Lile fupa lililowashinda marais wanaume 4, rais mwanamke 1 aligegeda kama mlenda!. Miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa letu yatua bungeni asubuhi hii

Lile fupa lililowashinda marais wanaume 4, rais mwanamke 1 aligegeda kama mlenda!. Miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa letu yatua bungeni asubuhi hii

Paskal,

Hatujawahi kuwa na shida na uwepo wa sheria za uchaguzi, tume na ofisi ya msajili. Ila shida ipo kwenye content zake. Sasa sheria hizo zimepelekwa bungeni hata hujaona mapendezo ya mabadiliko yanalenga kuboresha au kuleta kichefuchefu zaidi.

Wewe tayari umeshaanza kusifia hata hujui unasifia nini. Magufuli alipeleka sheria nyingi bungeni lakini nyingi tumeona zilivyokuwa za hovyo.

Umekosa subira, ungesubiri ujue kilichopo na kama ndio kilio cha wananchi basi usifie.

Kuwa chawa promax unahitaji akili kubwa sio kuropoka na kusifia hata usichokijua
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent from my CPH2251 using JamiiForums mobile app
 
Paskal,

Hatujawahi kuwa na shida na uwepo wa sheria za uchaguzi, tume na ofisi ya msajili. Ila shida ipo kwenye content zake. Sasa sheria hizo zimepelekwa bungeni hata hujaona mapendezo ya mabadiliko yanalenga kuboresha au kuleta kichefuchefu zaidi.

Wewe tayari umeshaanza kusifia hata hujui unasifia nini. Magufuli alipeleka sheria nyingi bungeni lakini nyingi tumeona zilivyokuwa za hovyo.

Umekosa subira, ungesubiri ujue kilichopo na kama ndio kilio cha wananchi basi usifie.

Kuwa chawa promax unahitaji akili kubwa sio kuropoka na kusifia hata usichokijua
Pascal ni jitu lipuuzi sana! mfupa upi ameumaliza Samia kabla hujaona content zake?
 
CCM wanasema kuwa Tume ya uchaguzi ukiopo ni huru kwani hawaoni sababu ya kuibandilisha na kuliita Tume Huru ya Uchaguzi.
Kesho utasikia tena wanavyobadilisha biti.
 
Wanabodi

Soma bandiko hili kwa utangulizi huu Je, kuna kazi za kike na za kiume? Fupa hili lililowashinda wanaume wanne, mwanamke mmoja ataliweza? na Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani: Je Wajua Kuna Wanawake Wana Uwezo Mkubwa Kuliko Wanaume ila Wamekuwa Wanabaniwa!. Hata Huyo Kuonyesha Uwezo na ... na Je Wajua kuna Fupa Fulani la Dhulma kwa Watanzania, Liliwashinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli, Jee Mama Samia Ataliweza Fupa Hili?.

Leo tarehe 10 November, 2023 ni siku ya ukombozi fulani kwa taifa letu la Tanzania, Lile Fupa Lililowashinda Marais Wanaume kwa kipindi cha miaka 40!, Rais Samia, ambaye ni rais Mwanamke shujaa wa awamu ya sita, leo ameanza kuli gegeda fupa hili lililowashinda marais madume wanne!, tena mgegedo wenyewe wa fupa hili, Mwanamke shujaa huyu, ameanza kuligegeda akiwa ndani ya kipindi cha miaka miwili tuu na miezi kadhaa, kwa miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa Letu, inatua Bungeni Dodoma asubuhi hii kwa hati ya dharura!

Miswada hiyo ni Mswada wa mabadiliko ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuunda Tume Huru ya Uchaguzi, Muswada wa mabadiliko ya sheria ya uchaguzi kuondoa dhulma kubwa kwenye sheria yetu ya uchaguzi na muswada wa kurekebisha ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa nchini.

