Lililoitwa Sakata la Bandari: Pumba zimeanza kujitenga na Mchele

Lililoitwa Sakata la Bandari: Pumba zimeanza kujitenga na Mchele

Wataalamu wa siasa za nchi hii tuliposimama na Rais Samia kutetea uwekezaji wa Bandarini tulionekana sie ni machawa na tukasemwa sana.

Tuliposema kuwa hizi kelele za Bandari kuuzwa sijui nchi imeuzwa ni maneno ya chuki na uzandiki kukwamisha mipango mizuri ya Rais wetu kwenye uchumi wetu ili kuleta mapinduzi ya kiuchumi tulionekana sie tumehongwa na ni wapigaji tu.

Tulisema haya tukijua na tukiwa na ushahidi kuwa hawa watu wamekuwa wakinufaika na upigaji mkubwa ambao umekuwa unafanyika pale bandarini na wanafanya haya ili kutengeneza tension kwa muwekezaji huyu ili tu asije na waendelee kulila hili taifa letu.

Baada ya watu wenye akili kuujua ukweli na Kuanza kuelewa hoja zetu mambo yameanza kubadilika hakika

Walianza wasomi wachache, wakaja KKKT, sasa ACT Wazalendo wametuelewa na wamefanya uchambuzi murua kuunga mkono uwekezaji wa Bandarini.

Wale wengine ambao napenda kuwaita chuki fc ni kama hawasikilizwi tena. Wanaendelea kusoma waraka wao kila siku ila ni kama wamepuuzwa mazima na wananchi wanaojua kweli na wanafahamu kweli inawaweka huru.

Hayo yote tisa, kumi ni kikundi maslahi na chuki kinachotumiwa ili kumkwamisha Rais Samia. Kundi hili linaongozwa na mwanasheria Mwabukusi, mvuta bange Mdude Nyangali na aliyekimbia upadre Dkt Slaa.

Mara ya kwanza waliitisha maandamano kwa diasporas eti waandamane huko ughaibuni kwenye balozi za UAE, wakapuuzwa vibaya sana.

Jana wametoa eti siku 30 kwa serikali kuachana na Mkataba wa Bandari na walitegemea wataugwa mkono ila uzuri wamepuuzwa tena vibaya sana.


Narudia kusema humu. Ukweli una tabia ya kutembea taratibu sana ila uzuri wake ni kwamba lazima ufike tu.

Ukweli umeshafika na Watanzania wamejua kuwa hakuna Bandari iliyouzwa, IGA inahusu ushirikiano katika uwekezaji wa sehemu ndogo tu ya Bandari ya Dar es Salaam ambayo ni baadhi ya Gati za Terminal 1 tu na ndo mana Mamlaka ya Bandari imeendelea kutanganza tenda kwenye maeneo mengine.

Baada ya huu ukweli sasa naona hoja ya Bandari kuuzwa sijui kugawiwa kwa waarabu imeanza kufa rasmi.

Wale TEC na wazandiki wenzao ni kama wamekuwa machizi kung'ang'ania vitu ambavyo tayari ukweli umeshaamua mustakabali wake.

Poleni sana Wazandiki. Kweli Pumba zimeanza kujitenga na Mchele.

Hongereni kwa ushindi Team Wazalendo.
Umeamua kuandika upumbafu hui kwasababu ya Zitto Kabwe kuunga mkono uuzwaji wa bandari?? Ili sakata la bandari linazidi kukudhalilisha sana
 
Kwanini ile Flight ONE ilikuwa ina trip za kimyakimya UAE?
Kwanini walioshutumiwa hawakujitokeza mara moja kutoa majibu?
Kwanini baadhi ya viongozi waandamizi wa serikali nao walipigwa butwaa kwa yaliyotendeka?
Kwanini wanasheria wasomi wabobevu na hata majaji wastaafu walilaani kitendo hicho?
Je wewe ni msomi kumzidi Pro. Shivji, Prof. Kabudi na ma Dr wa sheria nchi hii?
Tafuta hoja aliweka hapo kaongea hisià zake za tumbo lake hawa ndo walewale wachumia tumbo
 
Wataalamu wa siasa za nchi hii tuliposimama na Rais Samia kutetea uwekezaji wa Bandarini tulionekana sie ni machawa na tukasemwa sana.

