- Thread starter
- #81
mbona hata watoto tunaona wanakibeba njiani? au kipo ROMA?kitabu kimoja cha mt. Luke kina aya nyingi kuliko iko cha mud.biblia ni kichaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona hata watoto tunaona wanakibeba njiani? au kipo ROMA?kitabu kimoja cha mt. Luke kina aya nyingi kuliko iko cha mud.biblia ni kichaka
Muda wa kwenda kuangalia maonesho ya mazingaombwe ya mwamposa na kiboko wa wachawi watamuachia nani?Lini Mashindano ya kusoma Biblia? kama ilivyokuwa Quran?
Au ni vigumu kuihifidhali?
Wadau wanaosoma biblia hebu watwambie.
Hichi kitabu kinahifadhika?
Siyo kukikariri kichwani.mbona hata watoto tunaona wanakibeba njiani? au kipo ROMA?
biblia ni mkusanyiko wa vitabu zaidi ya 60 na waandishi tofauti tofauti tofauti na icho chenu mwandishi ni mmoja tumbona hata watoto tunaona wanakibeba njiani? au kipo ROMA?
ngano hizo kutokea kitabu cha majiniMAISHA YA WASIOKUWA WAISLAM WAKIFA
Maelezo ya Adhabu ya Moto
*a. * Moto Mkali na Mwenye Uchungu:
*b. * Adhabu ya Milele:
- Sura ya An-Nisa (4:56): "Hakika wale wanaokataa Ishara Zetu, Tutawaingiza kwenye Moto. Kila mara ngozi zao zitakapoiva, Tutazibadilisha ngozi zao kwa ngozi nyingine ili wateseke. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye Hekima, Mwenye Uwezo."
- Sura ya Al-Mulk (67:6-7): "Kwa wale waliokataa kwa Mola wao, watakuwa na adhabu ya moto wa milele, na itazidi kwa maumivu. Ikiwa watakua hawana maelezo, watakuta moto unazidi kuwa na nguvu."
*c. * Matukio ya Moto wa Jahannam:
- Sura ya Al-Baqarah (2:81): "Kama vile moto utaendelea kuwaka, adhabu yao itakuwa ya milele. Hawatakuwa na msamaha wala kuondolewa adhabu yao."
- Sura ya Al-Humazah (104:4-6): "Hapana! Ataingia kwenye moto wa Jahannam. Na wewe, utachoma moto huo."
*2. * Sababu za Kuingia Moto
*a. * Kukataa Imani na Mwenyezi Mungu:
*b. * Kufanya Uovu na Kosa:
- Sura ya Al-Bayyina (98:6): "Hakika wale waliokataa kutoka miongoni mwa watu wa Kitabu na washirikina, watakuwa katika moto wa Jahannam, watakaoishi milele ndani yake."
- Sura ya Al-Ma'arij (70:15-16): "Hapana! Kwa hakika, adhabu ya moto wa Jahannam itawaandama wale wanaofanya dhambi na makosa."
*3. * Maelezo ya Tafauti ya Moto wa Jahannam
*a. * Moto wa Watu na Malaika:
*b. * Vikosi vya Moto:
- Sura ya Al-Anfal (8:50): "Ikiwa ungeweza kuona vile malaika wanavyopokea roho za wale wanaokataa kwa nguvu na kuwatupa kwenye moto."
- Sura ya Az-Zumar (39:71): "Na wale wanaokataa wataingizwa kwenye moto kwa vikosi. Na kila kikosi kitachukua nafasi
Usiudharau uwezo wa ubongo wa binadamu....Biblia sio ngumu kuihifadhi...actually, ukiamua kuweka dedication ukaanza kukaririshwa dictionary kuanzia una miaka 6 mpaka kuwa mtu mzima.Swali. Bibilia kwanini mgumu kuihifadhi?
na pia muda wa kwenda kwa Sheikh Sharif Majini na Sheikh Abdulrazak, Sheikh kipoozeo,Muda wa kwenda kuangalia maonesho ya mazingaombwe ya mwamposa na kiboko wa wachawi watamuachia nani?
