Linapokuja suala la IMANI, Waafrika wanampigania Mungu. Likija suala la Haki zao za msingi, wanamwachia Mungu awapiganie!

Umepewa ubongo,macho,miguu,mikono na kadhalika ilivikusaidie kutafuta.Aliyekuumba alijua utaishi ktk ulimwengu wa kutafuta
Sijaumbwa na Mungu.

Binadamu Hawaumbwi.

Binadamu Wanazaliwa.

Huyo Mungu ni wewe umemtunga huko kichwani mwako, Halafu unaanza kufosi kwamba ndio ameniumba.

Hakuna Mungu Aliyeumba kitu chochote kile.

Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.

Mungu ni dhana ya kufikirika mliyo jitungia vichwani mwenu tu haipo katika uhalisia, Na wala huwezi kuthibitisha uwepo wake.
Kama uko makini ukiangalia viumbe vilivyo Kaa Kwa mpangilio utajua Kuna mpangaji,hebu Kwa MFA angalia jicho lako lilivo umbwa kwa ustadi
Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na mpangiliaji wake, Hata mpangiliaji wa kila kitu lazima awe na mpangiliaji wake mwingine.

Huyo mpangaji na yeye lazima awe na mpangaji wake mwingine. Mpangaji huyo hawezi ku exist tu mwenyewe from nowhere.

Na kama si lazima kwamba kila kitu kilichopo kina mpangiliaji wake, Hata Ulimwengu na vitu vyote vilivyomo except man-made things, Havina Muumbaji.
Jicho halijaumbwa.

Binadamu anazaliwa akiwa na macho automatically.
 
U
Unachokisema sijuii kama unakielewa ELEWA sasa MUNGU yupo na ataendelea kuwapo milele
 
Kwa nini ulizaliwa bila kupenda, unakua bila kupenda, na unakufa bila kupenda?
Hiyo ni asili jinsi ilivyo.

Ili viumbe vingine viweze kupata nafasi ya kuishi lazima viumbe vingine vife, vipungue. Vitoe nafasi kwa viumbe vipya.

Sasa kama tungekuwa hatufi, Dunia ingetosheleza kumudu ongezeko la binadamu na viumbe hai wote kwa miaka yote?

Pia jiulize kama huyo Mungu yupo, Kwa nini alikuumba bila ruhusa(idhini) yako kwanza?
Lini ulijipigania kuzaliwa? Lini ulijipigania kukua (to develop)? Lini ulijipigania kufa?
Hatujipiganii kuzaliwa, kukua wala kufa.

Process zote hizi hutokea automatically pasipo kufanywa na yoyote.
 
Moja ya uzi bora kabisa kwa miaka yote.

Lakini cha kushangaza likija suala la kutetea na kupigania haki zao za msingi katika jamii wanamwachia Mungu awapiganie! Na huyo Mungu hajawahi kuwapigania kwa lolote.
 
Hii ni imani yako, mkuu
Mimi sina imani. Sihitaji kuamini Nahitaji kujua kwa uhakika, ushahidi na uthibitisho.
ila hawa ni watu halisi na hadi kuna archeological findings nyingi zinazoonyesha usahihi wa biblical stories.
Leta utafiti au evidence ya archeological findings ya hao kina Musa na Bible characters wengine.
Dini ikifundishwa kwa usahihi, biblia ndio kitabu pekee duniani chenye principles za kufanya palipo dumqq pqendelee.
Biblia ni hadithi za kutungwa tu.

Sawa na hekaya za Abunuwasi.
 
Moja ya uzi bora kabisa kwa miaka yote.

Lakini cha kushangaza likija suala la kutetea na kupigania haki zao za msingi katika jamii wanamwachia Mungu awapiganie! Na huyo Mungu hajawahi kuwapigania kwa lolote.
Hata hapa kwenye huu uzi, Unaona wazi wanavyo kazana kumpigania huyo Mungu wao wa kufikirika.

Binadamu ni kiumbe mpumbavu sana kwenye maswala ya Imani.

Badala ya kujipigania na kujitetea mwenyewe, Anatetea kiumbe cha kufikirika kiitwacho Mungu!!
 
Moja ya uzi bora kabisa kwa miaka yote.