Japo bado sijafanikiwa kuona contents za miswada hiyo, lakini kitendo cha serikali ya awamu ya sita kuwasilisha tuu miswada hii ni uthibitisho wa nia njema na dhamira ya dhati ambapo Rais Samia anastahili pongezi za dhati na kuthibitisha Wanawake wana uwezo mkubwa kuliko wanaume kwenye baadhi ya maeneo,

The basis ya pongezi hizi kabla hata ya kujua contents za mabadiliko ya sheria hizo ni pongezi za just a Political Will to change something!. Nimepandisha mabandiko zaidi ya 10 kulalamikia sheria mbovu ya uchaguzi, toka enzi za Mkapa, JK na JPM, hakuna aliyechukua hatua, hivyo kitendo tuu cha serikali ya Samia kuwa sikivu na kuleta mabadiliko, kinastahili pongezi za dhati!.

Kwa wenye access na TBC, macho na masikio yetu tuyaelekeze Bungeni Dodoma milango ya saa 4:30 asubuhi hii, hizi ngoma 3 zitashuka!.

NB: Pamoja na mabadiliko haya kutua Bungeni, ile hoja yangu Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa? is still valid!.

Karibuni

Paskali
Mkuu Nakuunga mkono.
 
Wanabodi

Soma bandiko hili kwa utangulizi huu Je, kuna kazi za kike na za kiume? Fupa hili lililowashinda wanaume wanne, mwanamke mmoja ataliweza? na Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani: Je Wajua Kuna Wanawake Wana Uwezo Mkubwa Kuliko Wanaume ila Wamekuwa Wanabaniwa!. Hata Huyo Kuonyesha Uwezo na ... na Je Wajua kuna Fupa Fulani la Dhulma kwa Watanzania, Liliwashinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli, Jee Mama Samia Ataliweza Fupa Hili?.

Leo tarehe 10 November, 2023 ni siku ya ukombozi fulani kwa taifa letu la Tanzania, Lile Fupa Lililowashinda Marais Wanaume kwa kipindi cha miaka 40!, Rais Samia, ambaye ni rais Mwanamke shujaa wa awamu ya sita, leo ameanza kuli gegeda fupa hili lililowashinda marais madume wanne!, tena mgegedo wenyewe wa fupa hili, Mwanamke shujaa huyu, ameanza kuligegeda akiwa ndani ya kipindi cha miaka miwili tuu na miezi kadhaa, kwa miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa Letu, inatua Bungeni Dodoma asubuhi hii kwa hati ya dharura!

Miswada hiyo ni Mswada wa mabadiliko ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuunda Tume Huru ya Uchaguzi, Muswada wa mabadiliko ya sheria ya uchaguzi kuondoa dhulma kubwa kwenye sheria yetu ya uchaguzi na muswada wa kurekebisha ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa nchini.

Japo bado sijafanikiwa kuona contents za miswada hiyo, lakini kitendo cha serikali ya awamu ya sita kuwasilisha tuu miswada hii ni uthibitisho wa nia njema na dhamira ya dhati ambapo Rais Samia anastahili pongezi za dhati na kuthibitisha Wanawake wana uwezo mkubwa kuliko wanaume kwenye baadhi ya maeneo,

The basis ya pongezi hizi kabla hata ya kujua contents za mabadiliko ya sheria hizo ni pongezi za just a Political Will to change something!. Nimepandisha mabandiko zaidi ya 10 kulalamikia sheria mbovu ya uchaguzi, toka enzi za Mkapa, JK na JPM, hakuna aliyechukua hatua, hivyo kitendo tuu cha serikali ya Samia kuwa sikivu na kuleta mabadiliko, kinastahili pongezi za dhati!.

Kwa wenye access na TBC, macho na masikio yetu tuyaelekeze Bungeni Dodoma milango ya saa 4:30 asubuhi hii, hizi ngoma 3 zitashuka!.

NB: Pamoja na mabadiliko haya kutua Bungeni, ile hoja yangu Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa? is still valid!.

Karibuni

Paskali
Dah kugegeda tena.
 
