Lile fupa lililowashinda marais wanaume 4, rais mwanamke 1 aligegeda kama mlenda!. Miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa letu yatua bungeni asubuhi hii

Huyu Poti bana.
 
Fact.
 
Ndo ndo ndo si chururu !
Something always is better than nothing !
Siku hizi tunaweza kula bila kunawa zipo sanitizer ! 😅🙏🙏
 
Lissu, mbowe na wapinzani wengine critical wampe mama maua yake, na wao pia tuwape maua yao kwa ku mobilize hayo. Mama anaenda kuweka historia kubwa iliyotukuka nchini
Akiamua anaweza !!
Na atakumbukwa milele kwa mazuri sio kwa mabaya !
Hata Jk angetaka angetupatia Katiba mpya lakini hakutaka tu kujiwekea legacy iliyotukuka. !!
Rais ana madaraka makubwa sana Nchi hii na pia Mwenyekiti wa Chama pia ana madaraka makubwa sana ndani ya Chama !!
Kwa mintarafu hizo nani mwenye ubavu wa kuzuia jambo jema akiamua lifanyike ??!! Tusidanganyane eti kuna wahafidhina wala nini !
Locuta causa finita kwa kilatini 😅🙏🙏
 
Nadhani ni response ya mapendekezo yaliyotolewa na vyama vya siasa kuhusu namna ya kuendesha chaguzi zetu bila makelele. Imekaa vizuri
 
Eti "rais shupavu kabisa".... Dah kweli paskali huyu ana mission maalum humu na si nyingine bali na kumtengenezea mazingira ya kuaminika huyo anayemwita ni shupavu... Hongera mkuu kwa kuwa undercover.
 
 
Pascal licha yakwamba ni sehemu ya CCM Lakini amekuw a akikwazwa na mwenendo wa namna chama hicho kinavyo ongoza nchi yetu .

Kuna kesi zisizo na idadi namna ambavyo chaguzi zetu za serikli za mitaa na chaguzi kuu , wagombea wa vyama mbadala (Upinzani) wakinyanyasika na kudhurumiwa hakizao za kuwa viongozi wa wananchi katika maeneo mbalimbali.

Kwa mda mrefu wananchi wamekuwa wakinyimwa baadhi ya viongozi wanao wataka kutoka vyama mbada na kusababisha kuchelewa Kwa maendeleo halisi.

Kwahiyo pengine furaha ya ndugu na kaka yetu Pascal Mayala ni kuona kile ambacho kumekuwa kikimuumiza mda mrefu madadiliko yana chungulia licha yakwamba bado uhalisia kuonekana content za miswaada hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…