Lakini cha kushangaza likija suala la kutetea na kupigania haki zao za msingi katika jamii wanamwachia Mungu awapiganie! Na huyo Mungu hajawahi kuwapigania kwa lolote.
Iyo Moyo kifuanu mwako nani anafanya udunde?

Yani hewa unavuta ndio uhai tu?

Nani anakuamsha asubuhi, nani analileta jua Kila baada ya masaa kumi na mbili? Nani kafanya dunia izunguke, nani aliweka utumbo na hormones, na miahipa midogo kabisa kwenye mwili wako? Kwa kweli watu kama nyie hata wazazi mnaweza kuwaambia mitaa imenilea
 
sijasoma yote uliyoandika ñakubaliana na wewe 100% kwa hili
Huu ndio uhalisia mkuu.

Haijalishi mtu anakubali au anakataa.

That's the reality.

You can avoid the reality, But you can never avoid the consequences of avoiding the reality.

Life will show you the reality by fire by force.
 
Iyo Moyo kifuanu mwako nani anafanya udunde?
Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe kimefanywa na kiumbe kingine, Hata hicho kiumbe kinachofanya lazima kiwe kimefanywa.

You cannot exclude huyo Mungu kwenye hii Logic ya kufanywa.

Hata huyo Mungu lazima awe amefanywa.

Na ndio uanze kueleza na kuthibitisha huyo Mungu na yeye alifanywa na nani?

Usilazimishe "Moyo kudunda" kulifanywa na Mungu, ilhali bado hujathibitisha uwepo wa huyo Mungu.

Thibitisha kwanza uwepo wa huyo Mungu na thibitisha huyo Mungu alifanywa na nani pia?
Nani alifanya huyo Mungu awepo?

Hili swali mbona hujiulizi?

Unarukia kwenye vitu vingine?

Anza kwanza kujiuliza na uthibitishe huyo Mungu alifanywa na nani?
 
Kama b
Kama binadamu ana zaliwa basi kwa vyovyote anamwanzo,Sasa nani alimzaa binadamu WA kwanza?
 
Fakti.
 
Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe kimefanywa na kiumbe kingine, Hata hicho kiumbe kinachofanya lazima kiwe kimefanywa.
Huyu ni mungu wako wewe wa kumuweka dirishani kama wahindi.

Ili awe Mungu lazima asiwe affected by time, space and matter. Na Mungu wetu anafit vizuri sana katika hayo.

He is alpha and Omega, ametuambia Jana ilikuaje na ametupa revelation of things to come meaning he knows tomorrow.

He cannot be fitted in his creation meaning he had to be outside his creation in able to make it, we know that kwenye genesis uumbaji alivyofanya. Matter, he is not affected by matter, he can be anywhere anytime.

Huyo mungu wako unaetaka kumdefine is artificial not the supreme God. Kama alifanya Kila kitu kwenye dunia na Bado the universe binadamu hatujahi hata kutoka nje ya solar system, imagine how great yey alivyo
 
Kama b

Kama binadamu ana zaliwa basi kwa vyovyote anamwanzo,Sasa nani alimzaa binadamu WA kwanza?
Binadamu wa kwanza kutokea wapi na kwa nani?

Huo "mwanzo" kabla ya kuwa mwanzo, ulikuwa wapi?

Huko ulikokuwa ni wapi na kulifanyikaje?
 
Mimi sina imani. Sihitaji kuamini Nahitaji kujua kwa uhakika, ushahidi na uthibitisho.

Leta utafiti au evidence ya archeological findings ya hao kina Musa na Bible characters wengine.

Biblia ni hadithi za kutungwa tu.

Sawa na hekaya za Abunuwasi.
Hakuna mtu ambaye hana imani.
Sema mimi sina imani na Mungu na maandiko ya Biblia.

Hata kusema kesho ntaenda kazini ni imani. Maana hauna uhakika usiku nini kitakupata.

Hata kuvuka barabarq inahitaji imani kwamba ntavuka salama maana kuna factor nyingi ndani na nje ya uwezo wako zinazoweza kukusababisha ukaishia hapohapo barabarani.
 
Huyu ni mungu wako wewe wa kumuweka dirishani kama wahindi.

Ili awe Mungu lazima asiwe affected by time, space and matter. Na Mungu wetu anafit vizuri sana katika hayo.
Kwanza thibitisha uwepo wa huyo Mungu kabla ya kuanza kusema kwamba hawi affected na time, space and matter.