Hadithi hizo ndiyo zinasema?🤔MAISHA YA WASIOKUWA WAISLAM WAKIFA
Maelezo ya Adhabu ya Moto
*a. * Moto Mkali na Mwenye Uchungu:
*b. * Adhabu ya Milele:
- Sura ya An-Nisa (4:56): "Hakika wale wanaokataa Ishara Zetu, Tutawaingiza kwenye Moto. Kila mara ngozi zao zitakapoiva, Tutazibadilisha ngozi zao kwa ngozi nyingine ili wateseke. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye Hekima, Mwenye Uwezo."
- Sura ya Al-Mulk (67:6-7): "Kwa wale waliokataa kwa Mola wao, watakuwa na adhabu ya moto wa milele, na itazidi kwa maumivu. Ikiwa watakua hawana maelezo, watakuta moto unazidi kuwa na nguvu."
*c. * Matukio ya Moto wa Jahannam:
- Sura ya Al-Baqarah (2:81): "Kama vile moto utaendelea kuwaka, adhabu yao itakuwa ya milele. Hawatakuwa na msamaha wala kuondolewa adhabu yao."
- Sura ya Al-Humazah (104:4-6): "Hapana! Ataingia kwenye moto wa Jahannam. Na wewe, utachoma moto huo."
*2. * Sababu za Kuingia Moto
*a. * Kukataa Imani na Mwenyezi Mungu:
*b. * Kufanya Uovu na Kosa:
- Sura ya Al-Bayyina (98:6): "Hakika wale waliokataa kutoka miongoni mwa watu wa Kitabu na washirikina, watakuwa katika moto wa Jahannam, watakaoishi milele ndani yake."
- Sura ya Al-Ma'arij (70:15-16): "Hapana! Kwa hakika, adhabu ya moto wa Jahannam itawaandama wale wanaofanya dhambi na makosa."
*3. * Maelezo ya Tafauti ya Moto wa Jahannam
*a. * Moto wa Watu na Malaika:
*b. * Vikosi vya Moto:
- Sura ya Al-Anfal (8:50): "Ikiwa ungeweza kuona vile malaika wanavyopokea roho za wale wanaokataa kwa nguvu na kuwatupa kwenye moto."
- Sura ya Az-Zumar (39:71): "Na wale wanaokataa wataingizwa kwenye moto kwa vikosi. Na kila kikosi kitachukua nafasi
Mama yake yesu aliposwa akiwa na umri Gani na Joseph akiwa na Miaka 88?We fikiria yeye alimuoa Aysha Bint Abu Bakr(6 years old) akiwa na miaka 53,
Wakristo tunafunzwa kuielewa Biblia sio kuikaririLini Mashindano ya kusoma Biblia? kama ilivyokuwa Quran?
Au ni vigumu kuihifidhali?
Wadau wanaosoma biblia hebu watwambie.
Hichi kitabu kinahifadhika?
Sahihi hakipo ,hakijawahi kutokea na hakiji kutokeaKUWEZA KUKARIRI KITU AMBACHO HAWAKIJUI? SIDHANI KAMA WAKRISTO WANA UPUUZI HUO.
Wakristo wanaijua kuihifadhi Biblia hata washindane?Lini Mashindano ya kusoma Biblia? kama ilivyokuwa Quran?
Au ni vigumu kuihifidhali?
Wadau wanaosoma biblia hebu watwambie.
Hichi kitabu kinahifadhika?
Wakristo hakuna viboko mtu anatakiwa kuelewa Biblia sio kukariri Biblia ndio maana walimu wafundisha Biblia hawana viboko vya kuchapa watoto kama Maustaadhi wa kiislamu ambao wako tayari kuua hata mtoto hadi ahifadhi na kukariri Kuruani atake asitakeUnashauri waanze upya kufundishwa kwa kunyukwa viboko vingi kama mifugo hadi wakariri/wahifadhi?
Wana mawazo yenye kuleta burudani sana na full vibweka.Wapewe hata mitatu tena.😎mkuu tunachoka mada zenu wafia dini. ama iwe wewe au wengine. mkilala mkiamka mada za kidini. hamna kazi za kufanya?
Kuhifadhi ni kukariri si ndiyo?.Lini Mashindano ya kusoma Biblia? kama ilivyokuwa Quran?
Au ni vigumu kuihifidhali?
Wadau wanaosoma biblia hebu watwambie.
Hichi kitabu kinahifadhika?