Tuliposema kuwa hizi kelele za Bandari kuuzwa sijui nchi imeuzwa ni maneno ya chuki na uzandiki kukwamisha mipango mizuri ya Rais wetu kwenye uchumi wetu ili kuleta mapinduzi ya kiuchumi tulionekana sie tumehongwa na ni wapigaji tu.

Tulisema haya tukijua na tukiwa na ushahidi kuwa hawa watu wamekuwa wakinufaika na upigaji mkubwa ambao umekuwa unafanyika pale bandarini na wanafanya haya ili kutengeneza tension kwa muwekezaji huyu ili tu asije na waendelee kulila hili taifa letu.

Baada ya watu wenye akili kuujua ukweli na Kuanza kuelewa hoja zetu mambo yameanza kubadilika hakika

Walianza wasomi wachache, wakaja KKKT, sasa ACT Wazalendo wametuelewa na wamefanya uchambuzi murua kuunga mkono uwekezaji wa Bandarini.

Wale wengine ambao napenda kuwaita chuki fc ni kama hawasikilizwi tena. Wanaendelea kusoma waraka wao kila siku ila ni kama wamepuuzwa mazima na wananchi wanaojua kweli na wanafahamu kweli inawaweka huru.

Hayo yote tisa, kumi ni kikundi maslahi na chuki kinachotumiwa ili kumkwamisha Rais Samia. Kundi hili linaongozwa na mwanasheria Mwabukusi, mvuta bange Mdude Nyangali na aliyekimbia upadre Dkt Slaa.

Mara ya kwanza waliitisha maandamano kwa diasporas eti waandamane huko ughaibuni kwenye balozi za UAE, wakapuuzwa vibaya sana.

Jana wametoa eti siku 30 kwa serikali kuachana na Mkataba wa Bandari na walitegemea wataugwa mkono ila uzuri wamepuuzwa tena vibaya sana.


Narudia kusema humu. Ukweli una tabia ya kutembea taratibu sana ila uzuri wake ni kwamba lazima ufike tu.

Ukweli umeshafika na Watanzania wamejua kuwa hakuna Bandari iliyouzwa, IGA inahusu ushirikiano katika uwekezaji wa sehemu ndogo tu ya Bandari ya Dar es Salaam ambayo ni baadhi ya Gati za Terminal 1 tu na ndo mana Mamlaka ya Bandari imeendelea kutanganza tenda kwenye maeneo mengine.

Baada ya huu ukweli sasa naona hoja ya Bandari kuuzwa sijui kugawiwa kwa waarabu imeanza kufa rasmi.

Wale TEC na wazandiki wenzao ni kama wamekuwa machizi kung'ang'ania vitu ambavyo tayari ukweli umeshaamua mustakabali wake.

Poleni sana Wazandiki. Kweli Pumba zimeanza kujitenga na Mchele.

Hongereni kwa ushindi Team Wazalendo.
Umeshachumbiwa, mahari imeshatolewa kabisa na kupokelewa na wazazi wako, kilichobakia ni mumeo kuja kukuchukua ili uhamie nyumbani kwake kama mke rasmi.

Tahadhari kuhusu sifa mbaya za mumeo mtarajiwa na ulaghai wake kuhusu taarifa zake binafsi, ambazo ndizo zitawekwa katika cheti chenu cha ndoa kama mkataba wala hazikusumbui. Wewe unachokitaka ni kuondoka mara moja katika maisha yako ya kuganga.

Watu kama wewe ni sikio la kufa.
 
Sasa kijana mbona unajidhalilisha. Kuna ukweli upi wa Bandari kuuzwa? Au niambie wewe hapa Bandari ipi imeuzwa? Imeuzwaje?
Mimi siyo kijana.

Tatizo akili yako umeifunga ndani ya mipaka ya nyumba yako.

