Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi,
Hili ni bandiko la kitu kipya humu kinachoitwa "Jicho Ona".
Jicho Ona ni vile vitu ambavyo kwa jicho la kawaida vinaonekana kama ni vitu vizuri jambo jema, jambo zuri, jambo la kawaida, ila jicho ona linaona kuliko jicho la kawaida, linaona visivyo onekana na jicho la kawaida, jicho ona linaviona na kuviibua.
ikitokea kuna mtu ana jicho ona na unamkubali sana, kila jicho ona lake likiona kile unachokiona wewe wengine hawakioni, kila ukimpongeza unanyooshewa vidole na kuitwa chawa!, unafikia mahali unaamua hata ukiona jicho ona limeona kitu, unapongeza kimoyo moyo tuy ili kuepuka usiitwe "chawa", unajizuia mwisho unashindwa!
Leo nimeingia jf nikakutana na bandiko hili Watanzania ile Kesi ya kupinga matokeo ya Rais nchi Jirani sasa inarushwa mubashara na Citizen tv siyo hapa tunamtegemea MMM. Hivyo nikaamua kuwasha TV niangalie hii kesi.
Naifuatilia kwa shauku kubwa kwasababu sisi Tanzania tunafuata mfumo wa sheria wa Uingereza, The Common Laws of England, ambapo kamera haziruhusiwi mahakamani wala kesi hazitangazwi live, lakini kwa vile hii kesi ya uchaguzi ni high profile case, na ina the biggest public interest, then watakuwa wamekubali hii kesi iwe live ili kutoa fursa kwa public kuona kinachoendelea.
Nilipowasha TV, nikajikuta nasukumwa na uzalendo wa kichungulia kwanza hapa nyumbani kuna nini kabla ya kwenda Kenya. Ile kuwasha tuu TBC, macho kwa macho nakutana na jicho hilo!, baada tuu ya kuona jicho, mimi kwisha habari yangu, hakuna tena cha kwenda Kenya wala cha nini, ni nimeganda hapo hapo kwenye TV kukodolea macho jicho!
Nikamkuta mzungumzaji? Wa jicho ona yuko mubashara on TBC kwenye event fulani Jeshi la Polisi inayofanyika CCP Moshi. Mzungumzaji ametoa shukrani kwa wafadhili mbali mbali waliojitolea kulidhamini jeshi la polisi kufanikisha tukio hilo.
Mzungumzaji akasema wazi kuna taasisi za kudhaminiwa na wafadhili mbalimbali na kuna wafadhili na wadhamini, akasema wazi kuna baadhi ya shughuli jeshi la polisi halipaswi kuomba ufadhili wala udhamini, lifanye kwa uwezo wake wenyewe wa ndani, kwasababu hao wafadhili ni binadamu, wanapo lifadhili jeshi la polisi, siku wakifanya makosa, jeshi litakumbwa na kigugumizi namna ya kumwajibisha sponsor!
Hili limefurahisha sana na kunigusa sana, kwasababu hata sisi media, kuna mambo huwezi kufanya bila kumtegemea sponsor, sasa siku sponsors akiharibu, je media tutaweza kumuwajibisha kwa kumuandika vibaya?
Ukiisha dhaminiwa ni lazima umripoti vizuri sponsor!
Kiukweli kabisa lile jicho ona, linaona sana na litalisaidia sana taifa hili kwa kuona visivyo onekanika!
At this jancture jamani na mimi naomba mnipe pongezi zangu kwà kulibaini hili jicho ona kitambo sana!
Angalia tarehe ya bandiko hili Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?
Pia nina kijiswali katika mambo haya haya ya udhamini, kwa vile Ikulu ni mahala patakatifu akitokea mfadhili yoyote kudhamini kitu chochote au jambo lolote la pale patakatifu petu, kuwepo na maximum transparency, mdhamini huyo ni nani, the motive behind udhamini huo, how much is involved?, and if it's huge sums of money, pia tumfanyie due diligence mdhamini huyo, his source of fund and what is trying to gain kwa kuifadhili Ikulu yetu, isije kuwa sio ufadhili as ufadhili bali uwekezaji kwa kutoa advance ya kitu fulani mainly some lucrative government tenders mkakuta mfadhili anapewa kwa single source!.
Hii live ya CCP imemalizika sasa ndio nakwenda Citizen TV Kenya kuangalia kesi ya uchaguzi, nimekuta patupu!
Kuna live ya Sheikh Sharrif Nassir wa ODM kushinda Ugavana wa Mombasa.
Nawatakia siku njema.
