TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Mkuu unasahau yule jamaa DC wa kule Rorya, si bora huyu anakugecha pasipo kukuaibisha!Mijitu ina roho mbaya sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unasahau yule jamaa DC wa kule Rorya, si bora huyu anakugecha pasipo kukuaibisha!Mijitu ina roho mbaya sana.
Huyu awe wa mfano! akauze chips huko! kazi ya leseni kudai ni ya Traffic police na wenyewe walikuwa hapohapo! huu ni ujinga wa kiwango cha Trump.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mnalalamika wakati Magufuli akiiona hii anafurahia?
Mzee wewe ni mchawi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji53]CCM imekuvuruga ubongoDereva alijifanya mjuaji alitakiwa apokonywe reseni kabisa
Anaamishwa kituo cha kazi tu hapoWalitakiwa wamkamate na wamfungulie shtaka la kutishia na kutaka kudhuru kwa silaha ya jadi
Naona manase mwenyewe umeamua kuvunja ukimyaDereva alijifanya mjuaji alitakiwa apokonywe reseni kabisa
Unamaanisha ni mjingaManase nimesoma nae udsm.. ni mtata sana...
Hilo gari lake ajiandae kuliuza ili kujikimu na ukali wa maisha maana kuna uwezekano mkubwa wa kufukuzwa kazi kwa tukio hilo.Manase nimesoma nae udsm.. ni mtata sana...
Tofautisha utata na upumbavu,huyu manase ni mpumbavu.Manase nimesoma nae udsm.. ni mtata sana...
reseni ndo niniDereva alijifanya mjuaji alitakiwa apokonywe reseni kabisa
[emoji23]Naona manase mwenyewe umeamua kuvunja ukimya
ona hii kuku ya lumumba empty set kabisaDereva alijifanya mjuaji alitakiwa apokonywe reseni kabisa
Hilo gari lake ajiandae kuliuza ili kujikimu na ukali wa maisha maana kuna uwezekano mkubwa wa kufukuzwa kazi kwa tukio hilo.
Safi Sana, na pia ni aibu kwake na familia yake, mambo ya kitoto wakati ni mtu mzimaAmeshasimamishwa kazi tayari. Na dereva hakuandikiwa faini yoyote
Hapo bila shaka ni kituo cha kwanza cha trafiki kutoka lindi mjini kama unaelekea mtwaraKwanza anaitwa nani, na hapo tukio lilipo tokea ni wapi??
Kuna atakayetaka kumuajiri tena kwa negative trend aliyopata. Labda ofisi za kipuuzi. Credible orgs haziwezi haribu reputation ya ofisi kwa kumwajiri mtu kama yeyeMuajiri sio LATRA peke yake na kazi ameshafanya sehemu nyingi tu na bado kujenga na hata kununua magari hajafanya kwa hela za LATRA. LATRA ameingia mwaka jana tu akitokea Huawei, pia ameshafanya kazi sehemu nyingi kwa cv yake tu, amefanya Nabaki Africa, bandari kavu ya Ami, Alistair Logistics na Huawei then ndio akaenda LATRA mwaka jana.
Muajiri sio LATRA tu. Kama CV yako nzuri na una uzoefu na connection huwezi kosa kazi. Manase anavyo vyote hivyo. Hawezi kaa kijiweni muda mrefu hata kama akifukuzwa LATRA. Pia bado kijana tu hajavuka 33 nguvu za kupambana na maisha anazo.
Ova.Mnalalamika wakati Magufuli akiiona hii anafurahia?