Kuuza kampuni siyo sawasawa na kuuza tenga la nyanya.

Kuuza uhuru wako au kuuza mamlaka ya nchi siyo sawa na kuuza suti.

Umewahi kusikia kuwa Taifa fulani limeuza uhuru wake? Umewahi kusikia nchi fulani imeuza mamlaka yake?

Kwa fikra zako, nchi ikiuza uhuru wake, ni sawa ilibeba bidhaa inayoitwa uhuru, sawa na unavyopeleka samaki ferry, halafu uhuru ukapigwa mnada kwa bei ya ushindani?

Ukipewa rushwa, na rushwa hiyo ikakufanya upoteze uwezo au utashi wa maamuzi, umeuza uhuru na mamlaka yako. Walioenda Dubai, wakapokea hongo mbalimbali ili wafanye maamuzi ya kuegemea upande wa DP, wameuza bandari zetu na mamlaka ya Taifa letu kwa malipo ya hongo waliyokula kwa sababu uhuru na uwezo wa maamuzi yao umefubazwa na rushwa walizokula.

Nikiwa Canada, kampuni ilikuwa na mwongozo hata wa kupokea zawadi. Kampuni yoyote au mtu binafsi ikikupa zawadi, ilikuwa ni lazima zawadi hiyo uipeleke kampuni ili ikaangaliwe thamani yake, na aliyekupa ana uhusiano gani wa kibiashara na kampuni yenu. Lengo ni kuangalia kama zawadi hiyo inaweza kuathiri maamuzi yako katika utendaji kazi. Ni vitu vidogo tu kama vile Tshirts, caps au mashati yenye nembo za kampuni, ambavyo vipo kwaajili ya kuitangaza kampuni au biashara ndivyo hukustahili kuvitolea taarifa.
 
Wataalamu wa siasa za nchi hii tuliposimama na Rais Samia kutetea uwekezaji wa Bandarini tulionekana sie ni machawa na tukasemwa sana.

Tuliposema kuwa hizi kelele za Bandari kuuzwa sijui nchi imeuzwa ni maneno ya chuki na uzandiki kukwamisha mipango mizuri ya Rais wetu kwenye uchumi wetu ili kuleta mapinduzi ya kiuchumi tulionekana sie tumehongwa na ni wapigaji tu.

Tulisema haya tukijua na tukiwa na ushahidi kuwa hawa watu wamekuwa wakinufaika na upigaji mkubwa ambao umekuwa unafanyika pale bandarini na wanafanya haya ili kutengeneza tension kwa muwekezaji huyu ili tu asije na waendelee kulila hili taifa letu.

Baada ya watu wenye akili kuujua ukweli na Kuanza kuelewa hoja zetu mambo yameanza kubadilika hakika

Walianza wasomi wachache, wakaja KKKT, sasa ACT Wazalendo wametuelewa na wamefanya uchambuzi murua kuunga mkono uwekezaji wa Bandarini.

Wale wengine ambao napenda kuwaita chuki fc ni kama hawasikilizwi tena. Wanaendelea kusoma waraka wao kila siku ila ni kama wamepuuzwa mazima na wananchi wanaojua kweli na wanafahamu kweli inawaweka huru.

Hayo yote tisa, kumi ni kikundi maslahi na chuki kinachotumiwa ili kumkwamisha Rais Samia. Kundi hili linaongozwa na mwanasheria Mwabukusi, mvuta bange Mdude Nyangali na aliyekimbia upadre Dkt Slaa.

Mara ya kwanza waliitisha maandamano kwa diasporas eti waandamane huko ughaibuni kwenye balozi za UAE, wakapuuzwa vibaya sana.

Jana wametoa eti siku 30 kwa serikali kuachana na Mkataba wa Bandari na walitegemea wataugwa mkono ila uzuri wamepuuzwa tena vibaya sana.


Narudia kusema humu. Ukweli una tabia ya kutembea taratibu sana ila uzuri wake ni kwamba lazima ufike tu.

