Lini kutakuwa na Mashindano ya kusoma Biblia kama ilivyokuwa Quran?

Lini kutakuwa na Mashindano ya kusoma Biblia kama ilivyokuwa Quran?

Lini Mashindano ya kusoma Biblia? kama ilivyokuwa Quran?

Au ni vigumu kuihifidhali?

Wadau wanaosoma biblia hebu watwambie.

Hichi kitabu kinahifadhika?
Yanasaidia nini? Dini, zinafubaza akili, wezi, mafisadi wote kwenye jamii,ni wakristo na wa Islam,
Tumatakiwa kuwa na mashindano ya sayansi, robotics, electronics, chips, AI nk,
Wamarekani wanajitambulisha kama judeo Christianity society, lakini wana hii sherehe Halloween, kila mwaka,
Wenzetu wana practice dini zao, ila wanatumia sayansi kujenga nchi, sio Dua na Sala, swala,
Emir wa Qatar, ndio brain iliyobuni program ya kukuza nchi, na uchumi, kwao, Arabs, na islamic, ni identity tu, kama ilivyo Buddhism, kwa wa Hindi, inapokuja swala la kujenga uchumi, diplomacy, Mambo ya dini yanawekwa pembeni, huwezi kusikia eti Qatar wameweka sheria ya kufuga ndevu kwa wanaume kama Kenge wa kabur Afghanistan wanavyofanya,
 
Lol,you dont even know your bible then you want to teach us Quran.
If you people understand even your bible you shouldnt go to listen and give money to fake pastors like Kiboko ya wachaw,Mwamposer,Masanj Mkandamizj,Irn uwoy
You can start by asking me anything about the bible, and then I will you questions about the quran, sounds fair??
 
I dont 'have' anything. Noone does.
Humans are not special from everything else in the universe....we didnt come into this universe, we came out of it like a leaf comes out a tree.
We are part of everything.
The concept of 'having' anything is nonsense. Its like saying cement is having a wall...Or same as saying a wall is 'having' cement , both equally absurd. cement is part of the wall itself. Cement is the wall and the wall is cement.
I don't 'have' anything. No one does.
Humans are not special from everything else in the universe.... we didn't come into this universe, we came out of it like a leaf comes out a tree.
We are part of everything.
The concept of 'having' something is nonsense. It's like saying cement is having a wall... Or same as saying a wall is 'having' cement, both equally absurd. Cement is part of the wall itself. Cement is the wall and the wall is cement.


I conveyed to you that you have a complete lack of knowledge about religions, especially Christianity.
 
Uislamu ni dini ya kukariri sio kuelewa
Ukristo unatakiwa kuulewa sio kukariti

Mfano ukitaka kujua ujinga wa kukariti ulioko kwenye uislamu wasikikize waislamu

Mohamed na uislamu wake alikuja nao miaka kibao baada ya Yesu Kristo kuja

Lakini utawasikia waislamu oooh Ibrahim na Musa llakini utawasikia ohh Adam,Ibrahim na Musa walikuwa waislamu. Wanakuwaje waislamu wakati mleta uislamu alikuja miaka mingi maelfu toka wao wafe? Huo upumbavu huwezi kuukuta kwenye Ukristo

Akina Ibarahi na ,Musa walikuwa dini ya kiyahudi wakiristo tunawaheshimu mno lakini huwezi kukuta Mkristo anasema Ibrahim na Musa walikuwa Wakristo tunaamini walikuwa dini ya kiyahudi hawakuwa Wakristo sababu ukiristo ulikuja baada ya Yesu Kristo kuja huwezi waita Wakristo

Lakini kwa waislamu sababu ni dini ya kukariri utasikia ohh Ibrahim na Musa walikuwa waislamu utasikia wanaunguruma Takbiriiiiiiiii kuunga mkono hoja
Kaka sijajua kama ni muumini wa dabate za nje za kidini.

Haya maswali watu wanaulizwa ktk midahalo youtube majibu qanayotoa ndipo unajua hawa wanakariri tu,hakuna kuelewa.
 
You can start by asking me anything about the bible, and then I will you questions about the quran, sounds fair??
Not fair because you will give me the traslations that you are taught by your fake pastors while I know my own taught by my senior Islamic Leaders/lecturers then how will we reach the conclusion?
 
Kuna mamia ya wakristo waliosilimu, angalia uwasome kama aidha werevu mno au wajinga mno
usiseme mamia sema maelfu.

HIyo haibadilishi chochote kwamba madishi yao yana shida😃😃.
Wengine wameanzisha mpaka chanel za kuhubiri uislam na kukashifu ukristo,ila inapokuja saa ya kuwatahini,ndipo unagundua hii ni mbuzi.
Cheki huyu kiazi hapa chini namna alivyofanywa.


View: https://youtu.be/pWkClNrc-8g?si=_BV2iC9O7Xj_QjO5
 
Unanilazimisha niongee kwenye context unayoitaka wewe.
Nimetumia neno experience as a noun wewe unanilazimisha nitumie neno experience kama Past participle verb.
Acha kukariri
Hilo tu ndio umeona?
 
Not fair because you will give me the traslations that you are taught by your fake pastors while I know my own taught by my senior Islamic Leaders/lecturers then how will we reach the conclusion?
Traslations ❌
Translation ✔️
 
Biblia imetafsiriwa katika Lugha mbali mbali hata kwa lugha yetu ya kimasai tunayo, tushindane nini sasa.

Ila Koran mashindano inaweza make sense maana lugha ni ya watu wengine.
 
Mfahamu kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein AS muanzilishi wa madhehebu ya Shia ambaye hakunyonyeshwa na mama yake Fatima kwasababu babu yake Mtume Muhammad alikataa Pindi tu alipozaliwa akamtwaa na kumnyonyesha kwa ulimi wake .

Imam Hussein kwa muda wa miaka miwili hakunyonya titi la mama yake bali alinyonya ulimi wa mtume. Ndio maana kipenzi chetu cha dhati anatukuzwa.
Hii kamba ulipigwa mchana au usiku? Halafu ulipigwa viboko vya kufa mtu kukariri hili tango
 
Hii kamba ulipigwa mchana au usiku? Halafu ulipigwa viboko vya kufa mtu kukariri hili tango
Ukweli unaumaa eee. Hata hii utakataa japo unajuwa ukweli mudi alikuwa anamnyonya ulimi na kumlamba mdomo mwanamme mwenzake Al hassan msikitini akiwa uchi.

Pia hii vikevile utabisha huku unamaumivu makali mudi alikuwa anapaka wanja na hina.
 
Back
Top Bottom