Lililoitwa Sakata la Bandari: Pumba zimeanza kujitenga na Mchele

Lililoitwa Sakata la Bandari: Pumba zimeanza kujitenga na Mchele

Kama huna uwezo hata wa kujua hoja zilizotolewa na wengi, tena wenye akili na maarifa, basi ni halsli yako kuleta takataka kama hizi.

Kama una uwezo wa kusoma na kuelewa, tafuta maoni ya TLS, yapitie moja baada ya nyingine. Kama utakuwa bado hujaelewa, basi pumzika tu. Hizi takataka unazoweka humu, hakuna mwenye akili atakayezichukua.
Acha kuzunguka zunguka. Jibu swali
 
Unaga hoja bibi.... Hutaanza kuniandikia hisia zako,kama kawaida yako nakufahamu.
Hafu muda wa kumpikia chai Mume na kumrekebisha tai ukae vizuri sawa
Khee, aliyeolewa kupika chai dada'ko.Mie napikiwa.

Shemeji yako ushampigia pasi shati lake?
 
Kwa ufupi tu
Nina Masters ya Sheria- Westminster University
Ulienda kusoma, halafu elimu ba maarifa, ukayaacha chuoni. Wenzako walienda kusoma vyuoni, wakaelimika, wakaondoka na maarifa.
 
Ulienda kusoma, halafu elimu ba maarifa, ukayaacha chuoni. Wenzako walienda kusoma vyuoni, wakaelimika, wakaondoka na maarifa.
Kwa maarifa tu. Ninayo kwa kiwango kikubwa sana
 
Polee sana. Ndo uzuri wa ukweli lazima uume
20141018_MAP004_0.jpg
 
Ndo mana wahenga walisema ukweli unauma. Polee sana
Hakuna kiumbe mwenye akili timamu anaweza kuingia makubaliano yasiyo kuwa na ukomo, huu mkataba ni zaidi ya wizi , ujambazi na uporaji.
Usijishushe akili tutakufa tutaacha yote tusifanye hatima ya vizazi vijavyo kuwa laana na mateso, Africa jitambueni NCHI yetu tutaijenga wenyewe.
Acheni ujinga wa kuwa watumwa wafikra, natamani ungekuwa karibu yangu nikuvurumishie mangumi huenda kichwa chako kina shida unahitaji bust ili akili Yako ifanye utambuzi sahihi.
 
Khee, aliyeolewa kupika chai dada'ko.Mie napikiwa.

Shemeji yako ushampigia pasi shati lake?
🤓🤓🤓,
Aaah acha zako,kampeti mumeo huko.....bado muda wako wa kuwa hapa🤓🤓🤓
 
Bila fact kivipi? Kuna fact gani kwenye Bandari kuuzwa?

Nikikuuliza imeuzwaje unaweza kunijibu hapa? Au utaishia kupiga porojo tu?

I think ww huna more details because uko nje ya tz

It's very possible hata kinacholalamikiwa hukijui

Fanya research yako vizuri, tena ww umesoma sheria then pitia basi hata Ile kesi iliyofunguliwa mbeya

Utapata mwanga kidogo wa kujua ishu ni nini

Kama Bunge limeweza kusema wanaopinga wasikilizwe na serikali ifanyie kazi hoja zao

Unadhan Bunge ni wajinga?
 
Hakuna kiumbe mwenye akili timamu anaweza kuingia makubaliano yasiyo kuwa na ukomo, huu mkataba ni zaidi ya wizi , ujambazi na uporaji.
Usijishushe akili tutakufa tutaacha yote tusifanye hatima ya vizazi vijavyo kuwa laana na mateso, Africa jitambueni NCHI yetu tutaijenga wenyewe.
Acheni ujini wa kuwa watumwa wafikra, natamani ungekuwa karibu yangu nikuvurumishie mangumi huenda kichwa chako kina shida unahitaji bust ili akili Yako ifanye utambuzi sahihi.
Urawekaje ukomo kwenye IGA wakati kuna HGA?