Ukweli umeshafika na Watanzania wamejua kuwa hakuna Bandari iliyouzwa, IGA inahusu ushirikiano katika uwekezaji wa sehemu ndogo tu ya Bandari ya Dar es Salaam ambayo ni baadhi ya Gati za Terminal 1 tu na ndo mana Mamlaka ya Bandari imeendelea kutanganza tenda kwenye maeneo mengine.

Baada ya huu ukweli sasa naona hoja ya Bandari kuuzwa sijui kugawiwa kwa waarabu imeanza kufa rasmi.

Wale TEC na wazandiki wenzao ni kama wamekuwa machizi kung'ang'ania vitu ambavyo tayari ukweli umeshaamua mustakabali wake.

Poleni sana Wazandiki. Kweli Pumba zimeanza kujitenga na Mchele.

Hongereni kwa ushindi Team Wazalendo.
CHAWA kama CHAWA!
 
Kwann Zanzibar haipo kwenye mkataba Kwani wao hawataki utamu wa uwekezaji
 
Wataalamu wa siasa za nchi hii tuliposimama na Rais Samia kutetea uwekezaji wa Bandarini tulionekana sie ni machawa na tukasemwa sana.

Tuliposema kuwa hizi kelele za Bandari kuuzwa sijui nchi imeuzwa ni maneno ya chuki na uzandiki kukwamisha mipango mizuri ya Rais wetu kwenye uchumi wetu ili kuleta mapinduzi ya kiuchumi tulionekana sie tumehongwa na ni wapigaji tu.

Tulisema haya tukijua na tukiwa na ushahidi kuwa hawa watu wamekuwa wakinufaika na upigaji mkubwa ambao umekuwa unafanyika pale bandarini na wanafanya haya ili kutengeneza tension kwa muwekezaji huyu ili tu asije na waendelee kulila hili taifa letu.

Baada ya watu wenye akili kuujua ukweli na Kuanza kuelewa hoja zetu mambo yameanza kubadilika hakika

Walianza wasomi wachache, wakaja KKKT, sasa ACT Wazalendo wametuelewa na wamefanya uchambuzi murua kuunga mkono uwekezaji wa Bandarini.

Wale wengine ambao napenda kuwaita chuki fc ni kama hawasikilizwi tena. Wanaendelea kusoma waraka wao kila siku ila ni kama wamepuuzwa mazima na wananchi wanaojua kweli na wanafahamu kweli inawaweka huru.

Hayo yote tisa, kumi ni kikundi maslahi na chuki kinachotumiwa ili kumkwamisha Rais Samia. Kundi hili linaongozwa na mwanasheria Mwabukusi, mvuta bange Mdude Nyangali na aliyekimbia upadre Dkt Slaa.

Mara ya kwanza waliitisha maandamano kwa diasporas eti waandamane huko ughaibuni kwenye balozi za UAE, wakapuuzwa vibaya sana.

Jana wametoa eti siku 30 kwa serikali kuachana na Mkataba wa Bandari na walitegemea wataugwa mkono ila uzuri wamepuuzwa tena vibaya sana.


Narudia kusema humu. Ukweli una tabia ya kutembea taratibu sana ila uzuri wake ni kwamba lazima ufike tu.

Ukweli umeshafika na Watanzania wamejua kuwa hakuna Bandari iliyouzwa, IGA inahusu ushirikiano katika uwekezaji wa sehemu ndogo tu ya Bandari ya Dar es Salaam ambayo ni baadhi ya Gati za Terminal 1 tu na ndo mana Mamlaka ya Bandari imeendelea kutanganza tenda kwenye maeneo mengine.

Baada ya huu ukweli sasa naona hoja ya Bandari kuuzwa sijui kugawiwa kwa waarabu imeanza kufa rasmi.

Wale TEC na wazandiki wenzao ni kama wamekuwa machizi kung'ang'ania vitu ambavyo tayari ukweli umeshaamua mustakabali wake.

Poleni sana Wazandiki. Kweli Pumba zimeanza kujitenga na Mchele.