Paskali
Hili ni bandiko la kitu kipya humu kinachoitwa "Jicho Ona".
Jicho Ona ni vile vitu ambavyo kwa jicho la kawaida vinaonekana kama ni vitu vizuri jambo jema, jambo zuri, jambo la kawaida, ila jicho ona linaona kuliko jicho la kawaida, linaona visivyo onekana na jicho la kawaida, jicho ona linaviona na kuviibua.
ikitokea kuna mtu ana jicho ona na unamkubali sana, kila jicho ona lake likiona kile unachokiona wewe wengine hawakioni, kila ukimpongeza unanyooshewa vidole na kuitwa chawa!, unafikia mahali unaamua hata ukiona jicho ona limeona kitu, unapongeza kimoyo moyo tuy ili kuepuka usiitwe "chawa", unajizuia mwisho unashindwa!
Leo nimeingia jf nikakutana na bandiko hili Watanzania ile Kesi ya kupinga matokeo ya Rais nchi Jirani sasa inarushwa mubashara na Citizen tv siyo hapa tunamtegemea MMM. Hivyo nikaamua kuwasha TV niangalie hii kesi.
Naifuatilia kwa shauku kubwa kwasababu sisi Tanzania tunafuata mfumo wa sheria wa Uingereza, The Common Laws of England, ambapo kamera haziruhusiwi mahakamani wala kesi hazitangazwi live, lakini kwa vile hii kesi ya uchaguzi ni high profile case, na ina the biggest public interest, then watakuwa wamekubali hii kesi iwe live ili kutoa fursa kwa public kuona kinachoendelea.
Nilipowasha TV, nikajikuta nasukumwa na uzalendo wa kichungulia kwanza hapa nyumbani kuna nini kabla ya kwenda Kenya. Ile kuwasha tuu TBC, macho kwa macho nakutana na jicho hilo!, baada tuu ya kuona jicho, mimi kwisha habari yangu, hakuna tena cha kwenda Kenya wala cha nini, ni nimeganda hapo hapo kwenye TV kukodolea macho jicho!
Nikamkuta mzungumzaji? Wa jicho ona yuko mubashara on TBC kwenye event fulani Jeshi la Polisi inayofanyika CCP Moshi. Mzungumzaji ametoa shukrani kwa wafadhili mbali mbali waliojitolea kulidhamini jeshi la polisi kufanikisha tukio hilo.
Mzungumzaji akasema wazi kuna taasisi za kudhaminiwa na wafadhili mbalimbali na kuna wafadhili na wadhamini, akasema wazi kuna baadhi ya shughuli jeshi la polisi halipaswi kuomba ufadhili wala udhamini, lifanye kwa uwezo wake wenyewe wa ndani, kwasababu hao wafadhili ni binadamu, wanapo lifadhili jeshi la polisi, siku wakifanya makosa, jeshi litakumbwa na kigugumizi namna ya kumwajibisha sponsor!
Hili limefurahisha sana na kunigusa sana, kwasababu hata sisi media, kuna mambo huwezi kufanya bila kumtegemea sponsor, sasa siku sponsors akiharibu, je media tutaweza kumuwajibisha kwa kumuandika vibaya?
Ukiisha dhaminiwa ni lazima umripoti vizuri sponsor!
Kiukweli kabisa lile jicho ona, linaona sana na litalisaidia sana taifa hili kwa kuona visivyo onekanika!
At this jancture jamani na mimi naomba mnipe pongezi zangu kwà kulibaini hili jicho ona kitambo sana!
Angalia tarehe ya bandiko hili Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?
Pia nina kijiswali katika mambo haya haya ya udhamini, kwa vile Ikulu ni mahala patakatifu akitokea mfadhili yoyote kudhamini kitu chochote au jambo lolote la pale patakatifu petu, kuwepo na maximum transparency, mdhamini huyo ni nani, the motive behind udhamini huo, how much is involved?, and if it's huge sums of money, pia tumfanyie due diligence mdhamini huyo, his source of fund and what is trying to gain kwa kuifadhili Ikulu yetu, isije kuwa sio ufadhili as ufadhili bali uwekezaji kwa kutoa advance ya kitu fulani mainly some lucrative government tenders mkakuta mfadhili anapewa kwa single source!.
Hii live ya CCP imemalizika sasa ndio nakwenda Citizen TV Kenya kuangalia kesi ya uchaguzi, nimekuta patupu!
Kuna live ya Sheikh Sharrif Nassir wa ODM kushinda Ugavana wa Mombasa.
Nawatakia siku njema.
Paskali