Lililoitwa Sakata la Bandari: Pumba zimeanza kujitenga na Mchele

Kazi unayo
 
Kama haupo Tanzania basi wewe ni aibu ya nchi yetu huko uliko. Maana katika hali ya kawaida utakuwa unafanya mambo mengi ya kipumbavu kwa jina la wewe ni Mtanzania.
And the JF 2023 Idiot of the Year Award goes to...


Lord denning !
 
Mimi napendekeza tubinafsishe NCHI yote kabisa Kwa waarabu NDO itasaidia kuongoze uchumi wetu
 
Hata kulichoandikwa hakieleweki.
 
Kapomwe akili na kule kwingine pengine wamepabomoa
 
Kama Taifa tumepigwa na kitu kizito. Hizi pumba zako ulizoandika humu ungezipeleka Facebook kwa watoto wenzio siyo kutuletea JF
 
Bado hujakoma?

Unafikiri kwa kumwaga upupu wako hapa sasa unabadilika toka kuwa chawa na kuwa panzi?

Wewe bado ni chawa tu na utakuwa chama milele kama hutaki kuomba urudishiwe akili zako ulizoziacha Kizimkazi Zanzibar..!!
Your browser is not able to display this video.
 
Chukulieni poa siku zaja , makaburi yenu yatafukuliwa na kupelekwa makumbusho, na pingu juu,
 
Acha kuwashambulia watu hata wewe umeandika ujinga tu na uchawi.tangu lini mwarabu anampenda mweusi?waliotimiza utumwa ni hakuwa mwarabu?dada zetu wanalawitiwa na waarabu huko kwao leo hivi sisi na mwarabu wapi na wapi.ati bandari kulikuwa na upigaji kama mnawajua si muwaondoe hao watu?acheni upuuzi mnawaleta ndugu na vikampuni vyenu halafu mnawaita wawekezaji.
 
Asipo kuelewa atakua mpumbavua kama wapumbavu wengine
 
Pumba tupu
 
Sasa unawaza kufunga makabuli pingu unadhani wewe ni mzima kweli?

Wahi milembe tu
Sasa kati yangu na wewe chawa mzoefu ,wa kuwai Milembe nani?, acha tumika ,nasema wahuni kama nyie siku ikifika makaburi yetu yatafukuliwa na skeleton zenu pigwa pingu na kupelekwa makumbusho, jua hili ,

Hao wa Milembe wengi wapo pale tokana na laana mzifanyavyo kwa ujuaji wenu, pumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…