Landcruiser
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 1,805
- 599
...Ni swali tu... hivi ukubwa wa nchi ya Burundi unaweza kulinganishwa na mkoa gani Tanzania... na Rwanda je?
Rwanda tu Morogoro ni kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...Ni swali tu... hivi ukubwa wa nchi ya Burundi unaweza kulinganishwa na mkoa gani Tanzania... na Rwanda je?
ukifa msalimu babayangu aliyefariki sababu ya CCM. Kwangu mimi adui ni CCM na Rwanda ni ndugu zangu.
Sikatai kuandaliwa kwa haya majeshi, ila swali langu najiuliza, hivi kwa mfano Tanzania ikaingia kwenye vita na nchi yoyote kwenye eneo la maziwa mkuu ni kwa FAIDA ya nani? Maana watanzania tusidanganywe kuwa vita yoyote ni kwa faida ya WATANZANIA. Maana mimi hata haya malumbano ya TANZANIA na RWANDA sijui msingi wake ni nini. Raisi wetu alitoa ushauri wa Kagame, well and good, however, yeye kuna mangapi mabaya yanafanyika ndani ya nchi yake na ajachukua hatua? Maana tusitengeneze mazingira ya hatari ya kujitakia halafu baadae yakaonekana na kwa faida ya watanzania. This is totally wrong and unacceptable. Watawala wengi wa Afrika na wakiwemo wengine wa Tanzania kazi yao ni kufanya mambo kwa maslahi yao....Kabla ya hii nchi kupelekwa kwenye vita aidha za maneno au za silaha, watanzania tuambiwe hayo mavita yana faida gani kwa WATANZANIA na WANYARWANDA. Tusipelekwe kichwa kichwa tu. Hawa viongozi wetu wanarushiana maneno ila sisi WATANZANIA na WANYARWANDA bila shaka tunahitaji kuishi kwa umoja na undugu.
Mimi naomba watuambie kwanza hizi vita za maneno au za silaha ni kwa maslahi ya nani?
msiwe wepesi wa kwenda mtwara kubaka dada zetu nendeni mkabake wanyarwanda..
Napendekeza thread going iwe banned, ifungwe kwani inahatarisha usalama wa nchi, na maadui wanasoma mwelekeo wetu.
Tanzania hatuna usiri wa vitu nyeti kama hivi?.
Ni wakati wa taifa letu kuendeleza mshikamano wengu katika hali yoyote itakayojili kuilenga tanzania,
hatuna nchi nyingine ni hii hii lazima tuitetee kwa nguvu zote.
Mwanajeshi gani kavujisha siri kamwambia Mwanakijiji mipango ya Jeshi letu.
Wanajeshi wanamna hii ni hatari kwa kutoa siri wanaweza hata kusaidiana na maadui zetu kutuhujumu.
Mkuu wa majeshi kuwa makini na vijana wako.
Hivi kusikia Marekani inatuma meli zake za kivita huko Mashariki ya Kati wakati inasubiri kuishamblia Syria ni kuhatarisha usalama? Kuna siri na hii si siri yenye kuhatarisha jambo lolote. Mtu yeyote aliyesoma vizuri ataona kuwa kuna habari ambazo ningeweza kuziweka lakini kwa makusudi sikuziweka. Lakini katika nchi ya kidemokrasia wananchi hawatakiwi kujua mambo ambayo jeshi linapanga kufanya kwa jina lao - si wao ndio watalipia na wanalipia kodi mambo haya?