Hongereni kwa ushindi Team Wazalendo.
TEC tumemaliza kazi yetu. Na kanuni yetu ni moja, UKIMALIZA KAZI VITANI NA UKAMSHINDA ADUI HAUTAKIWI TENA KUJIELEZA (Post bellum non explicet)
Wataalamu wa siasa za nchi hii tuliposimama na Rais Samia kutetea uwekezaji wa Bandarini tulionekana sie ni machawa na tukasemwa sana.

Tuliposema kuwa hizi kelele za Bandari kuuzwa sijui nchi imeuzwa ni maneno ya chuki na uzandiki kukwamisha mipango mizuri ya Rais wetu kwenye uchumi wetu ili kuleta mapinduzi ya kiuchumi tulionekana sie tumehongwa na ni wapigaji tu.

Tulisema haya tukijua na tukiwa na ushahidi kuwa hawa watu wamekuwa wakinufaika na upigaji mkubwa ambao umekuwa unafanyika pale bandarini na wanafanya haya ili kutengeneza tension kwa muwekezaji huyu ili tu asije na waendelee kulila hili taifa letu.

Baada ya watu wenye akili kuujua ukweli na Kuanza kuelewa hoja zetu mambo yameanza kubadilika hakika

Walianza wasomi wachache, wakaja KKKT, sasa ACT Wazalendo wametuelewa na wamefanya uchambuzi murua kuunga mkono uwekezaji wa Bandarini.

Wale wengine ambao napenda kuwaita chuki fc ni kama hawasikilizwi tena. Wanaendelea kusoma waraka wao kila siku ila ni kama wamepuuzwa mazima na wananchi wanaojua kweli na wanafahamu kweli inawaweka huru.

Hayo yote tisa, kumi ni kikundi maslahi na chuki kinachotumiwa ili kumkwamisha Rais Samia. Kundi hili linaongozwa na mwanasheria Mwabukusi, mvuta bange Mdude Nyangali na aliyekimbia upadre Dkt Slaa.

Mara ya kwanza waliitisha maandamano kwa diasporas eti waandamane huko ughaibuni kwenye balozi za UAE, wakapuuzwa vibaya sana.

Jana wametoa eti siku 30 kwa serikali kuachana na Mkataba wa Bandari na walitegemea wataugwa mkono ila uzuri wamepuuzwa tena vibaya sana.


Narudia kusema humu. Ukweli una tabia ya kutembea taratibu sana ila uzuri wake ni kwamba lazima ufike tu.

Ukweli umeshafika na Watanzania wamejua kuwa hakuna Bandari iliyouzwa, IGA inahusu ushirikiano katika uwekezaji wa sehemu ndogo tu ya Bandari ya Dar es Salaam ambayo ni baadhi ya Gati za Terminal 1 tu na ndo mana Mamlaka ya Bandari imeendelea kutanganza tenda kwenye maeneo mengine.

Baada ya huu ukweli sasa naona hoja ya Bandari kuuzwa sijui kugawiwa kwa waarabu imeanza kufa rasmi.

Wale TEC na wazandiki wenzao ni kama wamekuwa machizi kung'ang'ania vitu ambavyo tayari ukweli umeshaamua mustakabali wake.

Poleni sana Wazandiki. Kweli Pumba zimeanza kujitenga na Mchele.

Hongereni kwa ushindi Team Wazalendo.
 
Jana eti wanasema sasa wataongelea katiba mpya! Wameona la bandari limebuma.
Ndiyo maana tunasema wewe akili yako ni kibaba. Huelewi hata kinachoongelewa wala kulengwa.

Mkataba wa kishenzi wa DP, umeonesha umuhimu wa uharaka wa katiba mpya. Kama katiba ingekuwa nzuri, huu mkataba wa kishenzi usingesainiwa wala kuoitishwa na lile genge la wahuni wa Tulia, watu ambao hawakuchaguliwa na yeyote.
 
Wataalamu wa siasa za nchi hii tuliposimama na Rais Samia kutetea uwekezaji wa Bandarini tulionekana sie ni machawa na tukasemwa sana.

