Lindi: Mtumishi wa LATRA amtishia sime dereva wa lori ili ampe leseni

Lindi: Mtumishi wa LATRA amtishia sime dereva wa lori ili ampe leseni

Muajiri sio LATRA peke yake na kazi ameshafanya sehemu nyingi tu na bado kujenga na hata kununua magari hajafanya kwa hela za LATRA. LATRA ameingia mwaka jana tu akitokea Huawei, pia ameshafanya kazi sehemu nyingi kwa cv yake tu, amefanya Nabaki Africa, bandari kavu ya Ami, Alistair Logistics na Huawei then ndio akaenda LATRA mwaka jana.

Muajiri sio LATRA tu. Kama CV yako nzuri na una uzoefu na connection huwezi kosa kazi. Manase anavyo vyote hivyo. Hawezi kaa kijiweni muda mrefu hata kama akifukuzwa LATRA. Pia bado kijana tu hajavuka 33 nguvu za kupambana na maisha anazo.
Manase umeshajiharibia. Huawei hawawezi kumuajiiri mtu ambaye akitofautiana na mteja anashika panga. Kujenga jina unatumia miaka, lakini kuliharibu inachukua sekunde tu. Kwahiyo video tu inatosha kukuweka kwenye blackbook/list.
 
Hii LATRA ambayo zamani ilikuwa Sumatra imekuwa ya ajabu sana na ina watu wa hovyo kabisa!
Kuna yule wa DSM aliyepigiwa simu na RC wa DSM akakataa kupokea! Hii ni nidhamu chafu kabisa.
Kuna wakati ilikuwa na staff wenye weledi na hekima sana barabarani sijui walienda wapi wale watu mfano yule shiro .
 
Muajiri sio LATRA peke yake na kazi ameshafanya sehemu nyingi tu na bado kujenga na hata kununua magari hajafanya kwa hela za LATRA. LATRA ameingia mwaka jana tu akitokea Huawei, pia ameshafanya kazi sehemu nyingi kwa cv yake tu, amefanya Nabaki Africa, bandari kavu ya Ami, Alistair Logistics na Huawei then ndio akaenda LATRA mwaka jana.

Muajiri sio LATRA tu. Kama CV yako nzuri na una uzoefu na connection huwezi kosa kazi. Manase anavyo vyote hivyo. Hawezi kaa kijiweni muda mrefu hata kama akifukuzwa LATRA. Pia bado kijana tu hajavuka 33 nguvu za kupambana na maisha anazo.
nilichokuja kugundua kwa sisi wataalamu

huenda ww ndo huyo mpuuzi Manase mwenyewe ama una undugu nae na kama ni ww basi omba sana mungu usije fanyia watu kama sisi kitendo cha k¡$€ng€ kama ulichomfanyia huyo dereva

utaishia kuandikwa kwenye msalaba watu hawafanani kama si hivyo hata kurogwa unarogwa tena vizuri sana so kama ni ww pokea ujumbe kama ni ndugu yako mpelekee ujumbe maana huwezi ukawa unamjua mtu kwa details zote ulizoandika hapo kama si ww ama mtu wake wa karibu

pumbav kbsa ipo siku ut@g€uzw@ na hilo shape lako nene nyuma umejaa mafta mafta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muajiri sio LATRA peke yake na kazi ameshafanya sehemu nyingi tu na bado kujenga na hata kununua magari hajafanya kwa hela za LATRA. LATRA ameingia mwaka jana tu akitokea Huawei, pia ameshafanya kazi sehemu nyingi kwa cv yake tu, amefanya Nabaki Africa, bandari kavu ya Ami, Alistair Logistics na Huawei then ndio akaenda LATRA mwaka jana.

Muajiri sio LATRA tu. Kama CV yako nzuri na una uzoefu na connection huwezi kosa kazi. Manase anavyo vyote hivyo. Hawezi kaa kijiweni muda mrefu hata kama akifukuzwa LATRA. Pia bado kijana tu hajavuka 33 nguvu za kupambana na maisha anazo.
Unajuaje hatafikishwa mahakamani na kufungwa mkuu?
 
Muajiri sio LATRA peke yake na kazi ameshafanya sehemu nyingi tu na bado kujenga na hata kununua magari hajafanya kwa hela za LATRA. LATRA ameingia mwaka jana tu akitokea Huawei, pia ameshafanya kazi sehemu nyingi kwa cv yake tu, amefanya Nabaki Africa, bandari kavu ya Ami, Alistair Logistics na Huawei then ndio akaenda LATRA mwaka jana.

