Lindi: Mtumishi wa LATRA amtishia sime dereva wa lori ili ampe leseni

Lindi: Mtumishi wa LATRA amtishia sime dereva wa lori ili ampe leseni

Afisa wa LATRA ni mla rushwa mkubwa, hiyo gari bei yake ni mil 35 (Harrier), kwa mshahara wake sidhani kama anaweza nunua, wachunguzi waanzie kwenye akaunti yake etc. Ni bora afukuzwe kazi mara moja liwe fundisho. Pia kuna traffic wa hivyo, unakuta anaibuka tu kusema umemdharau ilihali unaonesha kumheshimu

Gari amenunua kabla hajaajiriwa latra.. hana hata miaka miwili latra.. ameshafanya kazi kampuni binafsi kubwa nyingi.. amefanya huawei kama logistics manager, bandari kavu ami amefanya, amefanya kazi za mshahara milion 4.. why asijenge au kununua magari?

Watu wanaenda serikalini kupumzika baada ta kuchoka presha za sekta binafsi..ila hela wameshavuna sana sekta binafsi.. manase miaka zaidi ya 8 amefanya private sector..

Ameshashika cheo cha logistics manager nabaki africa, huawei,Alistair.. sasa hela zote huko ashindwe kujenga au kununua magari

Tena ukiona nyumba yake kimara ndipo utasema afungwe kabisa kwa ufisadi
 
Gari amenunua kabla hajaajiriwa latra.. hana hata miaka miwili latra.. ameshafanya kazi kampuni binafsi kubwa nyingi.. amefanya huawei kama logistics manager, bandari kavu ami amefanya, amefanya kazi za mshahara milion 4.. why asijenge au kununua magari?
Nasikia wamekusimamisha kazi mkuu, pole sana jifunze kuheshimu watu na siku nyingine uwe na nidhamu pumbavu kabisa
 
Nasikia wamekusimamisha kazi mkuu, pole sana jifunze kuheshimu watu na siku nyingine uwe na nidhamu pumbavu kabisa

Sawa wamenisimamisha...ili hiyo kazi upewe wewe.. na wewe ununue tako la nyani... sio harrier tu na raum ipo, na daladala ipo.. ikiwezekana upewe wewe mali zake zote ufurahi
 
Muajiri sio LATRA peke yake na kazi ameshafanya sehemu nyingi tu na bado kujenga na hata kununua magari hajafanya kwa hela za LATRA. LATRA ameingia mwaka jana tu akitokea Huawei, pia ameshafanya kazi sehemu nyingi kwa cv yake tu, amefanya Nabaki Africa, bandari kavu ya Ami, Alistair Logistics na Huawei then ndio akaenda LATRA mwaka jana.

Muajiri sio LATRA tu. Kama CV yako nzuri na una uzoefu na connection huwezi kosa kazi. Manase anavyo vyote hivyo. Hawezi kaa kijiweni muda mrefu hata kama akifukuzwa LATRA. Pia bado kijana tu hajavuka 33 nguvu za kupambana na maisha anazo.
Anastahili kuwa jela kwa kutishia maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemjibu mtu aliyesherehekea manase kufukuzwa kazi na kusema atauza harrier yake apate hela ya kula... kushangilia mtu kufukuzwa kazi sio jambo zuri... kukosea kila mtu anakosea ... sasa kushangilia kufukuzwa kazi kwa mwenzako sio sahihi.. hata Mungu mwenyewe anasamehe tunapomkosea.. sasa why ushangilie manase kufukuzwa kazi?
Kwa sababu Manase analeta ubabe kazini.Ana matumizi mabaya ya ofisi.Pia anaweza kutoa uhai akibaki kazini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
+@
Hahahah nimecheka kinoma 😂😂😂
IMG_20201104_170901.jpg
 
Gari amenunua kabla hajaajiriwa latra.. hana hata miaka miwili latra.. ameshafanya kazi kampuni binafsi kubwa nyingi.. amefanya huawei kama logistics manager, bandari kavu ami amefanya, amefanya kazi za mshahara milion 4.. why asijenge au kununua magari?

Watu wanaenda serikalini kupumzika baada ta kuchoka presha za sekta binafsi..ila hela wameshavuna sana sekta binafsi.. manase miaka zaidi ya 8 amefanya private sector..

Ameshashika cheo cha logistics manager nabaki africa, huawei,Alistair.. sasa hela zote huko ashindwe kujenga au kununua magari

Tena ukiona nyumba yake kimara ndipo utasema afungwe kabisa kwa ufisadi
Mwizi na limbukeni tena bonge la mshamba hana exposure hata hapo alipo haamini km ni yeye,fala sana.
Alafu linaropoka tu mwandikie laki 5.faini ya kosa gani road laki 5?
Mwambie huyo bahsha wako mbwiga tu.
 
Jamaa boya kweli kweli kashindwa kuzuia hasira zake, sijui hiyo kazi alipataje na uboya huo
 
Back
Top Bottom