Mimi naamini samia ametaka tu kujipatia sifa wakati sheria zinasimamia mambo yote hayo hazikua wala na upungufu mkubwa. Naamini wale wa kushinda uchaguzi wataendelea kushinda na wale wa kushindwa wataendelea kushindwa. Wala kusiwe na mtu akafikiri alikua anashindwa kutokana na sheria. Binafsi naamini watu ndio tatizo wala haikua sheria zetu. Wezi wa kura hata kwa sheria ipi wataendelea kuwepo japo binafsi siamini ni jambo liliweza kupatia chama au ushindi kwa mgombea urais. Kwa upande wangu naona mabadiliko muhimu ni lile la rais kupatikana kwa ushindi wa asilimia zaidi ya 50. Natumaini liwepo kwenye haya mabadiliko.
Kwa taarifa yako uchaguzi ukiwa halali hakuna uwezekano wa ccm kufikia ushindi wa 2/3. Rejea uchaguzi wa 2010, graph ya upinzani ilivyopanda. Na uchaguzi wa 2015 ikazidi kupanda. Huu uporaji uliofanyika 2020 haukuwa wa bahati mbaya, Bali ilikuwa ni kuogopa ukweli huo.

Na hata Sasa hizo Sheria huko bungeni itafanyika demokrasia ya danganya toto ili kupatia mikopo na misaada, lakini hakuna mabadiliko serous yatafanyika. Kizazi hiki sio Cha ccm, hivyo hakuna uwezekano wa ccm kuendelea kushinda itakavyo, ndio maana chaguzi inabidi ziwe za kihayawani ili ccm iendelee kukaa madarakani kwa shuruti.
 
Wanabodi

Soma bandiko hili kwa utangulizi huu Je, kuna kazi za kike na za kiume? Fupa hili lililowashinda wanaume wanne, mwanamke mmoja ataliweza? na Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani: Je Wajua Kuna Wanawake Wana Uwezo Mkubwa Kuliko Wanaume ila Wamekuwa Wanabaniwa!. Hata Huyo Kuonyesha Uwezo na ... na Je Wajua kuna Fupa Fulani la Dhulma kwa Watanzania, Liliwashinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli, Jee Mama Samia Ataliweza Fupa Hili?.

Leo tarehe 10 November, 2023 ni siku ya ukombozi fulani kwa taifa letu la Tanzania, Lile Fupa Lililowashinda Marais Wanaume kwa kipindi cha miaka 40!, Rais Samia, ambaye ni rais Mwanamke shujaa wa awamu ya sita, leo ameanza kuli gegeda fupa hili lililowashinda marais madume wanne!, tena mgegedo wenyewe wa fupa hili, Mwanamke shujaa huyu, ameanza kuligegeda akiwa ndani ya kipindi cha miaka miwili tuu na miezi kadhaa, kwa miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa Letu, inatua Bungeni Dodoma asubuhi hii kwa hati ya dharura!

Miswada hiyo ni Mswada wa mabadiliko ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuunda Tume Huru ya Uchaguzi, Muswada wa mabadiliko ya sheria ya uchaguzi kuondoa dhulma kubwa kwenye sheria yetu ya uchaguzi na muswada wa kurekebisha ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa nchini.

Japo bado sijafanikiwa kuona contents za miswada hiyo, lakini kitendo cha serikali ya awamu ya sita kuwasilisha tuu miswada hii ni uthibitisho wa nia njema na dhamira ya dhati ambapo Rais Samia anastahili pongezi za dhati na kuthibitisha Wanawake wana uwezo mkubwa kuliko wanaume kwenye baadhi ya maeneo,

The basis ya pongezi hizi kabla hata ya kujua contents za mabadiliko ya sheria hizo ni pongezi za just a Political Will to change something!. Nimepandisha mabandiko zaidi ya 10 kulalamikia sheria mbovu ya uchaguzi, toka enzi za Mkapa, JK na JPM, hakuna aliyechukua hatua, hivyo kitendo tuu cha serikali ya Samia kuwa sikivu na kuleta mabadiliko, kinastahili pongezi za dhati!.

Kwa wenye access na TBC, macho na masikio yetu tuyaelekeze Bungeni Dodoma milango ya saa 4:30 asubuhi hii, hizi ngoma 3 zitashuka!.

NB: Pamoja na mabadiliko haya kutua Bungeni, ile hoja yangu Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa? is still valid!.

Karibuni

Paskali
Hauteuliwi ng'o
 
Hatujawahi kuwa na shida na uwepo wa sheria za uchaguzi, tume na ofisi ya msajili. Ila shida ipo kwenye content zake. Sasa sheria hizo zimepelekwa bungeni hata hujaona mapendezo ya mabadiliko yanalenga kuboresha au kuleta kichefuchefu zaidi.
Well said..!