Muajiri sio LATRA tu. Kama CV yako nzuri na una uzoefu na connection huwezi kosa kazi. Manase anavyo vyote hivyo. Hawezi kaa kijiweni muda mrefu hata kama akifukuzwa LATRA. Pia bado kijana tu hajavuka 33 nguvu za kupambana na maisha anazo.

Wewe ni bahati yako unafukuzwa kazi ila ungekutana na sisi wahuni kwenye hiyo kazi yako tungekukula futa na tako lako kubwa hilo.
 
Askari wa trafiki hapo wameonesha busara ya hali ya juu ila huyo jamaa wa LATRA sjui ni ushamba au
panga la nini tena hapo, angempiga nalo si angejitafutia balaa au ndiyo kutaka kujionesha shujaa?

Ova
Huyo jamaa mwenyeji wa Musoma mini?
 
Kwa kweli Hawa jamaa wa LATRA nadhani kuna haja kubwa ya kutoa maelekezo zaidi kutusaidia watumishi wa barabara. Maana unakamatwa barabarani unaambiwa ulipe faini kuanzia laki mojà kwenda juu,endapou huna hiyo fedha wanachukua gari.

The way wanavyokunyanganya gari haina tofauti na mwizi wa gari,maana fomu wanayokupatia ina jina tu la LATRA haina nembo ya serikali,hawatoi vitambulisho vyao kuonyesha gari yako ipo mikono salama.

Binafsi aina kwa mtindi huu watu wajiandae kuibiwa magari maana style wanayoitumia wezi wakiiga tutaumia.

2. Idara zao za kutoa taarifa ni vyema zikafanya kazi kwa ushirikiani na mwenye gari,ni vyema wakawa na sticker ili unapikamatwa kama upo willing kulipia sticker upewe control namba ulipie hapo hapo.

Binafsi nilijua magari ya chini ya busy tani mfano suzuki carry ambayo haifanyi biashara haikatiwi hicho kibali ghafa unakamatwa unaambiwa faini laki mbili na nusu kama huna unapokonywa gari.

Naiomba serikali iangalie jambo hili na kuliwekea utaratibu mzuri.

Mbona bima na ushuru wa barabara tunalipa bila tatizo iweje jambo hili tushikiane some?
Sheria na kanuni za kazi zinatungwa na Management. Mwenyekiti wa Bodi na Mkurugenzi wake Mkuu wanapaswa kuwajibishwa.
 
Muajiri sio LATRA peke yake na kazi ameshafanya sehemu nyingi tu na bado kujenga na hata kununua magari hajafanya kwa hela za LATRA. LATRA ameingia mwaka jana tu akitokea Huawei, pia ameshafanya kazi sehemu nyingi kwa cv yake tu, amefanya Nabaki Africa, bandari kavu ya Ami, Alistair Logistics na Huawei then ndio akaenda LATRA mwaka jana.

Muajiri sio LATRA tu. Kama CV yako nzuri na una uzoefu na connection huwezi kosa kazi. Manase anavyo vyote hivyo. Hawezi kaa kijiweni muda mrefu hata kama akifukuzwa LATRA. Pia bado kijana tu hajavuka 33 nguvu za kupambana na maisha anazo.
Pole sana manase ulofa wako umekuponza jiandae kwa maumivu
 
Yaaani nimesikia hasira!!! Hivi kupewa hako kaajira serikalini ndio iwe ticket ya kunyanyasa watu kama watoto wa shule na mwalimu wao???! Unamtolea sime!!! Why ???!!! Unampiga faini ya 500,000/= kwa kumkomoa tu????! Why??!!!!! Unaagiza gari liende yard na kumtia mtu hasara kwa kukomoa tu, why??!!! Hata traffic police baadhi huwa wana kuwa hivi na kujiona Miungu watu, ambapo usipomlamba miguu basi atakukomoa hadi ujute, huyo na hicho kiharrier chake ndio anajiona mungu mtu hapo, sasa anyooshweeee...!!!!!!!
 
Walitakiwa wamkamate na wamfungulie shtaka la kutishia na kutaka kudhuru kwa silaha ya jadi
Hao polisi wameonyesha udhaifu na mazoea na wahalifu, hii haikubaliki, hao polisi wakamatwe na wawekwe ndani kwa kutomuweka
Chini ya ulinzi mtu anaetishia uhai wa raia asiye na silaja!!!!
 
Back
Top Bottom