Lini kutakuwa na Mashindano ya kusoma Biblia kama ilivyokuwa Quran?

Lini kutakuwa na Mashindano ya kusoma Biblia kama ilivyokuwa Quran?

Lini Mashindano ya kusoma Biblia? kama ilivyokuwa Quran?

Au ni vigumu kuihifidhali?

Wadau wanaosoma biblia hebu watwambie.

Hichi kitabu kinahifadhika?
Quran ni nyimbo/mashairi

Mashindano ya Kusoma Quran, ni mashindano ya Memorization.

Biblia ni tofauti kimuundo ukilinganisha na Quran

Biblia ni Kilichogawanyika sehemu tofauti.

History, Hekima, Sheria, Theology and Philosophy.

Ubongo wa binadamu huchukua miaka walau 20 kukomaa na kuweza kutoa maana na kuwa na common sense juu ya mambo magumu kama Philosophy ndio maana Wakristo hawekezi muda mwingi kukariri badala yake wanajifunza kila kitabu kwa kina na kuchambua.

Ni rahisi kumkuta Muislam anasema Ibrahim alitaka kumchinja Ismail na wakajenga Kaaba saudi arabia, bila kujiuliza wala kutafuata ukweli kama Ibrahim aliwahi kufika Saudi Arabia.

Pia sababu nyingine ya kukalili Quran ni ukosefu wa Elimu dunia, hasa kipindi cha unzishwaji wa Uislam and imekuwa tradition
 
Lini Mashindano ya kusoma Biblia? kama ilivyokuwa Quran?

Au ni vigumu kuihifidhali?

Wadau wanaosoma biblia hebu watwambie.

Hichi kitabu kinahifadhika?
Wakristo hawawezi kufanya mashindano ya namna hiyo.

Biblia ni ne o la Mungu linalotuasa namna ya kuenenda katika maisha yetu ya hapa Duniani, huku tukitarajia nini katika maisha ya umilelele baada ya maisha ya hapa Duniani.

Kushindana kusoma hakuna msaada wowote katika kuufikia ufalme wa Mungu.

Kwa wakristo, hakuna mashindano ya kumtukiza Mungu bali kila mmoja hufanya kwa kadiri ya karama aliyojaliwa. Na Mungu pekee ndiye anajua kila mmoja amempa nini, na hivyo anatakiwa kumrudishia nini.

Rejea:
1 Wakorinto 12
Pia hakuna mtu awezaye kukiri, “Yesu ni Bwana,” isipokuwa ameongozwa na Roho Mtakatifu. 4 Basi kuna aina mbalimbali za karama, lakini Roho ni mmoja. 5 Pia kuna huduma za aina mbalimbali, lakini Bwana ni mmoja. 6 Kisha kuna aina tofauti za kutenda kazi, lakini ni Mungu yule yule anayeongoza kazi zote kwa kila mtu. 7 Roho Mtakatifu hudhihirishwa kwa kila mtu kwa faida ya wote.

8 Maana mtu mmoja hupewa neno la hekima na huyo Roho, na mwingine hupewa neno la ufahamu kutoka kwa Roho huyo huyo. 9 Mtu mwingine hupewa imani na huyo Roho na mwingine karama za kuponya. 10 Huyo huyo Roho humpa mwingine uwezo wa kufanya miujiza, mwingine unabii, mwingine uwezo wa kutofautisha kati ya roho mbalimbali, mwingine aina za lugha na mwingine uwezo wa kutafsiri lugha. 11 Lakini ni Roho huyo huyo mmoja anayefanya haya yote, naye hugawa karama kwa kila mtu, kama yeye mwenyewe apendavyo.
 
Kuna jamaa mmoja hapa jukwaan hujiita Malaria 2 ni jamaa ambaye anapenda kuanzisha thread za dini, na mara nyingi zikiwa za uchokozi, lengo kuu ni kuusifia uislamu(kitu ambacho sina shida nacho kabisa kwasababu kila mtu ana haki ya kusifia dini yake) na sometimes kuupondea ukristo(again, sina shida na yeye kuupondea ukristo kwasababu we're different individuals, tofauti za kifikra ni jambo la kawaida).
It's okay to have different opinions, but can you back them up?

But leo nime-interact nae kweny uzi aliyoanzisha Lini kutakuwa na Mashindano ya kusoma Biblia kama ilivyokuwa Quran?
1000343139.jpg

1000343141.jpg

1000343143.jpg

I don't mind debates, a debate started one of the biggest country known as United States of America.
I love it when people start arguing about what is objectively True, that's when misunderstood topics and real lies emerges and are cleared, once and for all.

Broo Malaria 2 acha majibu ya kijinga, kwa jinsi ulivokuwa mstari wa mbele kuanzisha thread kama hizi za kichokozi nilidhani utakuwa mstari wa mbele kukubali, na hii itakuwa inafaida kwako kwasababu huwez jua maybe utanishinda na watu wakiona maybe utapata wafuasi watakabadili dini na mm nikiwemo, hutaki hio bahati??
 
Quran ni nyimbo/mashairi

Mashindano ya Kusoma Quran, ni mashindano ya Memorization.

Biblia ni tofauti kimuundo ukilinganisha na Quran

Biblia ni Kilichogawanyika sehemu tofauti.

History, Hekima, Sheria, Theology and Philosophy.

Ubongo wa binadamu huchukua miaka walau 20 kukomaa na kuweza kutoa maana na kuwa na common sense juu ya mambo magumu kama Philosophy ndio maana Wakristo hawekezi muda mwingi kukariri badala yake wanajifunza kila kitabu kwa kina na kuchambua.

