Lile "jicho ona", limeona si vema Jeshi la Polisi kuwa sponsored! Sponsors wakifanya makosa, polisi atapat kigugumizi! Vipi sisi media na sponsors?

Lile "jicho ona", limeona si vema Jeshi la Polisi kuwa sponsored! Sponsors wakifanya makosa, polisi atapat kigugumizi! Vipi sisi media na sponsors?

Sina problem yoyote na udhamini wowote popote katika jambo la kheri kama Royal Tour,
Kitu muhimu ni maximum transparency kwenye udhamini wowote wa Ikulu yetu au rais wetu,
Mdhamini ni nani
Shughuli zake ni nini
Udhamini huo ni kiasi gani?
Mdhamini ku declare interest kuwa udhamini huo ni CSR na sio lobbying and advocacy ya kumendea tenda yoyote ya serekali ili apewe kwa SS.

Mfano Royal Tour yote toka shooting hadi uzinduzi imegharimiwa na mdhamini fulani, who is he, how much did he spend?, and what for?.
P
Watawala huwa wanazungumza shit pale wanapoona kwa muda huo hawahitaji msaada wowote, lakini wakihitaji msaada na wanapoolemewa wao ndio huwa wanawaambia wakakae na wadau wa maendeleo( wadhamini) ili wasaidiane na serikali.
 
Sina problem yoyote na udhamini wowote popote katika jambo la kheri kama Royal Tour,
Kitu muhimu ni maximum transparency kwenye udhamini wowote wa Ikulu yetu au rais wetu,
Mdhamini ni nani
Shughuli zake ni nini
Udhamini huo ni kiasi gani?
Mdhamini ku declare interest kuwa udhamini huo ni CSR na sio lobbying and advocacy ya kumendea tenda yoyote ya serekali ili apewe kwa SS.

Mfano Royal Tour yote toka shooting hadi uzinduzi imegharimiwa na mdhamini fulani, who is he, how much did he spend?, and what for?.
P
Paskali kweli unamaanisha hapa! manake hizo media ndio mshipa mkubwa zaidi ya uzamini wa jeshi la polisi. Medio zilizoshika hatamu na hao watangazaji ni mtihani mkubwa mno. Haki kwa contents hakuna tena ni interest za sponsors ndio zimeshika hatamu.

Jicho Ona lione media hizi mpya, watangazaji na content, mpaka miziki ni mupe muluke.
 
Back
Top Bottom