Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Safi kabisa.kupigwa ndio kusoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi kabisa.kupigwa ndio kusoma
Quran ni rahis kwasababu haizidi hata kitababu cha zaburi.Lini Mashindano ya kusoma Biblia? kama ilivyokuwa Quran?
Au ni vigumu kuihifidhali?
Wadau wanaosoma biblia hebu watwambie.
Hichi kitabu kinahifadhika?
SASA SI UTAKUWA KILAZA SANA? YAANI HATA KUSOMA KISWAHILI HUJUI? UKARIRI MISTARI HALAFU IWEJE?Jumapili yenyewe kanisani hadi padri aniambie fungua Mathayo 7:7 ndo nafungua biblia sasa kuhifadhi ntaweza kweli?
Gwaja anatembea jukwa zimaa. Pengine hata bibilia inafika mwezi hajaigusaJumapili yenyewe kanisani hadi padri aniambie fungua Mathayo 7:7 ndo nafungua biblia sasa kuhifadhi ntaweza kweli?
Hii ni kweli? Toka andiko lipi?Mfahamu kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein AS ambaye hakunyonyeshwa na mama yake Fatima kwasababu babu yake Mtume Muhammad alikataa Pindi tu alipozaliwa akamtwaa na kumnyonyesha kwa ulimi wake .
Imam Hussein kwa muda wa miaka miwili hakunyonya titi la mama yake bali alinyonya ulimi wa mtume. Ndio maana kipenzi chetu cha dhati anatukuzwa.
Huu nao ni uchokozi.🤣🤣🤣🤣🙏Mfahamu kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein AS ambaye hakunyonyeshwa na mama yake Fatima kwasababu babu yake Mtume Muhammad alikataa Pindi tu alipozaliwa akamtwaa na kumnyonyesha kwa ulimi wake .
Imam Hussein kwa muda wa miaka miwili hakunyonya titi la mama yake bali alinyonya ulimi wa mtume. Ndio maana kipenzi chetu cha dhati anatukuzwa.
Lihuni hilo.Endelea na uzi tu.🤣🤣Hii ni kweli? Toka andiko lipi?
Imepangika sana, ndio maana mtoto wa miaka 6 anaweza kuihfadhiQuran ni rahis kwasababu haizidi hata kitababu cha zaburi.
Sahivi ukiwa mchekeshaji tu unakua mchungaji unaweza kuanza kuchekesha kwanzia mwanzo wa ibada hadi mwisho bila kufungua biblia na waumini wakaridhika jpili ijayo wanaongezeka wengine kuja kuchekeshwa sasa kuihifadhi biblia kichwani tutaweza kweli?Gwaja anatembea jukwa zimaa. Pengine hata bibilia inafika mwezi hajaigusa
Siyo uchokozi ni kweli. Baba yake Imam Hussein Ali alikuwa ni binamu yake Mudi na mke wake Fatima alikuwa bint yake Mudi. Kaka yake Hussein Hassan alipozaliwa mtume Muhammad hakumkubali kivile. Lakini Hussain alipozaliwa Mudi alikuwepo na akawaambia naam huyu ndo mwenyewe Allah kamtuma kamwe hatanyonyeshwa bali ni mimi nitamnyonyesha kwa ulimi wangu. Na kwaanzia hapo Hussein akawa alinyonya ulimi wa mudi kwa miaka miwili hadi kufikia kula.Huu nao ni uchokozi.🤣🤣🤣🤣🙏
Unachelewa kujibu we mjukuu wa Mudi.Mngaliweza nyinyi. pangalikuwa hapatoshi. lkn imekuwa ngumu ndio visababu
Swali. Bibilia kwanini mgumu kuihifadhi?Siyo uchokozi ni kweli. Baba yake Imam Hussein Ali alikuwa ni binamu yake
Wakristu huwa hawakariri. Wewe endeleeni na mifumo yenu ya mwarabu ndio maana kwenye shule za kawaida pepa mnadunda kwa sababu mwarabu kawaambia kusoma ni kukariri kwa viboko na sii kuelewaLini Mashindano ya kusoma Biblia? kama ilivyokuwa Quran?
Au ni vigumu kuihifidhali?
Wadau wanaosoma biblia hebu watwambie.
Hichi kitabu kinahifadhika?
Mfahamu kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein AS ambaye hakunyonyeshwa na mama yake Fatima kwasababu babu yake Mtume Muhammad alikataa Pindi tu alipozaliwa akamtwaa na kumnyonyesha kwa ulimi wake .
Imam Hussein kwa muda wa miaka miwili hakunyonya titi la mama yake bali alinyonya ulimi wa mtume. Ndio maana kipenzi chetu cha dhati anatukuzwa.
Malaria 2 njoo ukanushe hili suala. Please.Siyo uchokozi ni kweli. Baba yake Imam Hussein Ali alikuwa ni binamu yake
itasomwa bibilia ipi? zipo zaidi ya 100 hivi sasa. itasomwa ya Mchungaji gani?Katika maisha hutakiwi kufanya kitu kama wanavyofanya wengine.
Wazo zuri ila hatupaswi kufanya kwakuwa Waislamu wanafanya.
Vijana wengi wamechanganyikiwa na maisha baada ya kuishi kwa kuiga au kujilinganisha kimaendeleo na wenye rika yake.
Wakristo wana madhehebu mengi na kila dhehebu lina kipaumbele chake.
Quran inakaririwa Biblia inatakiwa uielewe.
Mapadri waliokariri Biblia ndio wanalewa mpaka wanaokotwa barabarani
Hakuna takwa la kuhifadhi Biblia kwenye Biblia ndiyo sababu huwezi kuta kitu kinachoitwa kuhifadhi biblia kama mfanyavyo nyie quran yenuLini Mashindano ya kusoma Biblia? kama ilivyokuwa Quran?
Au ni vigumu kuihifidhali?
Wadau wanaosoma biblia hebu watwambie.
Hichi kitabu kinahifadhika?