Tuliposema kuwa hizi kelele za Bandari kuuzwa sijui nchi imeuzwa ni maneno ya chuki na uzandiki kukwamisha mipango mizuri ya Rais wetu kwenye uchumi wetu ili kuleta mapinduzi ya kiuchumi tulionekana sie tumehongwa na ni wapigaji tu.

Tulisema haya tukijua na tukiwa na ushahidi kuwa hawa watu wamekuwa wakinufaika na upigaji mkubwa ambao umekuwa unafanyika pale bandarini na wanafanya haya ili kutengeneza tension kwa muwekezaji huyu ili tu asije na waendelee kulila hili taifa letu.

Baada ya watu wenye akili kuujua ukweli na Kuanza kuelewa hoja zetu mambo yameanza kubadilika hakika

Walianza wasomi wachache, wakaja KKKT, sasa ACT Wazalendo wametuelewa na wamefanya uchambuzi murua kuunga mkono uwekezaji wa Bandarini.

Wale wengine ambao napenda kuwaita chuki fc ni kama hawasikilizwi tena. Wanaendelea kusoma waraka wao kila siku ila ni kama wamepuuzwa mazima na wananchi wanaojua kweli na wanafahamu kweli inawaweka huru.

Hayo yote tisa, kumi ni kikundi maslahi na chuki kinachotumiwa ili kumkwamisha Rais Samia. Kundi hili linaongozwa na mwanasheria Mwabukusi, mvuta bange Mdude Nyangali na aliyekimbia upadre Dkt Slaa.

Mara ya kwanza waliitisha maandamano kwa diasporas eti waandamane huko ughaibuni kwenye balozi za UAE, wakapuuzwa vibaya sana.

Jana wametoa eti siku 30 kwa serikali kuachana na Mkataba wa Bandari na walitegemea wataugwa mkono ila uzuri wamepuuzwa tena vibaya sana.


Narudia kusema humu. Ukweli una tabia ya kutembea taratibu sana ila uzuri wake ni kwamba lazima ufike tu.

Ukweli umeshafika na Watanzania wamejua kuwa hakuna Bandari iliyouzwa, IGA inahusu ushirikiano katika uwekezaji wa sehemu ndogo tu ya Bandari ya Dar es Salaam ambayo ni baadhi ya Gati za Terminal 1 tu na ndo mana Mamlaka ya Bandari imeendelea kutanganza tenda kwenye maeneo mengine.

Baada ya huu ukweli sasa naona hoja ya Bandari kuuzwa sijui kugawiwa kwa waarabu imeanza kufa rasmi.

Wale TEC na wazandiki wenzao ni kama wamekuwa machizi kung'ang'ania vitu ambavyo tayari ukweli umeshaamua mustakabali wake.

Poleni sana Wazandiki. Kweli Pumba zimeanza kujitenga na Mchele.

Hongereni kwa ushindi Team Wazalendo.
Tangazo kwa umma mabafiliko na TEUZI
Mweshimiwa rais hii leo Tarehe 6/9/2023,Amefanya teuzi mbali mbali na amemteua Lord denning kuwa mkuu wa wilaya ya Jukwaa la siasa,

Mheshimiwa Lord denning anachukua nafasi ya FaizaFoxy ambaye amehamishiwa katika wizara ya Utetezi wa bandari..

Zuhura Yunus
Ikulu maelezo
 
Poleni sana. Ukweli umeshafika. Uzandiki wenu hautafanikiwa kamwe
Sasa mbona husemi huo ukweli na wala huweki huo Ushahidi wa kisema watu wameelewa?? Na Je TPA wamendagaza geti zipi na DPW wanachukuwa Zipi??
Hoja hata Moja za Wananchi wanaokataa IGA hujazij8bu??!
CHAWA2
 
Urawekaje ukomo kwenye IGA wakati kuna HGA?

Ni suala la uelewa tu ndugu. Polee sana kwa kuwa kilaza
Wewe inaonekana una kichwa kizito sana.

