Lililoitwa Sakata la Bandari: Pumba zimeanza kujitenga na Mchele

Acha kuzunguka zunguka. Jibu swali
 
Unaga hoja bibi.... Hutaanza kuniandikia hisia zako,kama kawaida yako nakufahamu.
Hafu muda wa kumpikia chai Mume na kumrekebisha tai ukae vizuri sawa
Khee, aliyeolewa kupika chai dada'ko.Mie napikiwa.

Shemeji yako ushampigia pasi shati lake?
 
Kwa ufupi tu
Nina Masters ya Sheria- Westminster University
Ulienda kusoma, halafu elimu ba maarifa, ukayaacha chuoni. Wenzako walienda kusoma vyuoni, wakaelimika, wakaondoka na maarifa.
 
Ulienda kusoma, halafu elimu ba maarifa, ukayaacha chuoni. Wenzako walienda kusoma vyuoni, wakaelimika, wakaondoka na maarifa.
Kwa maarifa tu. Ninayo kwa kiwango kikubwa sana
 
Ndo mana wahenga walisema ukweli unauma. Polee sana
Hakuna kiumbe mwenye akili timamu anaweza kuingia makubaliano yasiyo kuwa na ukomo, huu mkataba ni zaidi ya wizi , ujambazi na uporaji.
Usijishushe akili tutakufa tutaacha yote tusifanye hatima ya vizazi vijavyo kuwa laana na mateso, Africa jitambueni NCHI yetu tutaijenga wenyewe.
Acheni ujinga wa kuwa watumwa wafikra, natamani ungekuwa karibu yangu nikuvurumishie mangumi huenda kichwa chako kina shida unahitaji bust ili akili Yako ifanye utambuzi sahihi.
 
Khee, aliyeolewa kupika chai dada'ko.Mie napikiwa.

Shemeji yako ushampigia pasi shati lake?
🤓🤓🤓,
Aaah acha zako,kampeti mumeo huko.....bado muda wako wa kuwa hapa🤓🤓🤓
 
Bila fact kivipi? Kuna fact gani kwenye Bandari kuuzwa?

Nikikuuliza imeuzwaje unaweza kunijibu hapa? Au utaishia kupiga porojo tu?

I think ww huna more details because uko nje ya tz

It's very possible hata kinacholalamikiwa hukijui

Fanya research yako vizuri, tena ww umesoma sheria then pitia basi hata Ile kesi iliyofunguliwa mbeya

Utapata mwanga kidogo wa kujua ishu ni nini

Kama Bunge limeweza kusema wanaopinga wasikilizwe na serikali ifanyie kazi hoja zao

Unadhan Bunge ni wajinga?
 
Urawekaje ukomo kwenye IGA wakati kuna HGA?

Ni suala la uelewa tu ndugu. Polee sana kwa kuwa kilaza
 
Ni vizuri uwe unachambua bangi kabla ya kuivuta hasa kumbuka kutoa mbegu
 
Wqapumbavu wale eti wanwlataka mama Samia awajibu. Nimecheka sana, Rais awajibu wao.

Kuna watu wa ajabu sana duniani.
Katika orodha ya watu wa ajabu sana hapa Duniani kwa unafiki, uelewa duni na maarifa, wewe bibi-vioja huwezi kukosekana.
 
Hana hoja au wewe una upeo finyu unaokufanya upende kusikia unavyotaka kusikia wewe tu?
Samia ajifunze Kiingereza kwanza asisaini kumpa Mbarawa full powers za kusaini kwa niaba ya Tanzania na Dubai, kwenye hoja hajafika bado.

Ajifunze Kiingereza kabla ya kufika kwenye hoja.

Mwenyewe kajijua mtupu, ndiyo maana kagwaya kujibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…