Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee, reseni!Dereva alijifanya mjuaji alitakiwa apokonywe reseni kabisa
Yaani nimejikuta napata hasira kanakwamba mimi ndie yule muhanga....Ushamba unamsumbua. Sasa pale alitoa panga la nn? Halafu akalirudisha bila hata kuambiwa. Ushambaa tuuu.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kwanza anaitwa nani, na hapo tukio lilipo tokea ni wapi??Ameshasimamishwa kazi tayari. Na dereva hakuandikiwa faini yoyote
Kwanza anaitwa nani, na hapo tukio lilipo tokea ni wapi??
Asante kwa taarifa mkuu.Anaitwa emanuel manase afisa latra lindi. Tukio limetokea lindi
Mrangi anaogopaga shari sana akikumbuka Stakishari yani kwenye vurugu anakaa mbali sana.Duh
Ova
Ujembe wake uko wapi mkuu? Kazi anayofanya wanaweza kufanya maelfu wengine tena kwa ufanisi na nidhamu ya hali ya juu. Kitendo cha kumtishia mtu na silaha tena kina constitute criminal offence hata kama hajamkata na hilo panga dereva. "Kua mtata" kwenye kazi hasa ya umma tena dhidi ya wateja wako (wateja wa serikali) ni "disqulification" na wala sio "qulification"Manase Ni mtu wa mbeya msafwa.. kwenye kazi ni jembe sana ila mkorofi sana
Mkuu umejuaje kama kasimamishwa kazi?Ameshasimamishwa kazi tayari. Na dereva hakuandikiwa faini yoyote
Mnalalamika wakati Magufuli akiiona hii anafurahia?
Mnalalamika wakati Magufuli akiiona hii anafurahia?
Kafanya Kaz ya kipolisi mbele ya polisi ilihali yeye si polisi.Kawavuaje polisi mkuu?
Nahisi hata uchagani kuna ukoo wa manase.Manase Ni mtu wa mbeya msafwa.. kwenye kazi ni jembe sana ila mkorofi sana
Kama kuna ndugu na jamaa mwelekezini hapo alipo si salama sana kwa maisha yake.
Anapaswa kuelekezwa sana juu ya tukio alilofanya.Kuna 75 % siku lori likamzika hapo hapo alipo au maeneo hayo.
Anapaswa kuelewa sana hawa madereva wa Bus na Lori.Akue kwa haraka sana na ajitambue.
Kweli kabisa Mkuu..ni tabia ya vijana wengi sana wa namna yake.Jamaa anaonekana limbukeni aseeee
Acha ujinga wako kufananisha Trump na takataka za afrikaHuyu awe wa mfano! akauze chips huko! kazi ya leseni kudai ni ya Traffic police na wenyewe walikuwa hapohapo! huu ni ujinga wa kiwango cha Trump.
Punguza mahaba yako kwa mkuu wa nchiMnalalamika wakati Magufuli akiiona hii anafurahia?
Inaonekana una mahaba sana na mkuu wa nchi wewe,haipiti siku bila kumtaja,umeolewa?Nchi hii kitu kinachoitwa utii wa sheria hakipo. Magufuli ndio muasisi wa Kuvunja sheria