Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Barabara ipo vizuri ila sijajua kama Kuna gari la Moja Kwa Moja lindi mbeya. Ila masasi Hadi mbeya lipo sajda super feo na selous linafika saa tano-sita usikuNaomba kuuliza Kwa mwenye kujua ...ukitoka Lindi Hadi Mbeya Kwa barabara...umbali ukoje kulinganisha na Dar Hadi Mbeya.
Hali ya barabara pia ikoje?
Lami tupu boss labda kama kutakua na vipande vinafanyiwa marekebisho ambavyo Ata km 2 azifikiNi lami tupu??
Hali ni nzuri,kam unataka public kapandie mtwara kuna superfeo au masasNaomba kuuliza Kwa mwenye kujua ...ukitoka Lindi Hadi Mbeya Kwa barabara...umbali ukoje kulinganisha na Dar Hadi Mbeya.
Hali ya barabara pia ikoje?
Lindi hadi Dar kuna 300kms Dar Mbeya kuna 800 au 900kms.Naomba kuuliza Kwa mwenye kujua ...ukitoka Lindi Hadi Mbeya Kwa barabara...umbali ukoje kulinganisha na Dar Hadi Mbeya.
Hali ya barabara pia ikoje?
Uchawi hapo kupata basi la moja kwa moja.Lindi hadi Dar kuna 300kms Dar Mbeya kuna 800 au 900kms.
Barabara ni mkeka ila una pot holes za hapa na pale.
Hiyo njia ya kusini si ya makorongo matupu?Si bora apitie moja kwa moja kusini kuliko kurudi tena Dar?
Sijapita ila sina imani na barabara za kusini. Maana nilienda Lindi kuna sehemu nyingi sana kuna vipande vya maintenance.Hiyo njia ya kusini si ya makorongo matupu?
Magreat thinkers wetu hao, kazi ipo!Hiyo njia ya kusini si ya makorongo matupu?
Ulienda mwaka gani mkuu?!!!!!Sijapita ila sina imani na barabara za kusini. Maana nilienda Lindi kuna sehemu nyingi sana kuna vipande vya maintenance.
Ila naamini kwakua ni barabara kuu inaweza kua mkeka mwanzo mwenga.
Mwaka jana September Dar Lindi Mtwara Liwale Masasi Dar.Ulienda mwaka gani mkuu?!!!!!
Mbona barabara iko njema tu mpaka bus luxury zipo?!!!Mwaka jana September Dar Lindi Mtwara Liwale Masasi Dar.
Sio Dar Lindi, kuna kipande tunavoenda Mtwara kutokea Lindi kilikua na marekebisho.Mbona barabara iko njema tu mpaka bus luxury zipo?!!!
Yeah, marekebisho kweli yalikuwepoSio Dar Lindi, kuna kipande tunavoenda Mtwara kutokea Lindi kilikua na marekebisho.
View attachment 2610705
Pia kabla hujafika hapa mahala pa kula kama 1km palikua na issue. Ila naona ni marekebisho tu.