Ni rahisi kumkuta Muislam anasema Ibrahim alitaka kumchinja Ismail na wakajenga Kaaba saudi arabia, bila kujiuliza wala kutafuata ukweli kama Ibrahim aliwahi kufika Saudi Arabia.

Pia sababu nyingine ya kukalili Quran ni ukosefu wa Elimu dunia, hasa kipindi cha unzishwaji wa Uislam and imekuwa tradition
Na bado mwarabu kawakamata na amewaaminisha kwamba mila na desturi vya kiarabu ndiyo dini.
 
Kuna jamaa mmoja hapa jukwaan hujiita Malaria 2 ni jamaa ambaye anapenda kuanzisha thread za dini, na mara nyingi zikiwa za uchokozi, lengo kuu ni kuusifia uislamu(kitu ambacho sina shida nacho kabisa kwasababu kila mtu ana haki ya kusifia dini yake) na sometimes kuupondea ukristo(again, sina shida na yeye kuupondea ukristo kwasababu we're different individuals, tofauti za kifikra ni jambo la kawaida).
It's okay to have different opinions, but can you back them up?

But leo nime-interact nae kweny uzi aliyoanzisha Lini kutakuwa na Mashindano ya kusoma Biblia kama ilivyokuwa Quran?
View attachment 3083675
View attachment 3083676
View attachment 3083677
I don't mind debates, a debate started one of the biggest country known as United States of America.
I love it when people start arguing about what is objectively True, that's when misunderstood topics and real lies emerges and are cleared, once and for all.

Broo Malaria 2 acha majibu ya kijinga, kwa jinsi ulivokuwa mstari wa mbele kuanzisha thread kama hizi za kichokozi nilidhani utakuwa mstari wa mbele kukubali, na hii itakuwa inafaida kwako kwasababu huwez jua maybe utanishinda na watu wakiona maybe utapata wafuasi watakabadili dini na mm nikiwemo, hutaki hio bahati??
Humu mnawajinga wengi kwa hivyo tumekutana wajinga
 
Lini Mashindano ya kusoma Biblia? kama ilivyokuwa Quran?

Au ni vigumu kuihifidhali?

Wadau wanaosoma biblia hebu watwambie.

Hichi kitabu kinahifadhika?
Hawa The Bus Driver.
Mabala the Farmer.
Things Fall Apart.
Three Suitors One Husband.
 
Usiudharau uwezo wa ubongo wa binadamu....Biblia sio ngumu kuihifadhi...actually, ukiamua kuweka dedication ukaanza kukaririshwa dictionary kuanzia una miaka 6 mpaka kuwa mtu mzima.
Ungekuwa saivi umeikariri dictionary yote kuanzia herufi ya kwanza mpaka dibaji na historia ya waandishi (wahifadhi) wake.

Ni kwamba wakristo hawafanyi hivyo kwenye biblia kwakuwa hawaamini biblia ni Mungu au roho ya Mungu kama waislam wanavyoiamini Quran.
Wanaamini Mungu ni Baba mwana na roho mtakatifu fullstop. BIBLIA ni maandishi tu ya watu waliopata kufunuliwa na Mungu kuhusu uwepo wake ambapo hata leo mkristo yeyote akiweka dedication akaamua kumtafuta mungu na kusli kwa jina la yesu anaweza kufunuliwa mengi na Mungu kuliko hata hao waandishi wa biblia kina Nabii Nabii Daniel, Nabii Nerehmia, Mathayo,Paulo na wengineo. Kwahyo Mungu ni roho sio kitaabu. Na yesu ndiye neno la Mungu. Yohana anasema Na yeye neno akafanyika kuwa mtu. Hapo mwanzo palikuwapo neno na neno alikuwa Mungu.


ila kwa waislam Quran ni sawa na neno la mungu. Quran ni sawa na Mungu.
Sio maneno ya nabii muhamad, muhamad nayeye aliambiwa na malaika Gabriel ambaye aliambiwa na Mungu.
Kwahyo Quran imeshuka direct kutoka kwa Mungu. Quran haijaumbwa. Kwasababu Mungu hajaumbwa na neno lake ni la milele kwahyo hata neno lake (Quran) ni la milele.
Quran is uncreated word of God..
Kwahyo kila kilichoandikwa kwenye kitabu cha Mungu kinaapply muda wote for all generations since the creation of the universe till the end of the universe.

Wakristo hupinga Hili kwa kupondea madhaifu ya hiki kitabu Quran kwa kusema ni kitabu tu kama dictionary...na waislam hubishana kwa kukitetea kukipa uungu.

Waislam nao hubisha uungu wa huyu binadamu aitwaye YESU na kusema alikuwa nabii tu kama manabii wengine kama nabii Adam, navbii Yona(Yunus),naabii Yusufu, Mussa, Suleman, Daudi na wengine. Infact Muhamad ni mkubwa kuliko hata Yesu maana yeye ndiye mwenye sifa pekee ya kuwa final prophet. Yani katika manabii wote hakuna mwenye sifa ya kuwa final prophet. Kwahyo nabii mkubwa atakuwa wa mwisho (muhamad) akifatiwa na nabii mwenye sifa ya kuwa wa kwnazaa (Adam), kisha Yesu, kisha Mussa.

Kwahyo Debate haitakiwi kuwa kati ya Biblia na quran which is better..inatakiwa iwe kati ya Quran na Jesus....which is greatly closer to representing God on Earth?????
Huna ujualo.
 
Back
Top Bottom