo halijifichi. Acha kua shabiki maandazi.LIGI KUU YA TANZANIA YAPOROMOKA VIWANGO AFRIKA
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Limetoa Orodha viwango vya Ligi katika Nchi zote Barani Afrika
Hii ni Baadhi tu ya Orodha ikionyesha Zile Ligi kuu Bora zaidi zilizopo katika Nafasi za Juu huku ligi ya Tanzania #NBCPremierLeague ikiporomoka ikiondoka katika 5 bora ikitoka katika nafasi ya 5 hadi nafasi ya 6 mwaka huu.
Hii michezo ya makolo kuhonga maresha yasababisha
Unahisi Sababu zipi zimepelekea ligi ya Tanzania Kushuka ??View attachment 3245226
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Unachosema na rekodi uliyotuma ni vitu tofauti,,,NBC premier league imebaki kwenye nafasi ya 6. haijapanda wala kuporomoka.LIGI KUU YA TANZANIA YAPOROMOKA VIWANGO AFRIKA
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Limetoa Orodha viwango vya Ligi katika Nchi zote Barani Afrika
Hii ni Baadhi tu ya Orodha ikionyesha Zile Ligi kuu Bora zaidi zilizopo katika Nafasi za Juu huku ligi ya Tanzania #NBCPremierLeague ikiporomoka ikiondoka katika 5 bora ikitoka katika nafasi ya 5 hadi nafasi ya 6 mwaka huu.
Hii michezo ya makolo kuhonga maresha yasababisha
Unahisi Sababu zipi zimepelekea ligi ya Tanzania Kushuka ??View attachment 3245226
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Sisi Yanga ndo maana tunaonekana hatuna akili.LIGI KUU YA TANZANIA YAPOROMOKA VIWANGO AFRIKA
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Limetoa Orodha viwango vya Ligi katika Nchi zote Barani Afrika
Hii ni Baadhi tu ya Orodha ikionyesha Zile Ligi kuu Bora zaidi zilizopo katika Nafasi za Juu huku ligi ya Tanzania #NBCPremierLeague ikiporomoka ikiondoka katika 5 bora ikitoka katika nafasi ya 5 hadi nafasi ya 6 mwaka huu.
Hii michezo ya makolo kuhonga maresha yasababisha
Unahisi Sababu zipi zimepelekea ligi ya Tanzania Kushuka ??View attachment 3245226
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app