Bado inapitia mchakato wa kusimama .Libya iliyokombolewa kutoka kwa Ghadafi sahivi ipo wapi?
Haya mambo yakupigana kisa uchaguzi na mavyama wenzetu wakenya washavuka naona sisi ndo kama tunaelekea huko.Unampigania mwanasiasa yeye anamaliza kuhojiwa anatoka wewe ushapambana na polisi ushaumizwa na huyo unayempigania hatakupa hata mia ya matibabu! Zaidi mtu anajizidishia umasikini tu!Ni hasira tu mkuu maana wajinga hawaishi katika ulimwengu na ndio mtaji wa SISIEMU.
Sawa ila nakwambia ipo siku atatokea kichaa atawafanyia mbaya sana hao Policcm na ndio itakuja kuwa fundisho kuvamia mikutano hovyo hovyo!!! Sio kwamba wanampigania mwanasiasa wanareact kwasababu hao wapoliccm wanavamia wanavuruga mkutano wao,hao walioreact ni part ya uongozi wa ACT na ni moja ya kazi zao hizo wanazojadili kwenye huo mkutano ,kitendo cha policcm kuvuruga taratibu za kazi zao na kureact sio kwamba ndio wanampigania zitto na bwege,wanapigania haki yao kunajisiwa.Haya mambo yakupigana kisa uchaguzi na mavyama wenzetu wakenya washavuka naona sisi ndo kama tunaelekea huko.Unampigania mwanasiasa yeye anamaliza kuhojiwa anatoka wewe ushapambana na polisi ushaumizwa na huyo unayempigania hatakupa hata mia ya matibabu! Zaidi mtu anajizidishia umasikini tu!
Huu sio muda wa siasa za hivyo hovyoHao wahuni kina zito wakamatwe tu hatutaki siasa chafu
Itakuwa huifahamu Libya ya sahivi wewe. Hata dalili za kuinuka hazipo.Ndo kwanza majeshi ya Egypt, Turkey, na ya nchi nyingine yametia kambi kulinda maslahi yao.Ile Libya iliyomuumiza kichwa U.S haitarudi.Uchumi graph imeshuka kwa kasi ya ajabu.Hayo ndo matokeo ya Violence. Kama upo tayari na sisi tufike huko sawa.Bado inapitia mchakato wa kusimama .
Sasa kipi bora, kuendelea kupigana na kua huru.
Kuendelea kujitia ujinga na kua mtumwa ndani ya nchi yako??
Tatizo ni Viongozi wa Afrika, tunao viongozi wa ovyo ovyo sana .
Kama hawakuwa na kosa lolote basi hapo wameonewaSawa ila nakwambia ipo siku atatokea kichaa atawafanyia mbaya sana hao Policcm na ndio itakuja kuwa fundisho kuvamia mikutano hovyo hovyo!!! Sio kwamba wanampigania mwanasiasa wanareact kwasababu hao wapoliccm wanavamia wanavuruga mkutano wao,hao walioreact ni part ya uongozi wa ACT na ni moja ya kazi zao hizo wanazojadili kwenye huo mkutano ,kitendo cha policcm kuvuruga taratibu za kazi zao na kureact sio kwamba ndio wanampigania zitto na bwege,wanapigania haki yao kunajisiwa.
bila policcm ni wepesi kama uji wa mgonjwa makuwadi wa shetani nyieHuyo zitto kutwa kujipendekeza kwa mabalozi kuichafua Nchi yetu
Akamatwe akae huko ajifunze
Umenikimbusha wafuasi wa makaburu walivyokua wakishangilia waafrika wenzao wanavyo nyanyaswa hovyo huko Afrika kabla ya Uhuru lakini ata baada ya Uhuru mambo niyale yale.Huyo zitto kutwa kujipendekeza kwa mabalozi kuichafua Nchi yetu
Akamatwe akae huko ajifunze
Hao polisi wanatumwa tu mkuu, tatizo ni wanaowatuma.CCM CCM CCM , nimewaita mara tatu.
POLIS POLISI POLISI , nmewaita mara tatu.
Embu fanyeni kuwaza, kama hao polisi wenu chini ya 10 , Wananchi hawa wangeamua kuwashugulikia , kuna mtu angetoka???.
Nayann kuleta migogoro isokua na maana???
CCM wafanye wanavyotaka, Upinzani wakandamizwe, ivi nan mwenye hati miliki ya Nchi hii,?????
Alafu linakuja lipuuzi limoja, linasema Rais Kafanya mengi, masuala ya katiba na tume huru hayana maana na hayahitajiki????
Mjue ,Siku moja Sauti za hawa mnawaonea Zitainuka..
Ghadafi, alijiaminisha kua Jeshi kalishika, Polisi na vyombo vyake vya Dola amevishika,,,,..... ni nani asojua Ghafafi aliondoshwa na Kabila dogo lilodharauliwa nchini humo?????.
WITO ....
Wananchi ,wafuasi wa upinzani, mpaka lini viongozi wenu watapigwa Risasi??? Mpaka lini watatishiwa kuuwawa ndani ya nchi yao?? Mpaka lini mtakubali viongozi wenu wapondwe ,waumizwe..? Nikwamba mmeshindwa kabisa kuwasimamia......???
Polisi kama hawa wapuuzi walipaswa kupewa kipigo cha mbwa mwitu mpaka alowatuma salamu zimfikie kua TUMECHOKA... Acheni kuwalea lea hawa wapuuzi.
Nahisi we ndio JINGA NAMBA MOJA TANZANIAHuyo zitto kutwa kujipendekeza kwa mabalozi kuichafua Nchi yetu
Akamatwe akae huko ajifunze