Kwanza hiyo inayoitwa IGA ni batili. Na mahakama imetamka hivyo, na imelishauri Bunge kurekebisha hiyo kasoro. Hakuna IGA kati ya Nchi na jimbo.

Pili hicho kinachoitwa IGA, imezungumzia ukomo wa mkataba na kusema kuwa ukomo wake ni ukomo wa miradi ya HIGA. Kwa hiyo miradi ya HIGA isipokoma, hiyo IGA batili inaendelea kusimama. Upande wa pili unabanwa kuwa fursa zote za uwekezaji wa bandari kwenye bahari, maziwa na mito unalazimika kuwajulisha wao na huna mamlaka ya kuingia mikataba na wengine. Sasa hapo ukomo upo wapi? Tatizo mnasoma halafu mnatoka watupu. Halafu mnakuwa wajinga kuwazidi ambao hawana hata diploma.
 
Jifunze kusikiliza na kuelewa hata vile usivyopenda kusikia. Hiyo ndo maturity
Sasa nikisikiliza ujinga na kusema huu ni ujinga, siupendi, utanilaumu kwa kuwa nimeelewa huu ni ujinga nikasema siupendi?

Katika enzi hizi za uwajibikaji wa viongozi kwa umma uliowachagua unaweza vipi kumtetea rais anayesema hataki kujibu hoja za wananchi wake wengi wanaotaka zijibiwe?

Huoni kumtetea rais huyo ni ujinga?
 
Poleni sana. Ukweli umeshafika. Uzandiki wenu hautafanikiwa kamwe
KKKT wasema wanaunga mkono uwekezaji wenye tija kama wanavyoshauri TEC na akina Mwabukusi. Shida iko wapi?! Wamewakumbusha nyie mafisadi kuwa mkarejee hiyo IGA ina tija?; Kama siyo achaneni kama wananchi wanavyolalamika. Mbona hamtaki kujiuliza kama huo uwekezaji unatija kwa Taifa?!
IGA inaelekeza haki ya DPw kumiliki Bandari zote za Tanganyika kutoka Tanga hadi Mtwara, maziwa makuu na za nchi kavu na huwezi kuendeleza maeneo hayo bila kibali chao. Mbona unaficha haya badala yake unadanganya ati gati namba 1? Tena umiliki Wa milele. Kama issue ni ushirikiano kwanini IGA ije namna dispute resolution tena nje ya nchi yetu? Tangu lini mashirikiano ya kirafiki yakawa na kipengele cha dispute?! Urafiki ukifikaga mwisho si kila moja anakamata njia yake?!
ACT-wazalendo haiwezi kuwa rejea hata kidogo, ni chama ambacho mrengo wake inajulikana. Inaongozwa na Ayatola Kabwe ni sehemu ya Serikali ambayo ambayo unasukumwa agenda ya kuuza Bandari zote za Tanzania Bara huku Bandari ya zote za Zanzibar zikiwa excluded. Kikundi cha namna hii ni ya kusikiliza kama rejea?! Haiwezekani hata kidogo.
 
Wataalamu wa siasa za nchi hii tuliposimama na Rais Samia kutetea uwekezaji wa Bandarini tulionekana sie ni machawa na tukasemwa sana.

Tuliposema kuwa hizi kelele za Bandari kuuzwa sijui nchi imeuzwa ni maneno ya chuki na uzandiki kukwamisha mipango mizuri ya Rais wetu kwenye uchumi wetu ili kuleta mapinduzi ya kiuchumi tulionekana sie tumehongwa na ni wapigaji tu.

Tulisema haya tukijua na tukiwa na ushahidi kuwa hawa watu wamekuwa wakinufaika na upigaji mkubwa ambao umekuwa unafanyika pale bandarini na wanafanya haya ili kutengeneza tension kwa muwekezaji huyu ili tu asije na waendelee kulila hili taifa letu.

Baada ya watu wenye akili kuujua ukweli na Kuanza kuelewa hoja zetu mambo yameanza kubadilika hakika

Walianza wasomi wachache, wakaja KKKT, sasa ACT Wazalendo wametuelewa na wamefanya uchambuzi murua kuunga mkono uwekezaji wa Bandarini.