Kwanza thibitisha ulijuaje yupo?

Na unathibitisha vipi huyo Mungu wako hawi affected na time, space and matter?

Au ni mawazo yako tu ya kufikirika?
He is alpha and Omega, ametuambia Jana ilikuaje na ametupa revelation of things to come meaning he knows tomorrow.
Amekuambia wapi? Lini? Mwaka gani? Mwezi upi? Tarehe ipi? Siku ipi? Na muda gani exactly aliokwambia?
He cannot be fitted in his creation meaning he had to be outside his creation in able to make it, we know that kwenye genesis uumbaji alivyofanya. Matter, he is not affected by matter, he can be anywhere anytime.
Kabla ya uumbaji, Huyo Mungu alikuwa wapi?

Huko alikokuwa kulitoka wapi?

Na kuliumbwa na nani?

Maana uumbaji ulikuwa bado haujafanyika kabisa.

Sasa yeye huyo Mungu alikuwa wapi kabla ya uumbaji?

Huko alikokuwa kuliumbwa na nani?
Huyo mungu wako unaetaka kumdefine is artificial not the supreme God. Kama alifanya Kila kitu kwenye dunia na Bado the universe binadamu hatujahi hata kutoka nje ya solar system, imagine how great yey alivyo
Hakuna Supreme God, Kuna Fictional God.

Ambaye mpaka sasa umeshindwa kuthibitisha uwepo wake.
 
Hakuna mtu ambaye hana imani.
Sema mimi sina imani na Mungu na maandiko ya Biblia.
Imani ni kutokuwa na uhakika.

Ukishakuwa na uhakika, imani haihitajiki tena.
Hata kusema kesho ntaenda kazini ni imani. Maana hauna uhakika usiku nini kitakupata.
Huna uhakika nini kitakupata usiku, Ndio maana unaweka imani.

Hapa tayari umethibitisha msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.

Pia huna uhakika wa uwepo wa huyo Mungu, Ndio maana una imani.

Kwa hivyo huwezi kuhitimisha moja kwa moja kwamba Mungu yupo, Kwa sababu bado hauna uhakika wa uwepo wa Mungu.

Ni imani zako tu zisizo na uthibitisho wowote ule.
Hata kuvuka barabarq inahitaji imani kwamba ntavuka salama maana kuna factor nyingi ndani na nje ya uwezo wako zinazoweza kukusababisha ukaishia hapohapo barabarani.
Hatuvuki barabara kwa imani, Tunavuka barabara kwa uhakika.

Ndio maana kabla ya kuvuka barabara tunaangalia kulia na kushoto, kisha tena kulia na kushoto. Kufanya uhakiki wa je ni salama kuvuka kwa wakati huo?

Tukisha jiridhisha na kupata uhakika kwamba hakuna gari lolote lile na kwamba ni salama kuvuka, Ndipo tunavuka kwa uhakika kwamba ni salama.

Hivyo hatuvuki barabara kwa imani bali kwa uhakika.
 
U

Unachokisema sijuii kama unakielewa ELEWA sasa MUNGU yupo na ataendelea kuwapo milele
Kati ya wewe unaeamini Mungu wa Israel na Israel wenyewe ni nani anaemjua vizuri huyo Mungu? Kwa nini waisraeli wasiache huyo Mungu ambae wewe unaamini ana nguvu, ana uwezo, anajua kila kitu awalinde badala yake wanajilinda kwa mifumo bora ya ulinzi?

Kama yupo, yuko wapi mkuu?
 
Kwanza thibitisha uwepo wa huyo Mungu kabla ya kuanza kusema kwamba hawi affected na time, space and matter.
Mwanzo 1:1-3 BHN
[1] Hapo mwanzo (time), Mungu aliumba (Created maana yake something out of nothing) mbingu (space) na dunia. (matter) [2] Dunia ilikuwa bila umbo na tupu. Giza lilikuwa limefunika vilindi vya maji na roho ya Mungu ilikuwa ikitanda juu ya maji. [3] Mungu akasema, “Mwanga uwe.” Mwanga ukawa.

Maneno kwenye kitabu Cha mwanzo vyote vinafit perfectly to explain God's nature of creating time, space and matter.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…