Sina problem yoyote na udhamini wowote popote katika jambo la kheri kama Royal Tour,
Kitu muhimu ni maximum transparency kwenye udhamini wowote wa Ikulu yetu au rais wetu,
Mdhamini ni nani
Shughuli zake ni nini
Udhamini huo ni kiasi gani?
Mdhamini ku declare interest kuwa udhamini huo ni CSR na sio lobbying and advocacy ya kumendea tenda yoyote ya serekali ili apewe kwa SS.
Mfano Royal Tour yote toka shooting hadi uzinduzi imegharimiwa na mdhamini fulani, who is he, how much did he spend?, and what for?.
P