kibla matata
JF-Expert Member
- Mar 3, 2020
- 412
- 380
Ze besti piriodiKwa tafsiri rahisi kuanzia alfajiri una kutana na Zembwela na team yake then kitenge ana wa join kwenye magazeti,baada ya hapo Saa mbili kamili sport Arena,Ikiisha una kutana na Dida na Team yake,ukitoka hapo una kutana na Lil Ommy na Team yake hiyo hadi 11 jioni
Sent from my iPhone using JamiiForums