Lini kutakuwa na Mashindano ya kusoma Biblia kama ilivyokuwa Quran?

Lini kutakuwa na Mashindano ya kusoma Biblia kama ilivyokuwa Quran?

Kuna takribani verses 6500 kwenye kurani na bible Ina verses takribani 31,000.. so biblia ni kubwa mara Tano zaidi ya kurani. Utahifadhi yote ?

Pamoja na yote,
Tuendelee kuzikataa dini, hasa za kuja na mambo yake yooote.



Dini ni utumwa,

Dini ni unyonyaji kiuchumi,

Dini inadumaza uwezo wa kufikiri.

Dini ni chanzo Cha hofu na sonona.

Epuka dini, ishi kwa amani.
 
Mfahamu kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein AS ambaye hakunyonyeshwa na mama yake Fatima kwasababu babu yake Mtume Muhammad alikataa Pindi tu alipozaliwa akamtwaa na kumnyonyesha kwa ulimi wake .

Imam Hussein kwa muda wa miaka miwili hakunyonya titi la mama yake bali alinyonya ulimi wa mtume. Ndio maana kipenzi chetu cha dhati anatukuzwa.
Huuu nao ni ulongooo Kama ule wa kufufua wafu
 
Yaani huu uzi ni kama swala amcheke simba kwanini hali majani anakula swala.
Wakati majani yapo kila sehemu, yamejaa, mungu ametuwekea duniani,
hatuitaji kulima ni yanajiotea tu mungu anamwagilia...halafu hatuhitaji kuyawinda/yanapatikana kirahisi...Simba kula kwake mpaka awinde ajifiche kwenye majani ahangaike apigwe na mbogo/tembo mda mwingine, kwanini ale kwa shida hivyo????



wakati mda huo simba anawaza kwanini ahangaike kula nyasi nyingi ili apate calories chache (herbivores wanakula mda wote) wakati anaweza kusubiria mafala akina swala na nyati yale nyasi ili mimi nikila limoja mli mmoja ni sawa na kula nyasi siku 3😁
 
Yaani huu uzi ni kama swala amcheke simba kwanini hali majani anakula swala.
Wakati majani yapo kila sehemu yamejaa mungu ametuwekea duniani hatuitaji kulima ni yanajiotea tu mungu anamwagilia...halafu hatuhitaji kuyawinda/yanapatikana kirahisi...Simba kula kwake mpaka awinde ajifiche kwenye majanai ahangaike apigwe na mbogo/tembo mda mwingine, kwanini ale kwa shida hivyo????
wakati mda huo simba anawaza kwanini ahangaike kula nyasi nyingi ili apate calories chache (herbivores wanaakula mda mda wote) wakati anaweza kusubiria mafala akina swala na nyati yale nyasi ili mimi nikila limoja mli mmoja ni sawa na kula nyasi siku 3😁
Mlivukuwa washindani. mngaliweza kuihifadhi biblia kila siku kungalikuwa na mashindano
 
Mfahamu kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein AS ambaye hakunyonyeshwa na mama yake Fatima kwasababu babu yake Mtume Muhammad alikataa Pindi tu alipozaliwa akamtwaa na kumnyonyesha kwa ulimi wake .

Imam Hussein kwa muda wa miaka miwili hakunyonya titi la mama yake bali alinyonya ulimi wa mtume. Ndio maana kipenzi chetu cha dhati anatukuzwa.
Muddy alikuwa ana mambo ya ajabu sana.

We fikiria yeye alimuoa Aysha Bint Abu Bakr(6 years old) akiwa na miaka 53, hakuna mtu aliyempinga, ila yeye mtoto wake wakike Fatima wakina Abu Bakr walivotaka wamuoe akakataa, akasema Fatima bado mdogo, wakati yeye alimuoa Aysha wakati bado anacheza na midoli.
 
Elimu, Elimu, Elimu

Ndugu zetu hili swala tunalichukulia poa ila lina msingi mkubwa. Haya yote tunayoona hapa ni kiashiria kuna mahali ELIMU haijatumika sawasawa. Padre anayekula elimu ya Theology na Falsafa kwa zaidi ya miaka saba aje kuwaongoza waumini wake hawezi kuwa sawa na mhifadhi katika kutoa kile alichonacho kwenda kwa waumini wake. Sasa watu wanataka kuwela mashindano 😹

BTW, Elimu ndio ilikua vipaumbele vitatu vya marehemu Edward Lowassa katika uchaguzi mkuu wa uraisi mwaka 2015
 
Muddy alikuwa ana mambo ya ajabu sana.

We fikiria yeye alimuoa Aysha Bint Abu Bakr(6 years old) akiwa na miaka 53, hakuna mtu aliyempinga, ila yeye mtoto wa kike Fatima wakina Abu Bakr walivotaka wamuoe akakataa, akasema Fatima bado mdogo, wakati yeye alimuoa Aysha wakati bado anacheza na midoli.
Kuna kafiri alikuwa na akili hizo, juzi aliingia katika uislam akasema dar. kumbe wachungaji wanatupotosha?
 
Elimu, Elimu, Elimu

Ndugu zetu hili swala tunalichukulia poa ila lina msingi mkubwa. Haya yote tunayoona hapa ni kiashiria kuna mahali ELIMU haijatumika sawasawa. Padre anayekula elimu ya Theology na Falsafa kwa zaidi ya miaka saba aje kuwaongoza waumini wake hawezi kuwa sawa na mhifadhi katika kutoa kile alichonacho kwenda kwa waumini wake. Sasa watu wanataka kuwela mashindano 😹

BTW, Elimu ndio ilikua vipaumbele vitatu vya marehemu Edward Lowassa katika uchaguzi mkuu wa uraisi mwaka 2015
Padri si analipwa? tena mshahara mnono. angalikuwa halipwi wote wangalikimbia makanisa
 
Back
Top Bottom