Kumbe kuna watu mna mishahara ?Kumbe kuna watu humu mishahara yenu inakutana?
πππ Sasa mzee asioe.Kuna usemi unasema ' live below your means'
Hii kitu ni ngumu kuifuata ila ukiiweza mshahara lazima ukutane.
NB.
Unakuta mtu mshahara haukutani na bado anataka kuoa.
Haijawahi kutana ila Mwezi huu kiboko, tarehe Bado mbichi lakini ni kama vile sikupokea kitu mwezi uliopita
Nilizingatia maokoto mkuuπUlibeti vizuriππ congrats Kwa Hilo, ila I guess Kuna mwamba anapasuka vibaya hukoππ yaani anaivia moshi
Wewe una ma sponsor buddyπππ sasa ukute hata pesa za mtoa uzi umekulaππ
Nime-observe hilo pia.Asilimia 90% wanaosema inakutana ni wanawake.
Binafsi nina rough expenditure tu ila wangu nikitaka kusev kila mwezi naeza sev 1milKuna swali najiuliza hivi kadiri unavyoata fedha ndivyo majukumu yanaongezeka au ni akili tu inajiambia sasa hivi kipato kimeongezekana nawe ongeza matumizi?
Nasema hivyo kwa kuwa mara nyingi imetokea kwa watu wengi hasa sisi wa hali ya kawaida na hali ya chini imekuwa kawaida mishahara kutokutana, yaani ule wa mwezi huu uwepo angalau kidogo pindi wa mwezi unaofuatia unapoingia.
Je, lini mara ya mwisho wewe mishahara yako imekutana?
Wao ndio huwa wanatumia mishara yetu ya kwako ndio maana inakutana.Nime-observe hilo pia.
Chake Ni chake,changu Ni chetu.Wao ndio huwa wanatumia mishara yetu ya kwako ndio maana inakutana.
ππ Ila shem c anakutumiagaUkute na wewe mleta mada ameshakutafuna kitambo kwa kupenda hao masponsor