Japo walitolewaKwamba Yanga wapo CAFCL?
Wamepangwa kucheza na nani?
Tante mkuu njoo umuwahishe merembe kijana wako kabla hajaanza kuokota makopo jalalani[emoji23][emoji23]
Si kweliWewe utakuwa kubwa jinga, caf watakuwa wameujua mchezo wa utopolo kudhamini timu pinzani labda, saidi kamwaga upupu pumbaf nyie yanga
Hapana mkuu GSM kachangia ligi kukua since kasababisha timu kuwa na uwezo mkubwa wa kipesaGSM kudhamini timu 8; ndicho chanzo. Na Singida kuingiza kikosi dhaifu Dhidi ya Yanga
Una maanisha nn mkuuMtoto mpumbavu ni mzigo kwa *****
Simba tuMo anadhamini vilabu vingap kwny ligi?
HahaaTulia upopolewe maana sio kwa huo ujinga wako uliouandika hapa
Yaaah ni kweli mkuuWapuliza pilimbi ndo wanaiharibu ligi yetu
Yaah ndo maana arajiga tu ndo anachezesha mechi za yangaKi uhalisia Ligi yetu haiwezi kushika nafasi ya 4 ni uongo ukio tukuka.
Marefa wana boronga kwa kiwango cha juu sana.
Refa aliye boronga mechi ya Leo unamkuta bado anachezeas mechi ijayo.
Awa marefa si kama hawajui kuchezesha ila wanapewa maelekezo ndio maana hawachukuliwi hatua.
Kama isingekua maelekezo, matatizo ya uchezeshaji yange pungua kwa hofu ya wao kuwajibishwa.
Moja ya sababu kubwa ya ligi kubebwa ni kwakua mechi zake zote zinakua live ila mambo yanayo tokea uwanjani ndio yana tuvunjia heshma kama Nchi.
yanga wameshindwa kuqualify kwenda quarter final nakupelekea NBC premier league kushindwa kuongeza points zake kwenye rank za CAF. Yanga wameiporomosha ligi yetu
Na yule mwarabu tapeli tapeli je?
🤣🤣🤣tulia upikwe