Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hizo dini mbili zipo mashindanoni?Kazi ipo.Au ngumu kukaa kichwani? kama ilivyokuwa Quran?
Sio mashindano. Swala inahifadhika?Kwa hizo dini mbili zipo mashindanoni?Kazi ipo.
Surah Al-Mumtahanah (60:8) emphasizes treating non-Muslims with fairness and kindness:Lini Mashindano ya kusoma Biblia? kama ilivyokuwa Quran?
au ni vigumu kuihifidhali?
Wadau wanaosoma biblia hebu watwambie. Hichi kitabu kinahifadhika ?
Kuhifadhika(biblia)nadhani inahifadhika kabatini,mezani,kwenye mikoba nk.Au unaeleza kuhusu kukariri kichwani?Sio mashindano. Swala inahifadhika?
Lini Mashindano ya kusoma Biblia? kama ilivyokuwa Quran?
Au ni vigumu kuihifidhali?
Wadau wanaosoma biblia hebu watwambie.
Hichi kitabu kinahifadhika?
Kweli. ndio maana zinajaa vumbiKuhifadhika(biblia)nadhani inahifadhika kabatini,mezani,kwenye mikoba nk.Au unaeleza kuhusu kukariri kichwani?
Mngaliweza nyinyi. pangalikuwa hapatoshi. lkn imekuwa ngumu ndio visababuYA NINI SASA? NI UPUUZI. NI KUSOMA AU KUKARIRI? MI SIJAONA WAKISOMA. NIMEONA WAKIKARIRI.
Vyote kwa pamojaHivi yale ni mashindano ya kusoma kuruani au kukariri kuruani?
Tunaomba siku 1, tusimkie Gwajima akighaniInawezekana.
Unashauri waanze upya kufundishwa kwa kunyukwa viboko vingi kama mifugo hadi wakariri/wahifadhi?Mngaliweza nyinyi. pangalikuwa hapatoshi. lkn imekuwa ngumu ndio visababu
KUWEZA KUKARIRI KITU AMBACHO HAWAKIJUI? SIDHANI KAMA WAKRISTO WANA UPUUZI HUO.Mngaliweza nyinyi. pangalikuwa hapatoshi. lkn imekuwa ngumu ndio visababu
Uchokozi huu.🤣🤣🤣🤣🤣🤣KUWEZA KUKARIRI KITU AMBACHO HAWAKIJUI? SIDHANI KAMA WAKRISTO WANA UPUUZI HUO.
kupigwa ndio kusomaUnashauri waanze upya kufundishwa kwa kunyukwa viboko vingi kama mifugo hadi wakariri/wahifadhi?
SIYO LENGO LA BIBLIA. HAYO WANAACHIWA WASANII.Tunaomba siku 1, tusimkie Gwajima akighani
Mfahamu kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein AS muanzilishi wa madhehebu ya Shia ambaye hakunyonyeshwa na mama yake Fatima kwasababu babu yake Mtume Muhammad alikataa Pindi tu alipozaliwa akamtwaa na kumnyonyesha kwa ulimi wake .Lini Mashindano ya kusoma Biblia? kama ilivyokuwa Quran?
Au ni vigumu kuihifidhali?
Wadau wanaosoma biblia hebu watwambie.
Hichi kitabu kinahifadhika?