Tungemsifia Hangaya kama angeshirikisha wadau wa vyama vingine vya siasa kwenye kutengeneza hiyo miswada.
 
Wanabodi

Bandiko hili ni utangulizi wa bandiko hili
- Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria Au?. na bandiko hili
-
Je, kuna kazi za kike na za kiume? Fupa hili lililowashinda wanaume wanne, mwanamke mmoja ataliweza? na

Leo tarehe 10 November, 2023 ni siku ya ukombozi fulani kwa taifa letu la Tanzania, Lile Fupa Lililowashinda Marais Wanaume kwa kipindi cha miaka 40!, Rais Samia, ambaye ni rais Mwanamke shujaa wa awamu ya sita, leo ameanza kuli gegeda fupa hili lililowashinda marais madume wanne!, tena mgegedo wenyewe wa fupa hili, Mwanamke shujaa huyu, ameanza kuligegeda akiwa ndani ya kipindi cha miaka miwili tuu na miezi kadhaa, kwa miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa Letu, inatua Bungeni Dodoma asubuhi hii kwa hati ya dharura!

Miswada hiyo ni Mswada wa mabadiliko ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuunda Tume Huru ya Uchaguzi, Muswada wa mabadiliko ya sheria ya uchaguzi kuondoa dhulma kubwa kwenye sheria yetu ya uchaguzi na muswada wa kurekebisha ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa nchini.

Japo bado sijafanikiwa kuona contents za miswada hiyo, lakini kitendo cha serikali ya awamu ya sita kuwasilisha tuu miswada hii ni uthibitisho wa nia njema na dhamira ya dhati ambapo Rais Samia anastahili pongezi za dhati na kuthibitisha Wanawake wana uwezo mkubwa kuliko wanaume kwenye baadhi ya maeneo,

The basis ya pongezi hizi kabla hata ya kujua contents za mabadiliko ya sheria hizo ni pongezi za just a Political Will to change something!. Nimepandisha mabandiko zaidi ya 10 kulalamikia sheria mbovu ya uchaguzi, toka enzi za Mkapa, JK na JPM, hakuna aliyechukua hatua, hivyo kitendo tuu cha serikali ya Samia kuwa sikivu na kuleta mabadiliko, kinastahili pongezi za dhati!.

Kwa wenye access na TBC, macho na masikio yetu tuyaelekeze Bungeni Dodoma milango ya saa 4:30 asubuhi hii, hizi ngoma 3 zitashuka!.

NB: Pamoja na mabadiliko haya kutua Bungeni, ile hoja yangu Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa? is still valid!.

Karibuni

Paskali
CHAWA PROMAX UTRA
 
Miswada hiyo ni Mswada wa mabadiliko ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuunda Tume Huru ya Uchaguzi, Muswada wa mabadiliko ya sheria ya uchaguzi kuondoa dhulma kubwa kwenye sheria yetu ya uchaguzi na muswada wa kurekebisha ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa nchini.
Kwa hili, Hakika apewe maua yake.
 
Susa Susa FC wanasemaje?
hakuna cha maana

Na hata Sasa hizo Sheria huko bungeni itafanyika demokrasia ya danganya toto
...

CHADEMA inasikitisha sana.
Hata hivyo,
nasubiri marejesho kutoka vyama vya Siasa nchini, labda wao ndio watakuwa substantive.

zaidi ya hapo, huu uzi umejaa kurasa nyingi za kumshambulia mleta taarifa.

Sauti ya Watanzania ikamatie hapo hapo.
 
Ulipaswa kutumia 'kugigida'.

Na siyo kugegeda.

Kugegeda kuna tafsiri ya kufanya ngono. Kuna kugegeda na kugegedwa.
KUGEGEDA NI KUTAFUNA KWA SHIDA KITU KIGUMU KAMA MAHINDI MAGUMU, MUHOGO MGUMU, AU MBWA AU PAKA ANAVYOTAFUTA MFUPA NK, HAYO YA NGONO YALIKUWA BAADAYE KAMA NAHAU
 
Back
Top Bottom