Ligii kuu Tanzania Bara: Namungo FC 1-1 Yanga SC

Ligii kuu Tanzania Bara: Namungo FC 1-1 Yanga SC

Namungo yupo mchezaji wetu wa zamani, mimi kama shabiki wa simba lazima niwe mzalendo
 
Kuna watu wana maneno sana

98A35635-3435-4B9C-ADC4-D05D25762EA9.jpeg
 
Ni pale kwa Majariwa Stadium, Bila ya Kiungi Khalid Aucho, Ni Namungo Fc Dhini Ya Vinara Wa Ligi Kuu Tanzania Yanga Sc, Ni muendelezo wa Mechi za Ligii kuu Tanzania Bara.

Je, Nani Kuibuka Na Ushindi Ni Namungo au Yanga, Majibu yote ni Baada Ya Dakika 90 kumalizika Kuanzia Saa 10 kamili Jioni Ya Leo.

Baada ya Maneno Mengi na Maswali Mengi ya Fair Competition Nini kitatokea Leo?

Tuwe hapa kwa Dakika 90
Hii mechi inachezwa uwanja wa ilulu manispaa ya Lindi
 
Ni pale kwa Majariwa Stadium, Bila ya Kiungi Khalid Aucho, Ni Namungo Fc Dhini Ya Vinara Wa Ligi Kuu Tanzania Yanga Sc, Ni muendelezo wa Mechi za Ligii kuu Tanzania Bara.

Je, Nani Kuibuka Na Ushindi Ni Namungo au Yanga, Majibu yote ni Baada Ya Dakika 90 kumalizika Kuanzia Saa 10 kamili Jioni Ya Leo.

Baada ya Maneno Mengi na Maswali Mengi ya Fair Competition Nini kitatokea Leo?

Tuwe hapa kwa Dakika 90
Chirwaaaaaa gooooooooaaaaalllll!!! Namungo 1 Mapele 0!!!
Uto watofautishe kutamba mechi na wavulana na zile kucheza na wanaume!! Mayele kawa mapele!!!!!!
 
Back
Top Bottom