Lini ilikuwa mara ya mwisho Mshahara wako ulikutana na unaofuata?

Mimi unaishaga Week ya kwanza, Pesa yote Inaenda sehemu flani hivi.
Baada ya hapo naishi kwa kutatua matatizo..

Yaani, nakunywa chai pesa yote napata nguvu.
Hivyo nakosa ya mchana, naaza kutatua tatizo la pesa ya chakula mchana,

Likiisha hilo linakuja la jioni...
Lazima kichwa kiwake mda wote nipo resi..
 
Binafsi nina rough expenditure tu ila wangu nikitaka kusev kila mwezi naeza sev 1mil
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…