Ni suala la uelewa tu ndugu. Polee sana kwa kuwa kilaza
 
Wataalamu wa siasa za nchi hii tuliposimama na Rais Samia kutetea uwekezaji wa Bandarini tulionekana sie ni machawa na tukasemwa sana.

Tuliposema kuwa hizi kelele za Bandari kuuzwa sijui nchi imeuzwa ni maneno ya chuki na uzandiki kukwamisha mipango mizuri ya Rais wetu kwenye uchumi wetu ili kuleta mapinduzi ya kiuchumi tulionekana sie tumehongwa na ni wapigaji tu.

Tulisema haya tukijua na tukiwa na ushahidi kuwa hawa watu wamekuwa wakinufaika na upigaji mkubwa ambao umekuwa unafanyika pale bandarini na wanafanya haya ili kutengeneza tension kwa muwekezaji huyu ili tu asije na waendelee kulila hili taifa letu.

Baada ya watu wenye akili kuujua ukweli na Kuanza kuelewa hoja zetu mambo yameanza kubadilika hakika

Walianza wasomi wachache, wakaja KKKT, sasa ACT Wazalendo wametuelewa na wamefanya uchambuzi murua kuunga mkono uwekezaji wa Bandarini.

Wale wengine ambao napenda kuwaita chuki fc ni kama hawasikilizwi tena. Wanaendelea kusoma waraka wao kila siku ila ni kama wamepuuzwa mazima na wananchi wanaojua kweli na wanafahamu kweli inawaweka huru.

Hayo yote tisa, kumi ni kikundi maslahi na chuki kinachotumiwa ili kumkwamisha Rais Samia. Kundi hili linaongozwa na mwanasheria Mwabukusi, mvuta bange Mdude Nyangali na aliyekimbia upadre Dkt Slaa.

Mara ya kwanza waliitisha maandamano kwa diasporas eti waandamane huko ughaibuni kwenye balozi za UAE, wakapuuzwa vibaya sana.

Jana wametoa eti siku 30 kwa serikali kuachana na Mkataba wa Bandari na walitegemea wataugwa mkono ila uzuri wamepuuzwa tena vibaya sana.


Narudia kusema humu. Ukweli una tabia ya kutembea taratibu sana ila uzuri wake ni kwamba lazima ufike tu.

Ukweli umeshafika na Watanzania wamejua kuwa hakuna Bandari iliyouzwa, IGA inahusu ushirikiano katika uwekezaji wa sehemu ndogo tu ya Bandari ya Dar es Salaam ambayo ni baadhi ya Gati za Terminal 1 tu na ndo mana Mamlaka ya Bandari imeendelea kutanganza tenda kwenye maeneo mengine.

Baada ya huu ukweli sasa naona hoja ya Bandari kuuzwa sijui kugawiwa kwa waarabu imeanza kufa rasmi.

Wale TEC na wazandiki wenzao ni kama wamekuwa machizi kung'ang'ania vitu ambavyo tayari ukweli umeshaamua mustakabali wake.

Poleni sana Wazandiki. Kweli Pumba zimeanza kujitenga na Mchele.

Hongereni kwa ushindi Team Wazalendo.
Ni vizuri uwe unachambua bangi kabla ya kuivuta hasa kumbuka kutoa mbegu
 
Wqapumbavu wale eti wanwlataka mama Samia awajibu. Nimecheka sana, Rais awajibu wao.

Kuna watu wa ajabu sana duniani.
Katika orodha ya watu wa ajabu sana hapa Duniani kwa unafiki, uelewa duni na maarifa, wewe bibi-vioja huwezi kukosekana.
 
Hana hoja au wewe una upeo finyu unaokufanya upende kusikia unavyotaka kusikia wewe tu?
Samia ajifunze Kiingereza kwanza asisaini kumpa Mbarawa full powers za kusaini kwa niaba ya Tanzania na Dubai, kwenye hoja hajafika bado.

Ajifunze Kiingereza kabla ya kufika kwenye hoja.

Mwenyewe kajijua mtupu, ndiyo maana kagwaya kujibu.
 
Back
Top Bottom