HITIMISHO
- Mtumishi wa umma akipigana na mteja ujue anafanya kazi kwa mazoea,ushamba unamsumbua,mpenda sifa na ulevi wa madaraka. ( Ligoma , ilu , ndugaseli , Ghazwat ,1000 digits)
-Mtumishi wa umma akianzisha fujo apigwe mpaka achakae. ( Ushimen )
- Kujenga jina unatumia miaka lakini kuliharibu inachukua sekunde. ( Zabron Hamis )
- Mteja akiwa mjuwaji mtoa huduma ampe kipondo ( USSR )
- Manase = FRESHMAN( afisatabibu , Sumu )
USHAURI
-Mteja ukipigwa au kutishiwa na Mtumishi wa umma mfungulie mashtaka mhusika ( MCHEZA KAMARI )
-Wamiliki wa malori waanzishe chama ( Karne )
-Magu akemee manyanyaso wanayofanyiwa raia na wateule wake ( pota )
-Usiingilie majukumu ambayo sii yako ( mrangi , mjinga Mimi , Peter Maduka )
-Ukifukuzwa kazi kwa kosa la uvunjifu amani unajipunguzia sifa ya kupata ajira mpya ( Kawoli , gimmy's )
-LATRA watoe mafunzo kwa watumishi wao, watoe ushirikiano kwa wateja wao na wawe na vitambulisho wakati wa kazi ( uchumi 2018 )
-Manase abadilike na aanze kutumia busara ( Nyaka-One )
-Serikali ijenge rehabilitation center kwaajili wa kuwaweka sawa raia walio fukuzwa kazi wasije kujiua au kudhuru wengine kwa sababu ya stress.
-Usimunyanyase mtu kwa sababu ya ajira yako ( FRANCIS DA DON ).