Wale wengine ambao napenda kuwaita chuki fc ni kama hawasikilizwi tena. Wanaendelea kusoma waraka wao kila siku ila ni kama wamepuuzwa mazima na wananchi wanaojua kweli na wanafahamu kweli inawaweka huru.

Hayo yote tisa, kumi ni kikundi maslahi na chuki kinachotumiwa ili kumkwamisha Rais Samia. Kundi hili linaongozwa na mwanasheria Mwabukusi, mvuta bange Mdude Nyangali na aliyekimbia upadre Dkt Slaa.

Mara ya kwanza waliitisha maandamano kwa diasporas eti waandamane huko ughaibuni kwenye balozi za UAE, wakapuuzwa vibaya sana.

Jana wametoa eti siku 30 kwa serikali kuachana na Mkataba wa Bandari na walitegemea wataugwa mkono ila uzuri wamepuuzwa tena vibaya sana.


Narudia kusema humu. Ukweli una tabia ya kutembea taratibu sana ila uzuri wake ni kwamba lazima ufike tu.

Ukweli umeshafika na Watanzania wamejua kuwa hakuna Bandari iliyouzwa, IGA inahusu ushirikiano katika uwekezaji wa sehemu ndogo tu ya Bandari ya Dar es Salaam ambayo ni baadhi ya Gati za Terminal 1 tu na ndo mana Mamlaka ya Bandari imeendelea kutanganza tenda kwenye maeneo mengine.

Baada ya huu ukweli sasa naona hoja ya Bandari kuuzwa sijui kugawiwa kwa waarabu imeanza kufa rasmi.

Wale TEC na wazandiki wenzao ni kama wamekuwa machizi kung'ang'ania vitu ambavyo tayari ukweli umeshaamua mustakabali wake.

Poleni sana Wazandiki. Kweli Pumba zimeanza kujitenga na Mchele.

Hongereni kwa ushindi Team Wazalendo.

View: https://fb.watch/mTLTQUYlL6/?mibextid=NnVzG8&startTimeMs=204921
 
KKKT wasema wanaunga mkono uwekezaji wenye tija kama wanavyoshauri TEC na akina Mwabukusi. Shida iko wapi?! Wamewakumbusha nyie mafisadi kuwa mkarejee hiyo IGA ina tija?; Kama siyo achaneni kama wananchi wanavyolalamika. Mbona hamtaki kujiuliza kama huo uwekezaji unatija kwa Taifa?!
IGA inaelekeza haki ya DPw kumiliki Bandari zote za Tanganyika kutoka Tanga hadi Mtwara, maziwa makuu na za nchi kavu na huwezi kuendeleza maeneo hayo bila kibali chao. Mbona unaficha haya badala yake unadanganya ati gati namba 1? Tena umiliki Wa milele. Kama issue ni ushirikiano kwanini IGA ije namna dispute resolution tena nje ya nchi yetu? Tangu lini mashirikiano ya kirafiki yakawa na kipengele cha dispute?! Urafiki ukifikaga mwisho si kila moja anakamata njia yake?!
ACT-wazalendo haiwezi kuwa rejea hata kidogo, ni chama ambacho mrengo wake inajulikana. Inaongozwa na Ayatola Kabwe ni sehemu ya Serikali ambayo ambayo unasukumwa agenda ya kuuza Bandari zote za Tanzania Bara huku Bandari ya zote za Zanzibar zikiwa excluded. Kikundi cha namna hii ni ya kusikiliza kama rejea?! Haiwezekani hata kidogo.

View: https://fb.watch/mTLTQUYlL6/?mibextid=NnVzG8&startTimeMs=204921
 
Kwa ufupi tu
Nina Masters ya Sheria- Westminster University
Sasa uneshindwa kujua wanaonufaika na bandari ndio haohao wanaoitaka dpw!
Bandari haikuwa inaendeshwa na wahuni. Ni wateule wa serikali hii hii..
Wanaotaka dpw ni wateule pia..
 
Back
Top Bottom